MBWA WA UBALOZI WAMLA MTOTO!
![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4TYEYfrgIbk1AXzMzWSP1aoN8S*fgUyzg72ZwS7GNC0bB9LnEcffsXEyNChniHjClGPCDWvbEdour9ZiPI0hOPbU/mbwa.jpg?width=650)
NI vigumu kuamini kilichotokea lakini ndivyo ilivyokuwa! Mtoto Christian Alex (6) ameuawa kikatili kwa kuliwa na mbwa wanaodaiwa kuwa ni wa Ubalozi wa Qatar nchini Tanzania unaoongozwa na Balozi Jassim Mohammed Mubarak Daruwesh. Mtoto Christian Alex enzi za uhai wake. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri Machi 26, mwaka huu Jangwani Beach, Kunduchi jijini Dar es Salaam ambapo mtoto huyo alishambuliwa na mbwa wa kigogo huyo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rFFi-SX8PjU0FygypuVu-xo-9SE89znubflrnh4alojv1UHcZmQZsGPhZS0fQNCHEQty0KPPi1sGmAkTJ9iiB1nevO-jMlaE/denti.jpg)
MBWA WAMUUA DENTI, WAMLA
10 years ago
BBCSwahili27 Aug
Panya wamla mtoto Afrika Kusini
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/b8YL1Nsfi8lmGpYzAYFZIl4m9Yoy8SRPoP97aTHsP3BiP2okBCHZLzjfx6FLCr4WhTmbKB4UWPsyhWhErYI-zM94K0kyBDMS/IMG_7968.jpg?width=650)
MTOTO ALIVYOLIWA NA MBWA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzBnb5M30B1XD3jGiu*m7qy9*te6**jjnNki1NKMtVwI1TrYf3wi4tpwrjiKGQIxoDpw7psl8dntwupCCed38ftZ/Aisha.jpg)
MTOTO MIAKA 8 AUAWA NA MBWA
11 years ago
GPLMBWA WALIOMLA MTOTO NUSURA WAMLE BABA MTU
9 years ago
StarTV21 Sep
Mtoto wa miaka 7 afariki kwa kuliwa na mbwa Mwanza
Wakazi wa eneo la Malimbe wilayani Nyamagana jijini Mwanza wameingiwa na taharuki baada ya mtoto mwenye umri wa miaka 7 kupoteza maisha kwa kuraruriwa na kuliwa na kundi la mbwa waliokuwa wakizagaa mtaani.
Tukio hilo limetokea Septemba 19 majira ya saa 5 asubuhi wakati mtoto huyo akielekea dukani ambapo vilisababisha taharuki kibwa miongoni mwa wakazi wa mwanzaambalo limekuwa ni geni na halijawahi kutokea kwa wengi waliolishuhudia.
Mtoto Jovina Lwegasira ambaye alikuwa anasoma elimu ya...
11 years ago
Habarileo24 May
Mbwa mwitu, watoto wa mbwa, panya road kutokomezwa
JESHI la Polisi nchini limewaagiza Makamanda wa Polisi wa Mikoa, kuhakikisha wanavidhibiti na kuvitokomeza vikundi vyote vinavyojihusisha na vitendo vya uhalifu, ikiwemo uporaji, unyang’anyi na kujeruhi watu katika maeneo mbalimbali.
11 years ago
Mwananchi25 May
Tuwadhibiti panya road, mbwa mwitu, watoto wa mbwa