MBUNGE AHMED SALUM AMSHUKURU RAIS MAGUFULI KUFANIKISHA UJENZI HOSPITALI YA WILAYA ILIYOFUNGULIWA JIMBONI SOLWA (VIDEO)
![](https://img.youtube.com/vi/UC74gDPJa3o/default.jpg)
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VvZMwQfmOS4/XodNgV3J42I/AAAAAAALl9c/m1mPGdLfFj0obGowH0j2QttG24oDQGg3QCLcBGAsYHQ/s72-c/8dff9b8b-c092-4dc9-9df4-184ec723fd26.jpg)
SERIKALI YATOA MABATI 324 KWA WILAYA YA KONGWA, DC NDEJEMBI AMSHUKURU RAIS MAGUFULI
Charles James, Globu ya Jamii
KATIKA kukuza elimu na kuendana na sera ya elimu bila malipo, serikali imetoa mabati 324 kwa Shule ya Msingi Manungu iliyopo wilayani Kongwa mkoani Dodoma.
Akizungumza katika ziara yake ya kukagua miundombinu ya elimu wilayani humo, Naibu Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mwita Waitara amesema mabati hayo yatatumika kuezeka madarasa matano yaliyojengwa kwa nguvu za wananachi.
Waitara amesema serikali imefurahishwa na nguvu iliyotumika na wananchi hao chini ya Mkuu wa...
5 years ago
CCM BlogRAIS MAGUFULI ATOA SH. BILIONI 15 KUMALIZIA UJENZI HOSPITALI YA MWALIMU NYERERE, MARA
Na Mwandishi Wetu, Musoma.
Rais Dk. John Magufuli ametoa Sh. Billioni 15 kwa ajili ya kumalizia ujenzi wa hospitali ya Rufani ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L1qhpFBXwDE/XmI-Z03NjuI/AAAAAAALhgE/ahNIUppVPtUEIPQOCtIatFBeaaIZ5QiggCLcBGAsYHQ/s72-c/Pic%252Bjpm.gif)
RAIS MAGUFULI ATOA BILLIONI 15 KUMALIZIA UJENZI HOSPITALI YA MWALIMU NYERERE MARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-L1qhpFBXwDE/XmI-Z03NjuI/AAAAAAALhgE/ahNIUppVPtUEIPQOCtIatFBeaaIZ5QiggCLcBGAsYHQ/s640/Pic%252Bjpm.gif)
Haya yamebainika wakati wa ziara ya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi katika hospitali hiyo kujionea maendeleo ya ujenzi wake.
Akizungumza mara baada ya...
9 years ago
StarTV12 Nov
Halmashauri ya Tanga yaagizwa kuandaa mipango ya ujenzi wa hospitali ya wilaya.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mwantumu Mahiza aagiza halmashauri ya wilaya ya Mkinga kumueleza namna watakavyojenga hospitali ya wilaya ifikapo mwezi Januari mwaka kesho.
Mahiza ambaye amehamishiwa hivi karibuni katika mkoa huo akitokea mkoani Pwani amesema ni jambo la aibu kwa halmashauri ya Mkinga ambayo imeanzishwa miaka mingi iliyopita kukosa hospitali ya wilaya.
Halimashauri ya wilaya ya Mkinga iliyoanzishwa kwa takribani miaka sita iliyopita kwa lengo la kusogeza huduma karibu na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-RBaG8KAU0Jc/XuSaL0NnsrI/AAAAAAABMWY/iNoJPmgVK4cXvW-t2YivmimSPzRJpBTIQCLcBGAsYHQ/s72-c/BIBI.png)
RAIS MAGUFULI AJIBU BARUA YA KIKONGWE, AAMURU APEWE EKARI, BIBI AMSHUKURU (+VIDE)
![](https://1.bp.blogspot.com/-RBaG8KAU0Jc/XuSaL0NnsrI/AAAAAAABMWY/iNoJPmgVK4cXvW-t2YivmimSPzRJpBTIQCLcBGAsYHQ/s400/BIBI.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-71CTNYK6aHU/XneICKv7FsI/AAAAAAALkuk/G9BTXUTWDYs_F2WsOM_a2jz_InX_eJhmgCLcBGAsYHQ/s72-c/8481e20e-497e-40ce-8dc5-bfbd031a65b4.jpg)
Dkt. Ndungulile apongeza kukamilika kwa ujenzi hospitali Wilaya ya Kibaha.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndungulile amepongeza wataalamu wa afya mkoani Pwani kwa kukamilisha ujenzi wa Hospitali mpya ya Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Mjini ambayo kwa sasa itatumika kulaza wagonjwa watakaobainika kuwa na maambukizi ya homa ya Corona.
Dkt. Ndungulile ameyasema hayo wakati alipotembelea hospitali hiyo na kuwataka wataalamu kujipanga vizuri ili kukabiliana na ugonjwa huo hasa ikizingatiwa Wilaya ya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-71CTNYK6aHU/XneICKv7FsI/AAAAAAALkuk/G9BTXUTWDYs_F2WsOM_a2jz_InX_eJhmgCLcBGAsYHQ/s72-c/8481e20e-497e-40ce-8dc5-bfbd031a65b4.jpg)
DKT. NDUNGULILE APONGEZA KUKAMILIKA KWA UJENZI HOSPITALI YA WILAYA YA KIBAHA
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndungulile amepongeza wataalamu wa afya mkoani Pwani kwa kukamilisha ujenzi wa Hospitali mpya ya Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Mjini ambayo kwa sasa itatumika kulaza wagonjwa watakaobainika kuwa na maambukizi ya homa ya Corona.
Dkt. Ndungulile ameyasema hayo wakati alipotembelea hospitali hiyo na kuwataka wataalamu kujipanga vizuri ili kukabiliana na ugonjwa huo hasa ikizingatiwa Wilaya ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BiaJbIWhBL8/XvJgWHDGiII/AAAAAAALvG0/kqF3MwTKx1kdDSCBsARVL5o86nypavBbgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200623_113423_0%2B%25281%2529.jpg)
MEYA MSTAAFU JIJI LA ARUSHA AMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KUTOA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO
Woinde Shizza, Michuzi TvA-RUSHA
Meya Mstaafu wa Halmashauri ya jiji la Arusha Kalist Lazaro amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli kwa kutoa fedha za miradi ya maendeleo kwa jiji la Arusha katika kipindi cha miaka mitano kuanzia 2015\2020 licha ya Halmashauri hiyo kuongozwa na upinzani.
Kalist aliyasema hayo wakati akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha na kuwataka Wana Arusha kumuunga mkono mh.Rais kwa hatua yake aliyoahidi na kuendelea kuahidi kuwa...
10 years ago
VijimamboMBUNGE WA VITI MAALUMU MKOA WA TANGA (CUF) AMINA MWIDAU ALIPOTEMBELEA HOSPITALI YA WILAYA YA PANGANI