Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAY AZIDISHA MACHUNGU UKAWA!

Staa wa filamu Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’. Imelda Mtema STAA wa filamu Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ ameendelea kushusha maneno kwa chama kinachounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) baada ya kufunguka hadharani kuwa hawakuwa na sera ambazo zingemfanya aendelee kubaki. Staa huyo ambaye kwa sasa amerudi Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliiambia Amani kuwa, kurudi kwake CCM hakumaanishi kama amehongwa kama...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Ray Azidisha Machungu Ukawa!

STAA wa filamu Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ ameendelea kushusha maneno kwa chama kinachounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) baada ya kufunguka hadharani kuwa hawakuwa na sera ambazo zingemfanya aendelee kubaki.

Staa huyo ambaye kwa sasa amerudi Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliiambia Amani kuwa, kurudi kwake CCM hakumaanishi kama amehongwa kama watu wanavyoendelea kusambaza habari hizo bali amekwenda kutokana na kuvutiwa na sera.

“Naomba nieleweke kuwa dhamira yangu ya kubaki Ukawa ndiyo...

 

9 years ago

GPL

CHUCHU AMFUATA RAY UKAWA

STAA wa filamu Bongo, Chuchu Hans ameamua kumfuata mchumba wake ambaye pia ni muigizaji, Vincent Kigosi ‘Ray’ katika vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Akizungumza na Amani, Chuchu alisema kuwa kupitia Ukawa, ameamua kuingia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kuanzia sasa atambulike kama mmoja wa wanachama wa chama hicho.  ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1IiS1QZ ...

 

9 years ago

Bongo Movies

Ray Kutoa Tamko Juu ya Tetesi za Kuhama UKAWA

Kufuatia tetesi kuenea mtandaoni kuwa staa wa Bongo Moveis , Vicent Kigosi ‘Ray ‘ amehama UKAWA “team mabadiliko” na kwenda upande wa CCM., Ray amepanga kuvunja ukimya na kutoa tamko lake rasmi juu ya swala hilo.

Kupitia ukursa wake kwenye mtandao  wa  kijamii wa instagram Ray ambaye amekuwa akishambuliwa na baadhi mashakibi wake kwenye mtandao huo wakidai kuwa amenunuliwa , aliandika haya;

“Nimeyasikia mengi sana kwenye mitandao ya kijamii ila nasema hivi nitatoa tamko langu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

AY azidisha joto la ZIFF 2014

MWANAMUZIKI nguli aliyeuteka muziki wa Afrika Mashariki, mkali wa Hip Hop Commercial, Ambwene Yesaya ‘AY’, amelipongeza Tamasha la Filamu la Kimataifa la Nchi za Majahazi, maarufu kama ZIFF, kuwa uwepo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ray Feki Awatapeli Watu Facebook, Ray Waukweli Atoa Angalizo!

“Wadau na wasanii wote mnaotaka kuigiza msidanganyike na account hii ya Facebook SIYO YANGU NI FAKE.

Maana napata tabu sana Ofisini kwangu watu wanakuja kudai Hela wakisema kuwa Eti Mimi nimetangaza usahili kupitia kwenye account hiyo hapo juu fake Kuwa nahitaji wasanii ni uongo mtupu mnaibiwa pesa zenu na namba anayotumia kuwaibia Watu Hela ni hiii hapa 0779 946440.

Msidanganywe ni matapeli hao Mimi Sijatangaza Chochote kwenye Facebook. Im done hope That You Have All understood...

 

11 years ago

GPL

CHUCHU AJICHORA TATUU YA RAY, RAY AJIBU

Stori: Imelda Mtema
KATIKA hali inayoonesha kuna kitu kikubwa kinakuja mbeleni, msanii wa filamu, Chuchu Hans amejichora ‘tatuu’ inayosomeka kwa jina la Ray huku anayedaiwa kuwa mpenzi wake, Vincent Kigosi ‘Ray’ naye akiwa amejichora tatuu inayosomeka kwa jina la Chuchu. Ray na Chuchu. Picha ambazo gazeti hili limezinasa zinawaonesha wawili hao wakipigia ‘promo’ uhusiano wao huku wadau...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK ampoza machungu Warioba

KITENDO cha Rais Jakaya Kikwete kumtunukia nishani aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kwa kuuenzi Muungano, ni sawa na kumlamba kisogo kiongozi huyo. Nishani hiyo...

 

9 years ago

Raia Mwema

Matamu, machungu na majigambo ya Rage

WAKATI mmoja kwenye miaka ya 1990, jina la Ismail Aden Rage liliitwa kwenye mojawapo ya viwanja v

Ezekiel Kamwaga

 

10 years ago

GPL

AMANDA AJIPOZA MACHUNGU NA PAKA!

Msanii wa filamu Bongo, Sabrina Poshi ‘Amanda’ akimkumbatia paka wake. Na Gladness Mallya/Ijumaa Wikienda
MSANII wa filamu Bongo, Sabrina Poshi ‘Amanda’ ameonekana kama anajipoza machungu kwa kugeuza paka kuwa kama mtoto wake kwa kumpakata na kumtunza kama binadamu. Akipiga stori na gazeti hili, Amanda alisema amefikia hatua hiyo kutokana kwa sababu anapenda sana watoto hivyo kwa kuwa hajajaliwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani