JK ampoza machungu Warioba
KITENDO cha Rais Jakaya Kikwete kumtunukia nishani aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kwa kuuenzi Muungano, ni sawa na kumlamba kisogo kiongozi huyo. Nishani hiyo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Profesa Anna Tibaijuka ampoza Mrema
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s72-c/1.jpg)
JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA KWENYE KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KAWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-D6jzGhxpqTw/VgFSU7wmRFI/AAAAAAAAn6U/Tt1AlaI5QWY/s640/3.jpg)
9 years ago
Bongo Movies18 Sep
Ray Azidisha Machungu Ukawa!
STAA wa filamu Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ ameendelea kushusha maneno kwa chama kinachounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) baada ya kufunguka hadharani kuwa hawakuwa na sera ambazo zingemfanya aendelee kubaki.
Staa huyo ambaye kwa sasa amerudi Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliiambia Amani kuwa, kurudi kwake CCM hakumaanishi kama amehongwa kama watu wanavyoendelea kusambaza habari hizo bali amekwenda kutokana na kuvutiwa na sera.
“Naomba nieleweke kuwa dhamira yangu ya kubaki Ukawa ndiyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FkLMylrJqnUDk8MHIwlmxJKYZe3b*0ocOpMGa2JZA4ONmttYd*U16RkXAJwLHSDVpd7AuhDUauitdWskhUvz9lT9OCmqvVis/IMG20150121WA0002.jpg?width=650)
AMANDA AJIPOZA MACHUNGU NA PAKA!
9 years ago
Raia Mwema06 Jan
Matamu, machungu na majigambo ya Rage
WAKATI mmoja kwenye miaka ya 1990, jina la Ismail Aden Rage liliitwa kwenye mojawapo ya viwanja v
Ezekiel Kamwaga
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3ydo-rPuK9p1XIJrIoV662vOY4A0*rd5gLbgLzV3iM4RFzxgvKilsW6B1Qs8WuSx88OLJb*NuWNhKP*HARBXTnfVze192lvG/VincentKigosi531.jpg)
RAY AZIDISHA MACHUNGU UKAWA!
10 years ago
Mtanzania19 Mar
Msuya akumbuka machungu ya kauli yake
Elias Msuya na Elizabeth Hombo
WAZIRI Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya, amekumbusha machungu ya kauli yake ya zamani ya “kila Mtanzania ataubeba msalaba wake”, huku akiwataka Watanzania kuacha kuwa walalamikaji kwa kila jambo.
Msuya aliyewahi kuwa waziri mkuu mara mbili (Novemba 7, 1980 hadi Februari 1983 na Desemba 7, 1994 hadi Novemba 28, 1995), alitoa kauli hiyo bungeni akiwa waziri wa fedha mwaka 1989.
Akizungumza jana katika uzinduzi wa Kavazi la Mwalimu Nyerere lililoandaliwa na Kituo cha...
10 years ago
Habarileo16 Mar
Mbunge wa Tunduru aeleza machungu ya wajawazito
MBUNGE wa Tunduru Kusini, Mtutura Mtutura ametoa ushuhuda namna mkewe alivyopoteza maisha wakati wa kujifungua huku akihoji sababu za kutofanyika uchunguzi kwa vifo vya wajawazito, kubaini wanaosababisha kama ambavyo imekuwa ikifanyika zinapotokea ajali barabarani.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3vKQkh-FlonAMgmkmXHcPaju2QwoVoh6se9mMJenz-QooMNv6*m3ow5XNpDr1Ae5IUVT4M4JqM7gcpZ4g1iATZlco6kgP7j3/magige.jpg?width=650)
MAGIGE AONJA MACHUNGU YA MAADUI WA ZITTO