Mbowe, Kinana wakutana kwa siri Dar
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe
AZIZA MASOUD NA AGATHA CHARLES
IMEDHIHIRIKA kuwa viongozi waandamizi wa vyama vikubwa vya siasa vilivyo na uwakilishi katika Bunge Maalumu la Katiba, wanapanga njama za kulivunja bunge hilo baada ya kushindwa kufikia maridhiano ya muundo wa serikali.
Kuvuja kwa taarifa hizi kumekuja ikiwa ni siku chache baada ya kufanyika vikao kadhaa vilivyowashirikisha viongozi wa vyama vikilenga kutafuta maridhiano ya muundo wa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-LIcucpRVgFU/VNUEqEIuheI/AAAAAAAAWu8/beB9nlNX_Cw/s72-c/1.jpg)
NAPE NA MBOWE WAKUTANA LEO JIJINI DARE ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-LIcucpRVgFU/VNUEqEIuheI/AAAAAAAAWu8/beB9nlNX_Cw/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kMGTe_IcKqc/VNUEtsSBBgI/AAAAAAAAWvM/6-hRZfIUFSI/s1600/3.jpg)
10 years ago
Mtanzania13 May
Siri ya Mbowe Kuzuiwa
Na Waandishi Wetu, Dar na Dodoma
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, jana Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, alizuiwa kumaliza kusoma hotuba yake ambayo ndani yake ilikuwa ikiwalipua vigogo waliohusika na uchotwaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow huku akieleza kilichojificha ndani ya kashfa ya mtambo wa kufua umeme wa Dowans na Richmond.
Amesema suala hilo la Dowans na Richmond, lilichochewa na makundi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) , na sasa...
10 years ago
Dewji Blog23 Jul
Mfuko wa fidia kwa wafanyakazi (WCF), wakutana na wahariri, Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-09OJehHiW3c/Va-eAnARGII/AAAAAAAAWgI/tvnhQZItQ9M/s640/Masha%2BMshomba_DGWCF4.jpg)
MKURUGENZI Mkuu wa kwanza wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF), Masha Mshomba, akiwasilisha mada wakati wa warsha iliyoandaliwa na Mfuko huo kwa Wahariri kwenye Hoteli ya Court Yard jijini Dar es Salaam, Julai 22, 2015
Na K-VIS MEDIA
MFUKO wa Fidia Kwa Wafanyakazi, (WCF), umekutana na Wahariri wa vyombo vya Habari nchini, kwenye Hoteli ya Court Yard jijini Dar es Salaam, Julai 22, 2015, kwa nia ya kujitambulisha na kuelezea mikakati yake ya kiutendaji na majukumu iliyo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-D4iCphaSuUg/Va-eBsSa1EI/AAAAAAAAWgQ/57YaYVF7Cqw/s72-c/Masha%2BMshomba_DG%2BWFC.jpg)
MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI (WCF), WAKUTANA NA WAHARIRI, DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-D4iCphaSuUg/Va-eBsSa1EI/AAAAAAAAWgQ/57YaYVF7Cqw/s640/Masha%2BMshomba_DG%2BWFC.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vhYz8IeQUPI/Va-eCLWrIVI/AAAAAAAAWgU/BMqu-H2F8HQ/s640/Irine%2BIsaka_DGSSRA2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-94b-TIiWNww/Va-eH5Z8NUI/AAAAAAAAWgo/v9Fl-UgF2Vg/s640/Shemax.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qplRbticTzk/Va-eJEbhTLI/AAAAAAAAWgw/bx81jeCAGXE/s640/Steven%2BChuwa_Scolastica%2BMazula.jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Dec
Wawakilishi wa mabaraza ya wazee wa kimila wa Kimasai wakutana na Kinana
-Waitaka serikali kuboresha maisha ya wafugaji
-Wataka wazawa wapewe kipaumbele zaidi
-Watoa salaam kwa Rais ,wampa pole na wamshukuru kwa kutimiza ahadi yake ya kuwapa mifugo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Aly20jSjwM4/VJB_Q2BsolI/AAAAAAAAU54/ZdWQBz5RWQc/s1600/7.jpg)
Diwani wa Viti Maalum Ngorongoro Tina Timan akizungumza wakati wa mkutano na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambapo alitaka mamlaka husika kubadili sheria kandamizi ili jamii ya Wamasai wafaidike na ardhi...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Aly20jSjwM4/VJB_Q2BsolI/AAAAAAAAU54/ZdWQBz5RWQc/s72-c/7.jpg)
WAWAKILISHI WA MABARAZA YA WAZEE WA KIMILA WAKIMASAI WAKUTANA NA KINANA
Wataka wafugaji wamilikishwe ardhi
Waitaka serikali kuboresha maisha ya wafugaji
Wataka wazawa wapewe kipaumbele zaidi
Watoa salaam kwa Rais ,wampa pole na wamshukuru kwa kutimiza ahadi yake ya kuwapa mifugo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Aly20jSjwM4/VJB_Q2BsolI/AAAAAAAAU54/ZdWQBz5RWQc/s1600/7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZXAD70ogo08/VJB_RQ3tXoI/AAAAAAAAU58/RRTPRbb0EC0/s1600/8.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5OYavTzFiHaEWGctT8a4S8ZZ36dRUXIKCjM3X4kHEYbs4AI1WBY1zpf9wjb*7IQC4eAbJluYUHO6ld5VQPQ8n3O/mbowe.jpg?width=650)
MBOWE AZINDUA PROGRAMU YA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA CHADEMA JIJINI DAR
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Aly20jSjwM4/VJB_Q2BsolI/AAAAAAAAU54/ZdWQBz5RWQc/s72-c/7.jpg)
VIONGOZI WA MILA WA JAMII YA WAMAASAI TOKOA MKOA WA ARUSHA NA MANYARA WAKUTANA NA KINANA
Wazee wa Kimasai wamuhakikishia Kinana uaminifu wao kwa CCMWataka wafugaji wamilikishwe ardhiWaitaka serikali kuboresha maisha ya wafugajiWataka wazawa wapewe kipaumbele zaidiWatoa salaam kwa Rais ,wampa pole na wamshukuru kwa kutimiza ahadi yake ya kuwapa mifugo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Aly20jSjwM4/VJB_Q2BsolI/AAAAAAAAU54/ZdWQBz5RWQc/s1600/7.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar02 Oct
CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI
Asalamu Alaikhum Ndugu Watanzania Wa Zanzibar na Tanganyika natumai mumeamka salama na muko katika harakati za kutafuta KIJIO. Ama mimi sina budi ila kumshukuru Mwenyezi Mungu kwakunijaalia kunipa uzima, afay na muda huu mdogo wakufikisha ujumbe […]
The post CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI appeared first on Mzalendo.net.