RAY AZIDISHA MACHUNGU UKAWA!
![](http://api.ning.com:80/files/3ydo-rPuK9p1XIJrIoV662vOY4A0*rd5gLbgLzV3iM4RFzxgvKilsW6B1Qs8WuSx88OLJb*NuWNhKP*HARBXTnfVze192lvG/VincentKigosi531.jpg)
Staa wa filamu Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’. Imelda Mtema STAA wa filamu Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ ameendelea kushusha maneno kwa chama kinachounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) baada ya kufunguka hadharani kuwa hawakuwa na sera ambazo zingemfanya aendelee kubaki. Staa huyo ambaye kwa sasa amerudi Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliiambia Amani kuwa, kurudi kwake CCM hakumaanishi kama amehongwa kama...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies18 Sep
Ray Azidisha Machungu Ukawa!
STAA wa filamu Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ ameendelea kushusha maneno kwa chama kinachounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) baada ya kufunguka hadharani kuwa hawakuwa na sera ambazo zingemfanya aendelee kubaki.
Staa huyo ambaye kwa sasa amerudi Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliiambia Amani kuwa, kurudi kwake CCM hakumaanishi kama amehongwa kama watu wanavyoendelea kusambaza habari hizo bali amekwenda kutokana na kuvutiwa na sera.
“Naomba nieleweke kuwa dhamira yangu ya kubaki Ukawa ndiyo...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HD0RdVTwp0BMl9*Jv7CjNUmagNWeblx0AQvRSPEnbH4v0pZzLFbN-YrVG8J0k4VwJTkB7JC9nI3-lvu6behrZZGDkgcbRDyb/JUMAMOSI.jpg)
CHUCHU AMFUATA RAY UKAWA
9 years ago
Bongo Movies14 Sep
Ray Kutoa Tamko Juu ya Tetesi za Kuhama UKAWA
Kufuatia tetesi kuenea mtandaoni kuwa staa wa Bongo Moveis , Vicent Kigosi ‘Ray ‘ amehama UKAWA “team mabadiliko” na kwenda upande wa CCM., Ray amepanga kuvunja ukimya na kutoa tamko lake rasmi juu ya swala hilo.
Kupitia ukursa wake kwenye mtandao wa kijamii wa instagram Ray ambaye amekuwa akishambuliwa na baadhi mashakibi wake kwenye mtandao huo wakidai kuwa amenunuliwa , aliandika haya;
“Nimeyasikia mengi sana kwenye mitandao ya kijamii ila nasema hivi nitatoa tamko langu...
11 years ago
Tanzania Daima24 May
AY azidisha joto la ZIFF 2014
MWANAMUZIKI nguli aliyeuteka muziki wa Afrika Mashariki, mkali wa Hip Hop Commercial, Ambwene Yesaya ‘AY’, amelipongeza Tamasha la Filamu la Kimataifa la Nchi za Majahazi, maarufu kama ZIFF, kuwa uwepo...
10 years ago
Bongo Movies15 Feb
Ray Feki Awatapeli Watu Facebook, Ray Waukweli Atoa Angalizo!
“Wadau na wasanii wote mnaotaka kuigiza msidanganyike na account hii ya Facebook SIYO YANGU NI FAKE.
Maana napata tabu sana Ofisini kwangu watu wanakuja kudai Hela wakisema kuwa Eti Mimi nimetangaza usahili kupitia kwenye account hiyo hapo juu fake Kuwa nahitaji wasanii ni uongo mtupu mnaibiwa pesa zenu na namba anayotumia kuwaibia Watu Hela ni hiii hapa 0779 946440.
Msidanganywe ni matapeli hao Mimi Sijatangaza Chochote kwenye Facebook. Im done hope That You Have All understood...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcreM0c1gpUfwU*9fPZNSDp8jEe7K2VgKoF3-EGhGeUqn-mbVKjY6ZF*n2qfJYVD2zHLWAi9COROLFB4wrXpzx-d/chuhcu.jpg?width=650)
CHUCHU AJICHORA TATUU YA RAY, RAY AJIBU
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
JK ampoza machungu Warioba
KITENDO cha Rais Jakaya Kikwete kumtunukia nishani aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kwa kuuenzi Muungano, ni sawa na kumlamba kisogo kiongozi huyo. Nishani hiyo...
9 years ago
Raia Mwema06 Jan
Matamu, machungu na majigambo ya Rage
WAKATI mmoja kwenye miaka ya 1990, jina la Ismail Aden Rage liliitwa kwenye mojawapo ya viwanja v
Ezekiel Kamwaga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FkLMylrJqnUDk8MHIwlmxJKYZe3b*0ocOpMGa2JZA4ONmttYd*U16RkXAJwLHSDVpd7AuhDUauitdWskhUvz9lT9OCmqvVis/IMG20150121WA0002.jpg?width=650)
AMANDA AJIPOZA MACHUNGU NA PAKA!