MBUNGE ATUMIA ML 485 KWA AJILI YA MAENDELEO TUNDURU
![](https://1.bp.blogspot.com/--2dKvkh-vtg/XmI2Y1qFB_I/AAAAAAALhfM/N_IeaSw4dpEH5MFry7xxBqrRI27hX0FAwCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
Mbunge wa jimbo la Tunduru Kusini Daimu Mpakate kulia akiongea na wakazi wa kijiji cha Chiwana kata ya Chiwana Wilayani Tunduru jana katika mkutano wa Hadhara ambapo alitoa shilingi ml 12 kwa ajili ya ujenzi wa matundu ya vyoo na ukarabati wa vyumba vya madarasa kwa baadhi ya shule za msingi katika kata hiyo.
MBUNGE wa jimbo la Tunduru Kusini Daimu Mpakate,amewataka wakazi wa kijiji cha Chiwana kata ya Chiwana wilayani Tunduru,kuwa walinzi wa miradi inayoendelea kutekelezwa na Serikali...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo09 Jul
Dewji aaga jimboni Singida, atumia bil 5/- kwa maendeleo
MBUNGE wa Singida mjini na mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji, amesema hatagombea ubunge wa jimbo hilo tena baada ya kulitumikia kwa miaka 10 na kuwezesha maendeleo makubwa katika sekta za elimu na afya.
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Rasilimali kwa ajili ya malengo endelevu ya maendeleo zinaweza kutoka wapi?
11 years ago
MichuziHALMASHAURI ZATAKIWA KUTENGA MAENEO KWA AJILI YA SHUGHULI ZA MAENDELEO YA VIJANA
10 years ago
Habarileo16 Mar
Mbunge wa Tunduru aeleza machungu ya wajawazito
MBUNGE wa Tunduru Kusini, Mtutura Mtutura ametoa ushuhuda namna mkewe alivyopoteza maisha wakati wa kujifungua huku akihoji sababu za kutofanyika uchunguzi kwa vifo vya wajawazito, kubaini wanaosababisha kama ambavyo imekuwa ikifanyika zinapotokea ajali barabarani.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rXthJ5PT8qM/Xrv6oXFhG0I/AAAAAAALqEo/X_bV8yh3Jmw5X2ykHPWc-YfVLpOfuwr7QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200513-WA0041.jpg)
ULEGA AKABIDHI MIL.3 NA MIFUKO YA SARUJI 140 KWA AJILI YA MIRADI YA MAENDELEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-rXthJ5PT8qM/Xrv6oXFhG0I/AAAAAAALqEo/X_bV8yh3Jmw5X2ykHPWc-YfVLpOfuwr7QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200513-WA0041.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-4hlU3um542s/Xrv6oeDjl2I/AAAAAAALqEs/QUjoR8fdYL84Nt3--UpSTJsuhHjDCKoPACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200513-WA0042.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Vz8TUxr_N5k/Xrv6ogL-SSI/AAAAAAALqEw/Xw59A8vb0PYIO3IjqCak7sptYI3bIPWMACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200513-WA0043.jpg)
Zoezi hilo ni sehemu ya utekelezaji wa ahadi mbalimbali alizozitoa mbunge Ulega kwenye miradi ya maendeleo.
Miradi iliyonufaika ni pamoja na ujenzi wa kituo cha afya Lukanga saruji mifuko 50, ujenzi wa zahanati Yavayava saruji mifuko 50, ujenzi wa kivuko Churwi 30, ujenzi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9m7DTNHXEPE/VBBdNUueNSI/AAAAAAAGils/d03x-lSTseg/s72-c/1.jpg)
TRL YASAINI MKATABA NA BENKI YA MAENDELEO YA TIB KWA AJILI YA UNDESHAJI WA KAMPUNI HIYO
![](http://1.bp.blogspot.com/-9m7DTNHXEPE/VBBdNUueNSI/AAAAAAAGils/d03x-lSTseg/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dyUyilttm-c/VBBdQmp1MeI/AAAAAAAGil0/gpeRhHPkcoU/s1600/2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bYocnjXOIXUpr0xbs1zQJocZWqsCgMoYdz1-8ocZzTFy-8ExeCc7tCMlJofQFTobe4ebJzkQz80jgrVH9iKA0OUCMxX5gSaD/TRL1.jpg?width=650)
TRL YASAINI MKATABA NA BENKI YA MAENDELEO YA TIB KWA AJILI YA UENDESHAJI WA KAMPUNI HIYO
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/ramo-makani.jpg)
HUYU NDIYE RAMO MAKANI MBUNGE WA TUNDURU KASKAZINI
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
DC Tunduru awataka wadau wa misitu kushiriki katika maendeleo vijijini
Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Chande Nalicho.
Na Steven Augustino wa Demashonews,Tunduru
SERIKALI Wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma, imewataka wafanyabiashara walioomba kuvuna mazao ya misitu Wilayani humu, kutoa ushirikiano katika uendelezaji wa elimu ikiwa ni pamoja na kutoa misaaa ya kutengeneza madawati na kuyasambaza katika shule zilizopo Wilayani humu.
Wito huo, umetolewa na Mwenyekiti wa kamati ya uvunaji wa mazao ya misitu wilayani Tunduru, Mkuu wa Wilaya ya hiyo, Bw. Chande Nalicho,...