MC ZIPOMPA AELEZEA AJALI ILIYOONDOA UHAI WA TYSON
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMC ZIPOMPA NAYE ANUSURIKA AJALINI, ALIKUWA GARI MOJA NA TYSON!
10 years ago
Bongo Movies21 Apr
Hii ni Ajali ya 9 kwa Wastara, Aelezea Jinsi Ilivyotokea
Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma jumapili usiku amepata ajali ya gari maeneo ya Tabata Magengeni akitokea Mwananyamala alipokuwa anaongea na wasanii wenzake.
Wastara anasema siku hiyo gari yake aina ya toyota canal alikua anaendesha meneja wake Bond Bin Sinnan na walipofika maeneo ya Tabata magengeni gafla alishangaa gari Bond anafunga ‘breki’ na gari likaanza kuzunguka na yeye kujigonga gonga kwenye gari kwaku hakufunga mkanda.
"Mimi nilikua sielewi kitu niliona tu gari linazunguka...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VnfUDN3fm5A/VBGbgleVMJI/AAAAAAAAt_w/EVA-HV6KiCQ/s72-c/IMG-20140911-WA0037.jpg)
NEWZ ALERT:AJALI NYINGINE SINGIDA,YADAIWA MTU MMOJA AMEPOTEZA UHAI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-VnfUDN3fm5A/VBGbgleVMJI/AAAAAAAAt_w/EVA-HV6KiCQ/s1600/IMG-20140911-WA0037.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DLo0tVWR9Ke8kZM6fkHQFZKpMkTgDUeJ6xRUgzcgPOAoTM2Q0uiJB*0XvNC5EyrXIrBmUHXcP94lKnPAOsjzJTeotPjAmKa3/Tyson1.png?width=650)
GARI ALILOPATA NALO AJALI DIRECTOR GEORGE TYSON
11 years ago
GPLPICHA ZA KWANZA ZA MAJERUHI KATIKA AJALI YA MAREHEMU TYSON
9 years ago
Bongo504 Jan
Video: Mike Tyson alivyo pata ajali kwenye hoverboard yake
![MIKE-HOVER](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/MIKE-HOVER-300x194.jpg)
Bondia wa zamani wa ngumi za uzito wa juu, Mike Tyson amezua gumzo baada ya kutuonesha video kwamba kama huwezi kutembelea hoverboard basi we achana nazo baada ya yeye kupiga mweleka.
Mike Tyson aliipost video kwenye ukurasa wake Instagram ambapo palikuwa pembeni na sauti inasikika ya mtoto wa kike ikiwa inamuonya kwamba ataanguka, lakini Mike akaendelea zake.. sekunde chache mbele mambo yakaenda kwa kuanguka
Ilikuwa stori kubwa yenye uzito wake katika TV ya CNN waliiripoti hii angalia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qDVW2jk6RFo/Xqa6eExLT6I/AAAAAAALoUw/11O8w87eh7oFWEiYmEIwrqNi4HJRsl8rgCLcBGAsYHQ/s72-c/kanyasu2.jpg)
SERIKALI: UHAI WA BINADAMU UNA THAMANI KUBWA KULIKO UHAI WA WANYAMAPORI
![](https://1.bp.blogspot.com/-qDVW2jk6RFo/Xqa6eExLT6I/AAAAAAALoUw/11O8w87eh7oFWEiYmEIwrqNi4HJRsl8rgCLcBGAsYHQ/s640/kanyasu2.jpg)
Akizungumza na viongozi wa vijiji vitano vinavyopakana na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti katika wilaya ya Serengeti mkoani Mara, Constantine Kanyasu amesema uhai wa binadamu una thamani kubwa na kamwe hauwezi kufananishwa na uhai wa wanyamapori
Amesema licha ya kuwa binadamu anaaminika kuwa akili kuliko...
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Mwongozaji wa filamu maarufu nchini George Tyson Afariki dunia kwa ajali ya gari Morogoro
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinasema mongozaji wa filamu maarufu nchini George Otieno Tyson (Pichani) amefariki dunia kwa ajali ya gari huko Morogoro.
Taarifa hizi ambazo zimethibitishwa na watu wa karibu yake zinasema kuwa, mauti haya yamemfika baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupata ajali na kupinduka walipokuwa wameenda kwa ajili ya kipindi cha The mboni show ambacho yeye alikuwa ndiye muongozaji mkuu.
Wasanii na mastaa mbalimbali nchini wameoneshwa masikitiko yako juu ya...
9 years ago
MillardAyo03 Jan
Kama hukuona ajali ya Mike Tyson kwenye hoverboard yake, basi ilikuwa hivi.. (+Video)
Bondia wa zamani mbabe aliyeweka rekodi za nguvu kwenye mchezo wa ngumi, Mike Tyson ameamua tu kutuonesha kwamba kama huwezi kutembelea hoverboard, basi wewe achana nazo tuu hata usijaribu kucheza nazo. Hii video aliipost Mike Tyson kwenye ukurasa wake Instagram ambapo kuna sauti ya mtoto wa kike inaonekana kama anamuonya hivi kwamba ataanguka, lakini Mike […]
The post Kama hukuona ajali ya Mike Tyson kwenye hoverboard yake, basi ilikuwa hivi.. (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.