Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge wa Tunduru aeleza machungu ya wajawazito

Mbunge wa Tunduru Kusini, Mtutura MtuturaMBUNGE wa Tunduru Kusini, Mtutura Mtutura ametoa ushuhuda namna mkewe alivyopoteza maisha wakati wa kujifungua huku akihoji sababu za kutofanyika uchunguzi kwa vifo vya wajawazito, kubaini wanaosababisha kama ambavyo imekuwa ikifanyika zinapotokea ajali barabarani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MBUNGE ATUMIA ML 485 KWA AJILI YA MAENDELEO TUNDURU

Mbunge wa jimbo la Tunduru Kusini Daimu Mpakate kulia akiongea na wakazi wa kijiji cha Chiwana kata ya Chiwana Wilayani Tunduru jana katika mkutano wa Hadhara ambapo alitoa shilingi ml 12 kwa ajili ya ujenzi wa matundu ya vyoo na ukarabati wa vyumba vya madarasa kwa baadhi ya shule za msingi katika kata hiyo. 
MBUNGE wa jimbo la Tunduru Kusini Daimu Mpakate,amewataka wakazi wa kijiji cha Chiwana kata ya Chiwana wilayani Tunduru,kuwa walinzi wa  miradi  inayoendelea kutekelezwa  na Serikali...

 

9 years ago

GPL

HUYU NDIYE RAMO MAKANI MBUNGE WA TUNDURU KASKAZINI

Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini, Eng Ramo Makani.

 

11 years ago

Michuzi

Rais Kikwete afungua ujenzi wa barabara Tunduru - Mangaka matemanga,pia azindua mradi wa maji Nalasi -Tunduru

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete (katikati) na balozi mdogo wa Japan nchini Kazuyoshi Matsunaga (wa tatu kushoto) wakishirikiana kukata utepe ikiwa ni ishara ya kuzindua ujenzi wa Barabara ya Tunduru-Mangaka Matemanga mradi unaojengwa na Serikali ya Tanzania kwa ushirikiano wa serikali ya Japan kupitia shirika lake la kimataifa la maendeleo JICA.Wengine pichani toka kushoto ni ni Mbunge wa Nanyumbu Dunstan Mkapa,Mkuu wa Mkoa wa Mtwara,Kapten Mstaafu Joseph Simbakalia,Waziri wa ujenzi Dkt. John...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge wa CUF aeleza yanayojiri bungeni

Macho na masikio ya Watanzania yameelekezwa Dodoma, wanasikiliza Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanavyowawakilisha.

 

11 years ago

Michuzi

MBUNGE WA CHADEMA AELEZA SABABU ZA KUREJEA BUNGENI

Na Magreth Kinabo, MAELEZO Dodoma  Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mhe Said Arfi (pichani) ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA)amezitaja sababu za kurejea katika bunge hilo, kuwa ni hofu ya Mwenyezi Mungu.  Aidha Mhe Arfi ameitaja sababu nyingine ni kwamba amerudi katikaBunge hilo, ili kuhakikisha kwamba anaisadia nchi kupita katika mchakato wa Katiba mpya kwa amani na utulivu kwa kutumia kipaji chake na kuwatumikia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK ampoza machungu Warioba

KITENDO cha Rais Jakaya Kikwete kumtunukia nishani aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kwa kuuenzi Muungano, ni sawa na kumlamba kisogo kiongozi huyo. Nishani hiyo...

 

9 years ago

Raia Mwema

Matamu, machungu na majigambo ya Rage

WAKATI mmoja kwenye miaka ya 1990, jina la Ismail Aden Rage liliitwa kwenye mojawapo ya viwanja v

Ezekiel Kamwaga

 

10 years ago

GPL

AMANDA AJIPOZA MACHUNGU NA PAKA!

Msanii wa filamu Bongo, Sabrina Poshi ‘Amanda’ akimkumbatia paka wake. Na Gladness Mallya/Ijumaa Wikienda
MSANII wa filamu Bongo, Sabrina Poshi ‘Amanda’ ameonekana kama anajipoza machungu kwa kugeuza paka kuwa kama mtoto wake kwa kumpakata na kumtunza kama binadamu. Akipiga stori na gazeti hili, Amanda alisema amefikia hatua hiyo kutokana kwa sababu anapenda sana watoto hivyo kwa kuwa hajajaliwa...

 

9 years ago

GPL

RAY AZIDISHA MACHUNGU UKAWA!

Staa wa filamu Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’. Imelda Mtema STAA wa filamu Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ ameendelea kushusha maneno kwa chama kinachounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) baada ya kufunguka hadharani kuwa hawakuwa na sera ambazo zingemfanya aendelee kubaki. Staa huyo ambaye kwa sasa amerudi Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliiambia Amani kuwa, kurudi kwake CCM hakumaanishi kama amehongwa kama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani