YANAYOJIRI NYUMBANI
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima12 Sep
Mbowe: Yanayojiri bungeni hayavumiliki
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema kinachoendelea kufanyika sasa bungeni Dodoma ni ukatili, unyanyasaji, wizi na ulafi wa fedha za watanzania. Pia, alisema Katiba mpya...
11 years ago
GPLYANAYOJIRI LEO BUNGENI DODOMA
April 15, 2014, Muungano bado kasheshe
Kikao cha Bunge maalum la katiba kinaendelea leo hii, kinachojadiliwa hasa ni sura ya kwanza na sita ya Rasimu ya Katiba. Kama ilivyo kawaida, wajumbe wanaendelea kulumbana, Chama Cha Mapinduzi wakikazania Muundo wa serikali mbili na wale wa upinzani wakitetea serikali tatu, kama ilivyowasilishwa na Tume Maalum ya kukusanya maoni iliyoongozwa na Jaji Joseph Warioba. Wajumbe wa Bunge hilo...
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Mbunge wa CUF aeleza yanayojiri bungeni
Macho na masikio ya Watanzania yameelekezwa Dodoma, wanasikiliza Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanavyowawakilisha.
10 years ago
Vijimambo23 Feb
TUMAINI MAKENE: YANAYOJIRI NJOMBE - BVR
PRESS BRIEFING;CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO -CHADEMA
YANAYOJIRI NJOMBE - BVR
1. Ikiwa zoezi la uandikishaji limeanza leo tarehe 23 Feb na likitarajiwa kuzinduliwa rasmi kesho tarehe 24 Feb na Waziri Mkuu Pinda, Naibu Katibu wa CHADEMA upande wa Tanganyika ameanza Operesheni R2R BVR ambapo asubuhi mpaka mchana alikuwa katika Mji wa Makambako akipitia mitaani pamoja na msafara wa viongozi wa chama hicho ngazi mbalimbali kuhamasisha wananchi kujiandikisha.
Aidha, Operesheni hiyo imehusisha...
YANAYOJIRI NJOMBE - BVR
1. Ikiwa zoezi la uandikishaji limeanza leo tarehe 23 Feb na likitarajiwa kuzinduliwa rasmi kesho tarehe 24 Feb na Waziri Mkuu Pinda, Naibu Katibu wa CHADEMA upande wa Tanganyika ameanza Operesheni R2R BVR ambapo asubuhi mpaka mchana alikuwa katika Mji wa Makambako akipitia mitaani pamoja na msafara wa viongozi wa chama hicho ngazi mbalimbali kuhamasisha wananchi kujiandikisha.
Aidha, Operesheni hiyo imehusisha...
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Ban Ki-Moon alaani yanayojiri S.kusini
Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa, Ban Ki Moon amelaani kufukuzwa kwa mratibu wa misaada ya kibinaadam Sudani kusini
11 years ago
BBCSwahili10 Dec
Yanayojiri kwenye misa ya wafu ya Mandela
Haya ni matokeo kama yanavyojiri nchini Afrika Kusini misa ya wafu ya Mandela ikiendelea
10 years ago
MichuziMsama afafanua yanayojiri Kituo cha Honoratha
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, kuhusu taarifa za upotoshwaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari kuhusiana na Kituo cha Kulelea Watoto Yatima cha Honoratha kilichopo Temeke jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, kuhusu taarifa za upotoshwaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya...
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Mwalimu Kambarage, unajua yanayojiri huku baba? — 2
Mwalimu, baba yetu, leo naendelea kukujuza yale yanayoendelea huku kwetu mkuu. Bahati nzuri ni kuwa sikupokea ujumbe unaosomeka “Mabwepandeâ€, “tindikali†“kucha†au “menoâ€â€¦.hivyo naongea nawe nikiwa na afya tele.
11 years ago
GPLYANAYOJIRI KIGOMA KATIKA MAZISHI YA MAMA YAKE ZITTO
Mwili wa marehemu Shida Salum ukiandaliwa kwa ajili ya kuombewa. Mwili wa marehemu Shida Salum ukiombewa.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania