MBUNGE WA CHADEMA AELEZA SABABU ZA KUREJEA BUNGENI
![](http://4.bp.blogspot.com/-jIKk2mJPDRs/U-kBfc3ZzSI/AAAAAAAF-m0/CbKDD2LsYRA/s72-c/download.jpg)
Na Magreth Kinabo, MAELEZO Dodoma Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mhe Said Arfi (pichani) ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA)amezitaja sababu za kurejea katika bunge hilo, kuwa ni hofu ya Mwenyezi Mungu. Aidha Mhe Arfi ameitaja sababu nyingine ni kwamba amerudi katikaBunge hilo, ili kuhakikisha kwamba anaisadia nchi kupita katika mchakato wa Katiba mpya kwa amani na utulivu kwa kutumia kipaji chake na kuwatumikia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Mbunge wa CUF aeleza yanayojiri bungeni
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Mbunge Chadema atinga bungeni
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-SZLke0TYeMM/XsLQX4egdKI/AAAAAAAAUIU/mUt9hpSQfgM3C1dCTK1pWFp8auqinXUXQCLcBGAsYHQ/s72-c/dc.jpg)
MBUNGE CHADEMA AMWAGA CHOZI BUNGENI NAKUOMBA HIFDHI CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-SZLke0TYeMM/XsLQX4egdKI/AAAAAAAAUIU/mUt9hpSQfgM3C1dCTK1pWFp8auqinXUXQCLcBGAsYHQ/s640/dc.jpg)
11 years ago
Habarileo22 Apr
Wanavyuo wawasihi Ukawa kurejea bungeni
WANAFUNZI kutoka vyuo 10 vya elimu ya juu nchini, wamewasihi wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kurejea ndani ya Bunge Maalumu la Katiba kuendelea na majadiliano.
11 years ago
Habarileo20 Apr
Taasisi ya Kiislamu yawasihi Ukawa kurejea bungeni
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wametakiwa kurejea bungeni, kwani huko ndiko mahali sahihi pa kujenga hoja za kuboresha Katiba mpya, inayosubiriwa na Watanzania wote.
10 years ago
MichuziWajumbe wa Bunge la Katiba waaswa kurejea Bungeni
Kauli hiyo imetolewa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema alipokuwa akiongea na waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam.
Jaji Werema amesema kuwa wajumbe walio nje ya Bunge Maalum hawana budi kurejea bungeni na kuacha kumshinikiza Rais kulivunja bunge hilo kwani hana mamlaka ya kulivunja kulingana na sheria...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-SNkmIr-3rPc/VYOV35LPrJI/AAAAAAABAVw/ixurVoNEg6I/s72-c/DR.jpg)
BAADA YA KUCHUKUA FOMU, DK SHEIN AELEZEA SABABU ZA KUTAKA KUREJEA MADARAKANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-SNkmIr-3rPc/VYOV35LPrJI/AAAAAAABAVw/ixurVoNEg6I/s640/DR.jpg)
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar, ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya...
11 years ago
Mwananchi02 Jul
IBADA MAALUM: Maaskofu wawataka Ukawa kurejea bungeni
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Dk Nchimbi aeleza sababu za kuwajibika