Mwalimu Kambarage, unajua yanayojiri huku baba? — 2
Mwalimu, baba yetu, leo naendelea kukujuza yale yanayoendelea huku kwetu mkuu. Bahati nzuri ni kuwa sikupokea ujumbe unaosomeka “Mabwepandeâ€, “tindikali†“kucha†au “menoâ€â€¦.hivyo naongea nawe nikiwa na afya tele.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/kP9-yViUa9w/default.jpg)
10 years ago
GPLMWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE - BIOGRAPHY
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4kuDfUXMHbo/VSwdPrjXNzI/AAAAAAAHRBY/SK8Mn9d6Y60/s72-c/CCdtGPXWEAAF0t_.jpg)
Leo ni siku ya kuzaliwa mwalimu julius kambarage nyerere
![](http://4.bp.blogspot.com/-4kuDfUXMHbo/VSwdPrjXNzI/AAAAAAAHRBY/SK8Mn9d6Y60/s1600/CCdtGPXWEAAF0t_.jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Oct
MODEWJIBLOG na Kumbukumbu ya miaka 16 ya tangu kifo cha Mwalimu Julius Kambarage Nyerere!
Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alizaliwa mwaka 1922 katika kijiji cha Butiama, wilaya ya Musoma, mkoa wa Mara, Tanzania (wakati ule: Tanganyika). leo hii ni miaka 16 tangu atangulie mbele za haki huku taifa na vizazi vyake vikiendelea kumkumbuka na kuenzi utashi na uongozi wake ulitukuka katika taifa hili la Tanzania.
Mtandao wa Modewjiblog unaungana na Watanzania wote popote pale walipo katika kuombeleza kumbukumbu hii ya Baba wa Taifa, Mwl. Nyerere. Pia tunatumia...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/aU0q8cv1pdI/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo16 Jan
UNAJUA WATOTO WATATU WA DEMU WA DIAMOND ZARI__WAONE HAPA__PIA KAWAJIBU WALE WANAOSEMA ANAKULA BATA TU NA DIAMOND HUKU KAWAACHA WATOTO WAKE WANATESEKA
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/924422_753949534690828_37790630_n.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-o0foux9_A4g/Vg6w8I_TlNI/AAAAAAAAz2w/jX-MjAeHDJc/s72-c/DSC_0861.jpg)
MAMA SAMIA AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE
![](http://1.bp.blogspot.com/-o0foux9_A4g/Vg6w8I_TlNI/AAAAAAAAz2w/jX-MjAeHDJc/s640/DSC_0861.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mpqqL6TWrKs/Vg6w9Lo5qII/AAAAAAAAz28/iFz0P5hR6E8/s640/DSC_0865.jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Oct
Taasisi ya Mwalimu Nyerere yaandaa maonyesho na mdahalo wa kukumbuka miaka 15 ya kifo cha Baba wa Taifa
Na Anna Nkinda – Maelezo
Taasisi ya Mwalimu Nyerere kwa kushirikiana na Makumbusho ya Taifa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wameandaa maonyesho na mdahalo wa kukumbuka na kuenzi mchango wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika kujenga, kutetea, kulinda na kudumisha amani Duniani.
Maonyesho hayo ya siku tano ambayo yatafunguliwa tarehe 13 na kumalizika terehe 17 mwezi huu yatafanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa yaliyopo jijini Dar es Salaam.
Kwa...
10 years ago
VijimamboKIJANA AKOTWA HUKU KANISA NYASUBI KAHAMA HUKU IKIWA HAWEZI KUONGEA VIZURI