MTOTO MIAKA 8 AUAWA NA MBWA
![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzBnb5M30B1XD3jGiu*m7qy9*te6**jjnNki1NKMtVwI1TrYf3wi4tpwrjiKGQIxoDpw7psl8dntwupCCed38ftZ/Aisha.jpg)
Stori: Haruni Sanchawa na Mayasa Mariwata INAUMA sana! Aisha Ally mwenye umri wa miaka 8 (pichani), mkazi wa Mtaa wa NSSF, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam ambaye pia alikuwa mwanafunzi wa darasa la tatu wa Shule ya Msingi ya St. Joseph, Dar, amefariki dunia baada ya kung’atwa na mbwa anayedaiwa kuwa na kichaa, Uwazi lina mkasa wote. Aisha Ally anayedaiwa kushambuliwa na mbwa. Tukio hilo lilijiri hivi karibuni...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV21 Sep
Mtoto wa miaka 7 afariki kwa kuliwa na mbwa Mwanza
Wakazi wa eneo la Malimbe wilayani Nyamagana jijini Mwanza wameingiwa na taharuki baada ya mtoto mwenye umri wa miaka 7 kupoteza maisha kwa kuraruriwa na kuliwa na kundi la mbwa waliokuwa wakizagaa mtaani.
Tukio hilo limetokea Septemba 19 majira ya saa 5 asubuhi wakati mtoto huyo akielekea dukani ambapo vilisababisha taharuki kibwa miongoni mwa wakazi wa mwanzaambalo limekuwa ni geni na halijawahi kutokea kwa wengi waliolishuhudia.
Mtoto Jovina Lwegasira ambaye alikuwa anasoma elimu ya...
10 years ago
Michuzi16 Mar
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W1mCpgZkV1Co0LBa8Kz6wQ0GW6q2ifgzw9mZVmvx8NOO1EV0nBhEwYKMS9tzGuxhGnfRs3oNoyycBUDT*qZF2Wl/MWANAMKE.jpg)
MWANAMKE ATEKWA, AUAWA, MAITI YALIWA NA MBWA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/b8YL1Nsfi8lmGpYzAYFZIl4m9Yoy8SRPoP97aTHsP3BiP2okBCHZLzjfx6FLCr4WhTmbKB4UWPsyhWhErYI-zM94K0kyBDMS/IMG_7968.jpg?width=650)
MTOTO ALIVYOLIWA NA MBWA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4TYEYfrgIbk1AXzMzWSP1aoN8S*fgUyzg72ZwS7GNC0bB9LnEcffsXEyNChniHjClGPCDWvbEdour9ZiPI0hOPbU/mbwa.jpg?width=650)
MBWA WA UBALOZI WAMLA MTOTO!
11 years ago
GPLMBWA WALIOMLA MTOTO NUSURA WAMLE BABA MTU
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Mvulana wa miaka 11 adaiwa kuua kwa sababu ya mbwa
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Mtoto wa miaka 9 aozeshwa na baba yake kwa mwanaume mwenye miaka 60
![Untitled](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/Untitled9.jpg)
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9).
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akiwa amepozi.
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akizungumza jana na Msaidizi wa Kisheria wa Kataa ya Makuyuni Kijiji cha Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha na Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Kataa hiyo, Ruthi Mashambo (kulia).
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akizungumza jana na Msaidizi wa Kisheria wa Kataa ya Makuyuni Kijiji cha Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha na Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Kataa hiyo,...
11 years ago
Dewji Blog22 May
INASIKITISHA SANA: Mtoto wa miaka 4 afichwa katika Boksi miaka 4
Maria Said mama mkubwa wa Nasra, (katikati) ni baba mzazi wa Nasra, Rashidi Mvungi, na (kulia) ni mume wa Mariam Said wakiwa katika ofisi za ustwawi wa jamii mjini Morogoro baada ya kukamatwa na kufikishwa polisi kwa tuhuma za kumficha mtoto huyo ndani ya box kwa miaka 4 baada ya mama wa mtoto huyo kufariki dunia kwa ugonjwa wa Malaria.
MUME na mke wanashikiliwa na polisi mkoani Morogoro kwa tuhuma za kumficha mtoto kwa miaka 4 ndani ya Box .
Kamanda wa polisi mkoani Morogoro Leonard Paul...