Mbunge aliyeolewa na kinda atoa mpya
MBUNGE wa Viti Maalumu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rosweeter Kasikila (60), aliyeolewa na kinda wa miaka 26, Michael Christian, amegoma kutoa vyeti vya shule vya kijana huyo na kumtaka...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Oct
Mkasa wa binti aliyeolewa, mengine yaibuka
Ilikuwa Oktoba 7 mwaka huu, saa 1.00 asubuhi katika eneo la Mbondole, Kata ya Msongola, Wilaya la Ilala mkoani Dar es Salaam kulipozuka tafrani baada ya mwanamume mmoja kukamatwa akituhumiwa kumweka kinyumba binti mwenye umri wa miaka 15.
10 years ago
Habarileo11 Jul
Mbunge viti maalumu atoa msaada wa mil 6/-
MBUNGE wa Viti Maalum kupitia tiketi ya CCM mkoa wa Singida, Martha Mlata ametoa msaada wa vifaa tiba mbalimbali vyenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 5.7 kwa Kituo cha afya cha Sokoine cha mjini Singida.
5 years ago
MichuziMBUNGE KINGU ATOA MISAADA MBALIMBALI JIMBONI KWAKE
Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi, Elibariki Kingu (kushoto) akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo vifaa mbalimbali kwa ajili ya kupambana na Virusi vya Corona Wilayani humo jana. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapindunzi (CCM) wa Wilaya hiyo, Mika Likapakapa na Mkurugenzi wa wilaya hiyo, Justice Kijazi.
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo, akimshukuru Kingu baada ya kupokea msaada huo. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapindunzi (CCM) wa Wilaya hiyo,...
5 years ago
Michuzi
MBUNGE MATTEMBE ATOA MSAADA WA KOMPYUTA SHULE YA SEKONDARI ILONGERO


5 years ago
BBCSwahili27 Feb
Hauwa Ali Mariri: Mwanamke aliyeolewa na wanaume wawili Nigeria
Mgogoro mkali wa kimapenzi umeibuka katika jimbo la Kano nchini Nigeria ambapo wanaume wawili walimuoa mwanamke mmoja wakati tofauti.
10 years ago
GPLMBUNGE WA ILALA ATOA MSAADA WA JEZI KWA TIMU YA ASHANTI UNITED
Mbunge wa Jimbo la Ilala, Mussa Hassan Zungu (katikati), akiteta jambo na viongozi wa Ashanti kabla ya kutoa msaada wa jezi kwa timu hiyo.
Zungu (wa pili kulia) akimkabidhi jezi Katibu wa Ashanti United, Haji Bechina, kulia ni msemaji wa timu hiyo, Rajab Marijan na kushoto ni meneja, Frank Manati wakishuhudia.
 Zungu (katikati) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) mara baada ya kutoa msaada… ...
5 years ago
MichuziMBUNGE AYSHAROSE MATTEMBE ATOA TAARIFA YA ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2O15-2020
Wajumbe wa Baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Singida Mjini, wakimpongeza Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe (kulia) kwa utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2015-2020.
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Alexandrina Katabi, akizungumza katika mkutano huo.
Katibu wa UWT Singida Mjini, Maimuna Likunguni, akiendesha mkutano huo.
Mkutano ukiendelea.
Katibu wa UVCCM Mkoa wa Singida, George Silindu,...
5 years ago
Michuzi
MBUNGE AYSHAROSE MATTEMBE ATOA MIFUKO 50 YA SARUJI KUSAIDIA UJENZI WA MADARASA MANYONI

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Mhe. Aysharose Mattembe, akikabidhi mifuko ya saruji kwa viongozi wa Wilaya ya Manyoni.

Muonekano meza kuu.

Wazazi wa wanafunzi wa darasa la sita na la saba wa shule ya msingi Sayuni waliofika shuleni hapo kushuhudia makabidhiano ya mifuko ya saruji iliyotolewa na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Mhe. Aysharose Mattembe.

Wanafunzi wa darasa la sita na la saba wa Shule ya Msingi Sayuni, wakiwa katika picha ya pamoja Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa...
10 years ago
MichuziMBUNGE FILIKUNJOMBE ATOA MSAADA WA ZAIDI YA TSH MILIONI 15 UKARABATI WA KANISA LA RC MADUNDA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania