Mbowe: Yanayojiri bungeni hayavumiliki
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema kinachoendelea kufanyika sasa bungeni Dodoma ni ukatili, unyanyasaji, wizi na ulafi wa fedha za watanzania. Pia, alisema Katiba mpya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK8pb7FvwlzKdxr9pw6Yqcpb-dTW18NXrc8BfP1l6pdgw4y3ViF2CLer9AQBGnjKn2TFMVZfCfDrjWrDECxCByUe/RaisahutubiaBungelaKatiba1.jpg)
YANAYOJIRI LEO BUNGENI DODOMA
April 15, 2014, Muungano bado kasheshe
Kikao cha Bunge maalum la katiba kinaendelea leo hii, kinachojadiliwa hasa ni sura ya kwanza na sita ya Rasimu ya Katiba. Kama ilivyo kawaida, wajumbe wanaendelea kulumbana, Chama Cha Mapinduzi wakikazania Muundo wa serikali mbili na wale wa upinzani wakitetea serikali tatu, kama ilivyowasilishwa na Tume Maalum ya kukusanya maoni iliyoongozwa na Jaji Joseph Warioba. Wajumbe wa Bunge hilo...
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Mbunge wa CUF aeleza yanayojiri bungeni
Macho na masikio ya Watanzania yameelekezwa Dodoma, wanasikiliza Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanavyowawakilisha.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s72-c/PG4A1896.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s1600/PG4A1896.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2PKiPMgnKWw/VHo-0aq8WJI/AAAAAAADJJo/vF30JsHqgOs/s1600/PG4A1852.jpg)
11 years ago
Mwananchi08 Mar
Mbowe akerwa na utoto bungeni
>Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe,amekemea vikali tabia ya baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba,kuzomeana.
11 years ago
Habarileo03 May
Mbowe kupangua 'mawaziri’ bungeni
KIONGOZI wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe amesema anatarajia kuvunja na kuunda upya Baraza la Mawaziri Vivuli, litakaloshirikisha viongozi wengine wa vyama vya upinzani, wanaounda kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-djTJVSwDk4w/Ux347Ne4QMI/AAAAAAAFSyU/F8rLvYj7HNo/s72-c/unnamed+(50).jpg)
Lipumba, Mbatia, Mbowe na Vuai wakichangia mjadala Bungeni jioni hii
Busara za viongozi wa kisiasa katika semina ya kujadili kanuni zimeokoa jahazi na kikao kuendelea salama leo jioni.
Mwenyekiti wa chama cha CUF na mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Prof. Ibrahimu Lipumba akichangia.
Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi na Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mhe.James Mbatia akichangia .
Mwenyekiti wa chama cha CHADEMA na mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Freeman Mbowe akichangia.
Naibu katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Tanzania Visiwani na...
![](http://1.bp.blogspot.com/-djTJVSwDk4w/Ux347Ne4QMI/AAAAAAAFSyU/F8rLvYj7HNo/s1600/unnamed+(50).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8c45krtCORg/Ux347UMJAkI/AAAAAAAFSyg/7q_dkzVc_ko/s1600/unnamed+(51).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y_FKZVjZKm8/Ux347c61Q9I/AAAAAAAFSyY/FI4XlaArAvg/s1600/unnamed+(52).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ERMYs6B0aCk/Ux348NZtDsI/AAAAAAAFSyk/eVBTdYQJ8Bg/s1600/unnamed+(53).jpg)
10 years ago
Vijimambo25 Nov
11 years ago
BBCSwahili10 Dec
Yanayojiri kwenye misa ya wafu ya Mandela
Haya ni matokeo kama yanavyojiri nchini Afrika Kusini misa ya wafu ya Mandela ikiendelea
10 years ago
Vijimambo23 Feb
TUMAINI MAKENE: YANAYOJIRI NJOMBE - BVR
PRESS BRIEFING;CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO -CHADEMA
YANAYOJIRI NJOMBE - BVR
1. Ikiwa zoezi la uandikishaji limeanza leo tarehe 23 Feb na likitarajiwa kuzinduliwa rasmi kesho tarehe 24 Feb na Waziri Mkuu Pinda, Naibu Katibu wa CHADEMA upande wa Tanganyika ameanza Operesheni R2R BVR ambapo asubuhi mpaka mchana alikuwa katika Mji wa Makambako akipitia mitaani pamoja na msafara wa viongozi wa chama hicho ngazi mbalimbali kuhamasisha wananchi kujiandikisha.
Aidha, Operesheni hiyo imehusisha...
YANAYOJIRI NJOMBE - BVR
1. Ikiwa zoezi la uandikishaji limeanza leo tarehe 23 Feb na likitarajiwa kuzinduliwa rasmi kesho tarehe 24 Feb na Waziri Mkuu Pinda, Naibu Katibu wa CHADEMA upande wa Tanganyika ameanza Operesheni R2R BVR ambapo asubuhi mpaka mchana alikuwa katika Mji wa Makambako akipitia mitaani pamoja na msafara wa viongozi wa chama hicho ngazi mbalimbali kuhamasisha wananchi kujiandikisha.
Aidha, Operesheni hiyo imehusisha...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania