Mch. Mtikila: Serikali ya Tanganyika haiepukiki
>Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amewasilisha Rasimu ya Pili ya Mabadiliko ya Katiba katika Bunge la Katiba Machi 18, mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi04 Oct
ISOME HAPA SAFARI NZIMA YA MAISHA YA MAREHEMU MCH.MTIKILA
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/DJFsfGIfHl1VYZLWRub-AAQP6VIeOueUghiUYxcLPIzWnZZ7OkmOURxTZrMezU4UFBEUwxaqOz7juQjytYVzjQjwN0Hw1DFTud4PfmV9owxJ55dO8Rv0yjo59SF9Ra0WfacyYuWNAchdGIEUCAdK9F14BKoDHDbHxYncgtdqlQ=s0-d-e1-ft#http://mobile.mwananchi.co.tz/image/view/-/2897860/medRes/1137171/-/n3t18t/-/pic+mtikila.jpg?format=xhtml)
MCHUNGAJI Christopher Mtikila ni Mwenyekiti wa chama cha Democratic Party (DP) ambacho kina usajili wa kudumu hapa nchini.
Mtikila alizaliwa mwaka 1950 mkoani Iringa, kusini mwa nchi yetu.(Kwa bahati mbaya, hadi nachapisha uchambuzi huu sikupata taarifa za elimu yake) kwani hakuwa mwepesi kutoa ushirikiano mwezi mmoja uliopita alisafiri kwenda nje ya nchi na kurejea wakati nikiwa katika hatua za mwisho za uhariri.
Pamoja na shughuli za siasa, Mchungaji...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Q73WDuzNqy0/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-wtqbwjzjcPE/VhC2lsO5YnI/AAAAAAABWdY/Xal8uymeNMQ/s72-c/ChristopherMtikila.jpg)
BREAKING NEWS: MCH. CHRISTOPHER MTIKILA AFARIKI KWA AJALI YA GARI MKOANI PWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-wtqbwjzjcPE/VhC2lsO5YnI/AAAAAAABWdY/Xal8uymeNMQ/s640/ChristopherMtikila.jpg)
ENDELEA KUTUFUATILIA KWA TAAARIFA ZAIDI
CHANZO: TBC TV
11 years ago
TheCitizen21 Mar
Mtikila claims to fear for his life over Tanganyika stand
11 years ago
Mwananchi21 Mar
Mtikila: Warioba umenirahisishia kazi ya kuifufua Tanganyika
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
Breaking News: Mke wa marehemu Mch. Mtikila aibuka na kumuomba Rais Kikwete aunde tume ya kuchunguza kifo cha mme wake
Katibu Mkuu wa chama cha Democratic Party (DP) na Msemaji wa familia ambaye ni Mke wa marehemu Mchungaji Christopher Mtikila (katikati) akizungumza na waandishi wa Habari mepema muda katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es Salaam. ambapo ameeleza mambo mbalimbali ikiwemo suala la kutoridhishwa na ripoti ya jeshi la Polisi ambapo amemuomba Rais Dk. Jakaya Kikwete aunde tume huru ya kuchunguza kifo hicho. (Picha na Andrew Chale, Modewjiblog).
Na Andrew Chale,Modewjiblog
[DAR ES...
10 years ago
Uhuru Newspaper05 Sep
Serikali ya Tanganyika yakataliwa
Na Peter Orwa, Dodoma
SERIKALI ya Tanganyika imeendelea kupingwa, ambapo wajumbe wa Kamati mbalimbali za Bunge Maalumu la Katiba, wamesema haiwezi kuwa na tija kwa Watanzania.
Kamati nyingi zilizoundwa kwa ajili ya kuchambua Rasimu ya Katiba na ambazo zinawasilisha maoni yake bungeni, zimepinga kuwepo kwa Serikali ya Tanganyika.
Mapendekezo ya kuwepo kwa serikali ya Tanganyika, yamo kwenye Rasimu ya Katiba iliyowasilishwa na iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.
UHURU imebaini kuwa tangu...
11 years ago
Habarileo19 Apr
Wanaodai serikali ya Tanganyika ni dhaifu
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Livingstone Lusinde amesema mtu yeyote anayedai serikali ya Tanganyika ni dhaifu na mwoga na hilo limedhihirishwa kwa wajumbe wa Ukawa kutoka nje ya Bunge na kwamba nchi hii haidaiwi na watu wanaokimbia.
9 years ago
Bongo502 Nov
Collabo ya Wizkid na Diamond haiepukiki
![12132711_482048025296498_1976295501_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12132711_482048025296498_1976295501_n-94x94.jpg)