Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbowe, Kinana wakutana kwa siri Dar

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe

AZIZA MASOUD NA AGATHA CHARLES

IMEDHIHIRIKA kuwa viongozi waandamizi wa vyama vikubwa vya siasa vilivyo na uwakilishi katika Bunge Maalumu la Katiba, wanapanga njama za kulivunja bunge hilo baada ya kushindwa kufikia maridhiano ya muundo wa serikali.

Kuvuja kwa taarifa hizi kumekuja ikiwa ni siku chache baada ya kufanyika vikao kadhaa vilivyowashirikisha viongozi wa vyama vikilenga kutafuta maridhiano ya muundo wa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

NAPE NA MBOWE WAKUTANA LEO JIJINI DARE ES SALAAM


 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye  akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwenye ofisi za kampuni ya Free Media ltd jijini Dar es salaam, Nape ambaye yupo kwenye ziara ya kutembelea vyombo vya habari nchini leo alitembelea gazeti la Tanzania Daima na Jambo Leo.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye  akizungumza na Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwenye ofisi za kampuni ya Free Media ltd jijini...

 

10 years ago

Mtanzania

Siri ya Mbowe Kuzuiwa

mboweNa Waandishi Wetu, Dar na Dodoma
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, jana Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, alizuiwa kumaliza kusoma hotuba yake ambayo ndani yake ilikuwa ikiwalipua vigogo waliohusika na uchotwaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow huku akieleza kilichojificha ndani ya kashfa ya mtambo wa kufua umeme wa Dowans na Richmond.
Amesema suala hilo la Dowans na Richmond, lilichochewa na makundi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) , na sasa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mfuko wa fidia kwa wafanyakazi (WCF), wakutana na wahariri, Dar

MKURUGENZI Mkuu wa kwanza wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF), Masha Mshomba, akiwasilisha mada wakati wa warsha iliyoandaliwa na Mfuko huo kwa Wahariri kwenye Hoteli ya Court Yard jijini Dar es Salaam, Julai 22, 2015

Na K-VIS MEDIA

MFUKO wa Fidia Kwa Wafanyakazi, (WCF), umekutana na Wahariri wa vyombo vya Habari nchini, kwenye Hoteli ya Court Yard jijini Dar es Salaam, Julai 22, 2015, kwa nia ya kujitambulisha na kuelezea mikakati yake ya kiutendaji na majukumu iliyo...

 

10 years ago

Michuzi

MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI (WCF), WAKUTANA NA WAHARIRI, DAR ES SALAAM


 MKURUGENZI Mkuu wa kwanza wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF), Masha Mshomba, akiwasilisha mada wakati wa warsha iliyoandaliwa na Mfuko huo kwa Wahariri kwenye Hoteli ya Court Yard jijini Dar es Salaam, Julai 22, 2015
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, (SSRA), Irine Isaka, akifungua warsha hiyo Mhariri Shemax Ngahamera akizungumza kwenye warsha hiyo Mhariri wa vipindi wa ITV/Radio One, Steven Chuwa, (kulia), na Mhariri Mtendaji wa EFM, Scolastica Mazula,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wawakilishi wa mabaraza ya wazee wa kimila wa Kimasai wakutana na Kinana

-Wazee wa Kimasai wamuhakikishia Kinana uaminifu wao kwa CCM-Wataka wafugaji wamilikishwe ardhi

-Waitaka serikali kuboresha maisha ya wafugaji

-Wataka wazawa wapewe kipaumbele zaidi

-Watoa salaam kwa Rais ,wampa pole na wamshukuru kwa kutimiza ahadi yake ya kuwapa mifugo.

 Diwani wa Viti Maalum Ngorongoro Tina Timan akizungumza wakati wa mkutano na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambapo alitaka mamlaka husika kubadili sheria kandamizi ili jamii ya Wamasai wafaidike na ardhi...

 

10 years ago

Vijimambo

WAWAKILISHI WA MABARAZA YA WAZEE WA KIMILA WAKIMASAI WAKUTANA NA KINANA

Wazee wa Kimasai wamuhakikishia Kinana uaminifu wao kwa CCM
Wataka wafugaji wamilikishwe ardhi
Waitaka serikali kuboresha maisha ya wafugaji
Wataka wazawa wapewe kipaumbele zaidi
Watoa salaam kwa Rais ,wampa pole na wamshukuru kwa kutimiza ahadi yake ya kuwapa mifugo.Diwani wa Viti Maalum Ngorongoro Tina Timan akizungumza wakati wa mkutano na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambapo alitaka mamlaka husika kubadili sheria kandamizi ili jamii ya Wamasai wafaidike na ardhi yao .Mwakilishi...

 

10 years ago

GPL

MBOWE AZINDUA PROGRAMU YA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA CHADEMA JIJINI DAR

Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe akiwasili katika Ukumbi wa PTA, Temeke jijini Dar kuzindua programu ya mafunzo kwa viongozi wa Chadema. Washiriki wa mafunzo ya timu za kampeni za uchaguzi mkuu kwa viongozi wa chama na serikali za mitaa wanaotokana na Chadema wakiwa tayari kuanza programu hiyo. Viongozi wa Chadema…

 

10 years ago

Vijimambo

VIONGOZI WA MILA WA JAMII YA WAMAASAI TOKOA MKOA WA ARUSHA NA MANYARA WAKUTANA NA KINANA


 Wazee wa Kimasai wamuhakikishia Kinana uaminifu wao kwa CCMWataka wafugaji wamilikishwe ardhiWaitaka serikali kuboresha maisha ya wafugajiWataka wazawa wapewe kipaumbele zaidiWatoa salaam kwa Rais ,wampa pole na wamshukuru kwa kutimiza ahadi yake ya kuwapa mifugo. Diwani wa Viti Maalum Ngorongoro Tina Timan akizungumza wakati wa mkutano na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambapo alitaka mamlaka husika kubadili sheria kandamizi ili jamii ya Wamasai wafaidike na ardhi yao .Mkutano...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI

Asalamu Alaikhum Ndugu Watanzania Wa Zanzibar na Tanganyika natumai mumeamka salama na muko katika harakati za kutafuta KIJIO. Ama mimi sina budi ila kumshukuru Mwenyezi Mungu kwakunijaalia kunipa uzima, afay na muda huu mdogo wakufikisha ujumbe […]

The post CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani