Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbowe, Lowassa wamsomesha JK

KIONGOZI Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe na Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, wameikosoa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete, wakisema kuwa ajira kwa vijana ni bomu linalofanyiwa mzaha. Hii...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

IPPmedia

Mbowe: Dr Slaa was against Lowassa move


Mbowe: Dr Slaa was against Lowassa move
IPPmedia
Chadema National Chairman Freeman Mbowe yesterday admitted having differed with Secretary General Wilbrod Slaa in accepting former Premier Edward Lowassa to join Chadema. Mbowe also allayed concerns that Slaa has seceded in protest of ...

 

10 years ago

Vijimambo

Lowassa, Mbowe wajitokeza Kahama.

Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa na mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, wametoa salamu za pole na rambirambi kwa wananchi wa kijiji cha Mwakata wilayani Kahama walioathirika na mvua ya mawe na upepo mkali hivi karibuni.

Akizungumza kwa niaba ya Lowassa ambaye pia ni mbunge wa Monduli, mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Shinyanga, Hamis Mgeja, alisema mbunge huyo ametoa rambIrambi ya Sh. milioni tano kwa ajili ya wananchi wote...

 

10 years ago

Habarileo

Mbowe akiri Slaa ‘alimkataa’ Lowassa

MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amekiri kuwa Katibu Mkuu wao, Dk Willibrod Slaa alitofautiana nao katika kumkubali aliyekuwa kada wa CCM, Edward Lowassa kujiunga nao, na sasa amepewa mapumziko.

 

9 years ago

IPPmedia

Lowassa, Sumaye, Mbowe, Mbatia: No comment for now


IPPmedia
Lowassa, Sumaye, Mbowe, Mbatia: No comment for now
IPPmedia
Former Chadema Secretary General Dr Wilbroad Slaa addresses news conference in Dar es Salaam yesterday on his weeks of absence from political forums. The former secretary general of the opposition Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ...
Richmond saga 'ex-PM making' - SlaaDaily News

all 5

 

10 years ago

Mtanzania

Lowassa, Mbowe wasaidia waathirika Kahama

freeman MboweSitta Tumma na Paul Kayanda, Kahama
MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa (CCM), ametoa msaada wa Sh milioni 5 kwa waathirika wa mafuriko wilayani Kahama, Mkoa wa Shinyanga.
Fedha hizo zilikabidhiwa jana na Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Ali Rufunga.
Wakati wa makabidhiano hayo, waathirika 250 waliohifadhiwa katika Shule ya Msingi Mwakata, walikuwapo pia.
Akizungumza kwa niaba ya Lowassa, Mgeja alisema mbunge huyo alisema yeye na familia yake...

 

9 years ago

Mwananchi

Mbowe: Kwa nini Lowassa, si Dk Slaa

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa jana alitua kwa mara ya kwanza kwenye Jimbo la Karatu ambako Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe alitumia nafasi hiyo kuwaeleza wananchi sababu za kumuacha Dk Willibrod Slaa kugombea urais na badala yake kumteua waziri huyo mkuu wa zamani.

 

10 years ago

Mtanzania

Mbowe kumtambulisha Lowassa Mbeya kesho

lowassa na mboweNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, ameruhusiwa kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kitengo cha moyo alipokuwa amelazwa kwa saa 48.

Kutokana na afya yake kuimarika, kiongozi huyo wa upinzani kesho anatarajiwa kushiriki katika mkutano wa kumtambulisha mgombea urais wa chama hicho, Edward Lowassa, utakaofanyika jijini Mbeya.

Mbowe aliyehudumiwa na jopo la madaktari nane baada ya kushindwa kuhitimisha maandamano ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa awataka Mbowe, Mbatia kwenye mpambano

Mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa amewaomba wananchi wa majimbo ya Hai na Vunjo kuwaachia wagombea wao, Freeman Mbowe na James Mbatia kutoonekana majimboni mwao kwa muda ili waingie kwenye mapambano ya kitaifa kuhakikisha upinzani unachukua nchi.

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi yawagomea Lowassa, Sumaye, Mbowe Mwanza

Shughuli ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema mkoani Geita, Aphonce Mawazo aliyeuawa wiki iliyopita iko katika sintofahamu baada ya chama hicho kudai kuzuiwa na polisi kuuchukua mwili huo katika Hospitali ya Rufaa Bugando (BMC) ulikohifadhiwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani