Mbunge wa CUF aeleza yanayojiri bungeni
Macho na masikio ya Watanzania yameelekezwa Dodoma, wanasikiliza Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanavyowawakilisha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jIKk2mJPDRs/U-kBfc3ZzSI/AAAAAAAF-m0/CbKDD2LsYRA/s72-c/download.jpg)
MBUNGE WA CHADEMA AELEZA SABABU ZA KUREJEA BUNGENI
![](http://4.bp.blogspot.com/-jIKk2mJPDRs/U-kBfc3ZzSI/AAAAAAAF-m0/CbKDD2LsYRA/s1600/download.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK8pb7FvwlzKdxr9pw6Yqcpb-dTW18NXrc8BfP1l6pdgw4y3ViF2CLer9AQBGnjKn2TFMVZfCfDrjWrDECxCByUe/RaisahutubiaBungelaKatiba1.jpg)
YANAYOJIRI LEO BUNGENI DODOMA
10 years ago
Tanzania Daima12 Sep
Mbowe: Yanayojiri bungeni hayavumiliki
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema kinachoendelea kufanyika sasa bungeni Dodoma ni ukatili, unyanyasaji, wizi na ulafi wa fedha za watanzania. Pia, alisema Katiba mpya...
10 years ago
Habarileo11 Jun
Siro aeleza sababu CUF kuzuiwa maandamano
MKUU wa Operesheni wa Jeshi la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Siro ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa walikataza maandamano ya CUF kwasababu kulikuwa na taarifa za vitendo vya ugaidi ambavyo vingeweza kuwadhuru.
10 years ago
Habarileo16 Mar
Mbunge wa Tunduru aeleza machungu ya wajawazito
MBUNGE wa Tunduru Kusini, Mtutura Mtutura ametoa ushuhuda namna mkewe alivyopoteza maisha wakati wa kujifungua huku akihoji sababu za kutofanyika uchunguzi kwa vifo vya wajawazito, kubaini wanaosababisha kama ambavyo imekuwa ikifanyika zinapotokea ajali barabarani.
10 years ago
Bongo501 Jul
Afande Sele aeleza atakavyokuwa tofauti na wasanii wengine walioingia bungeni
10 years ago
Mtanzania10 Jan
CUF wamkimbiza mbunge wa CCM
Na Ally Badi, Lindi
MBUNGE wa Viti Maalumu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Zainab Kawawa, juzi alifukuzwa na vijana wa Kijiji cha Makinda waliokuwa na mawe na magongo wakati akijiandaa kufanya mkutano wa hadhara.
Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Makinda kilichopo Kata ya Kipule Wilaya ya Liwale, Salum Salum Kachwele, amelithibitishia MTANZANIA Jumamosi kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa Mbunge Kawawa alikutana na zahama hiyo wakati akijiandaa kutangaza nia ya kugombea ubunge wa...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Mbunge azomewa bungeni
MBUNGE wa Arumeru Magharibi, Dk. Godluck Ole Medeye (CCM), amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuzomewa na baadhi ya wabunge wenzake kutokana na kushindwa kuuliza swali la nyongeza. Hali hiyo...
9 years ago
Mwananchi20 Aug
Mbunge CCM Lindi ahamia CUF