MBOWE ATAKA KAMPENI ZA KIISTARABU
![](http://2.bp.blogspot.com/-5aDikNHjtEA/Vf1yX_82BrI/AAAAAAAH6Fc/RNMLcvZislo/s72-c/IMG-20150919-WA0019.jpg)
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema kila chama kifanye kampeni za kistaarabu ili kila mtu aende Ikulu pasipo kuvuruga amani.
Mbowe ameyasema hayo leo mbele ya waandishi wa habari wakati wa kuelezea masuala ya kampeni zinazoendelea kwa vyama vyote vya siasa, pia amesema kuwa kuna kauli za viongozi wa baadhi ya vyama ambazo haziridhishi katika kupiga kwao kampeni.
Mbowe amasema kauli ya watu hao ni ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo24 Jun
Mbowe ataka Ukawa wajiimarishe
VYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vikiwa na matumaini ya kuunganisha nguvu katika uchaguzi mkuu ujao, vimeambiwa kila kimoja kijiimarishe kivyake katika mapambano ya kisiasa. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe, amesema vyama hivyo, visitegemee nguvu ya umoja huo badala yake, vijiimarishe kuleta ushindani katika harakati zao za kisiasa wanazoendelea kuzifanya.
9 years ago
Habarileo16 Aug
Mbowe ataka siku zaidi kukagua taarifa za BVR
MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema siku tatu zilizotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) kwa waliojiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura katika mfumo wa (BVR) kuhakiki taarifa zao kuwa hazitoshi.
5 years ago
MillardAyo10 Mar
Mbowe alivyofunga Kampeni za Uchaguzi Kinondoni
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--RxkFS9Py4A/VYe8GL0QvtI/AAAAAAAHiZU/pHuhHuLa4RU/s72-c/IMG_20150619_143944_1.jpg)
MWENYEKITI WA CHADEMA FREEMAN MBOWE AKISHIRIKI KAMPENI YA MAZINGIRA KATIKA SOKO LA MASAMA-MULA
![](http://3.bp.blogspot.com/--RxkFS9Py4A/VYe8GL0QvtI/AAAAAAAHiZU/pHuhHuLa4RU/s640/IMG_20150619_143944_1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2IxoluAr_q4/VYe8GXEEq5I/AAAAAAAHiZY/veFBxYirdXM/s640/USAFI%2BTAKA%2BIMG-20150620-WA0007.jpg)
10 years ago
Mwananchi11 Aug
Magufuli ataka kampeni za kisayansi kupata ushindi wa tsunami
9 years ago
Michuzi23 Aug
KAMPENI ZA URAIS ZAANZA RASMI, TUME YATOA RATIBA ZA MAENEO NA MUDA WA KAMPENI
Tume ya Taifa ya uchaguzi inakutana na Kamati Maalumu inayo undwa na wajumbe kutoka vyama nane vilivyo na wagombea wa urais na makamo kuandaa Ratiba ya mikutano ya hadhara kurahisisha kubaini vyama vilivyopanga mkutano mmoja katika mkoa mmoja, wilaya moja, na Eneo moja kwa Tarehe mojaMkurugenzi wa NEC Kailima Ramadhani amesema anafarijika sana na ushirikiano wanaouonyesha Wawakilishi Wa vyama katika kuhakikisha mchakato kuwa wa Amani na utulivu bila kujali itikadi za vyama vyao kikao...
9 years ago
Vijimambo21 Sep
KAMPENI ZA CCM ZAPAMBA MOTO,MWIGULU,LOVENESS MAMUYA WASHIRIKI UFUNGUZI WA KAMPENI KISESA-MEATU
![](https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/12047074_428101090725458_1216147968023663156_n.jpg?oh=a1488b21bfb4f65dcca8684d68f9cdf1&oe=569D8541)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpl1/v/t1.0-9/12002080_428100854058815_5135986780182457092_n.jpg?oh=d4b8080fc859d6d77fa64f99b05716d2&oe=565F6D4D&__gda__=1453282753_84af7ea48c0c4260286b22029bc18bcb)
![](https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/12003212_428100804058820_8832908201740269439_n.jpg?oh=7b856c53a1acac90c0349bad90782928&oe=56A87FA0)
![](https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/12042708_428101204058780_7143938062512622436_n.jpg?oh=f18a1c5016d958d5c79c0f787fb68201&oe=565ED955)
![](https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xat1/v/t1.0-9/12032154_428100934058807_4845867612073923492_n.jpg?oh=82f08167bb84b475b02b7b481c42560b&oe=5697921C&__gda__=1452854979_6159e918638e80bca871e83ec3eab8a9)
![](https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/12038119_428101027392131_3643435805773286259_n.jpg?oh=d3f6bbdb41e77ea448212d02482b801e&oe=56A3292B)
5 years ago
CCM BlogTUJIKUMBUSHE KAMPENI ZA URAIS TANZANIA 2015: DK MAGUFULI AVUNJA REKODI YA UKAWA MKUTANO WA KAMPENI JIJINI MBEYA
9 years ago
Bongo518 Sep
Wakazi: Mil20 za kufanya kampeni si kitu ukilinganisha na sera nzuri zitakazonipa mil200’, adai hashangai wasanii kutumika kwenye kampeni (Video)