Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Collabo ya Wizkid na Diamond haiepukiki

12132711_482048025296498_1976295501_nDiamond Platnumz amefanya collabo na kila msanii mkubwa wa Nigeria. Ameshafanya ngoma au kushiriki kwenye ngoma na P-Square, Davido, D’Banj, Tiwa Savage, Iyanya, Waje, Kcee, Bracket, Flavour na wengine lakini ni msanii mmoja tu mkubwa hajakutana naye kwenye wimbo wowote – Wizkid. Wawili hao walikutana mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye show ya Leaders Club jijini […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Wizkid wa Nigeria afanya collabo na Rihanna

Msanii wa Nigeria Wizkid jana (July 16) ametimiza miaka 24, na miongoni mwa zawadi aliyoamua kuwapa mashabiki kwenye siku yake ya kuzaliwa ni habari njema ya kuwa amerekodi wimbo na ex wa Chris Brown, Rihanna. Akizungumza na The Beat FM ya Nigeria, Wizkid amesema wimbo huo utakuwepo katika album yake mpya. Baadhi ya mashabiki wa […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Wizkid na Fally Ipupa waingia studio kufanya collabo

Staa wa Nigeria, Wizkid na staa wa DRC, Fally Ipupa wamekutana Paris, Ufarasa ambako wameenda kufanya show. Wizkid na Fally hawajaiachia fursa hiyo ipite hivi hivi, wameamua kuingia studio huko Paris na kurekodi wimbo mpya wa pamoja. “Good day Paris!! Studio link up with the brother @fallyipupa01” aliandika Wizkid kwenye moja ya picha zake. Hit […]

 

9 years ago

Bongo5

Wizkid asema R.Kelly alimpigia simu kumwomba kufanya naye collabo kwaajili ya album yake

wizkidayoWizkid kutoka Nigeria ambaye tayari yuko jijini Dar kwaajili ya show ya leo (Oct.31), amezungumzia kuhusu mafanikio yaliyoletwa na hit song yake ‘Ojuelegba’ kimataifa. Katika mahojiano na East Africa Radio, Wizkid amesema miongoni mwa mafanikio yaliyoletwa na wimbo huo ambao Drake alivutiwa nao na kuamua kufanya Remix, ni pamoja na kumkutanisha na wasanii wengi wakubwa […]

 

10 years ago

Bongo5

Video: Wizkid azungumzia collabo yake na Chris Brown ‘African Bad Girl’, pia kufanya video na Tyga

Japokuwa Wizkid alishathibitisha kupitia Twitter kuwa amefanya collabo na staa wa R&B Chris Brown wa Marekani, staa huyo wa Nigeria amezungumzia collabo hiyo alipofanya mahojiano na DJ Abrantee wa Capital Xtra ya Uingereza Jumamosi iliyopita. Wizkid ambae amekua na urafiki na Breezy toka walipokutana na kutumbuiza pamoja Nigeria na Ghana miaka miwili iliyopita, amesema hivi […]

 

9 years ago

GPL

WIZKID AWAKUBALI DIAMOND, KIBA

Wizkid. Mkali wa muziki toka Naija anayetamba kwa kibao chake cha Ojuelegba, Wizkid ameonesha kuwakubali wanamuziki kutoka Tanzania ambao ni Diamond Platnumz na Ali Kiba jambo lililoonesha jinsi muziki wa Bongo Fleva ulivyofika mbali. Diamond Platnumz. Wizkid alisema hayo katika shoo iliyofanyika katika Viwanja vya Leaders jijini Dar wikiendi iliyopita ambapo mbali na kuwakubali wasanii hao alionesha mapenzi yake ya dhati kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Video ya collabo ya Diamond na Ne-Yo kufanyika Marekani na Afrika

Diamond Platnumz ambaye amefanya collabo na msanii mkubwa wa R&B wa Marekani, Ne-Yo ameelezea hatua ilipofikia project hiyo inayotarajiwa kumfungulia njia ya mafanikio zaidi kimataifa. Akizungumza na mtangazaji wa Citizen ya Kenya, Mzazi Willy Tuva, Platnumz amesema kuwa wimbo huo umekamilika lakini hawezi kusema utatoka lini kwa sasa kuna baadhi ya mambo ambayo anayoyaweka sawa […]

 

10 years ago

Bongo5

Not So Fast: Collabo ya Diamond na P-Square bado haijatoka

Kama umedownload au kutumiwa wimbo unaosemekana kuwa ni wa Diamond featuring P-Square na pamoja na kuusikiliza kwa mara kibao ukashindwa kusikia sauti ya Paul au Peter Okoye, basi sikio lako halikudanganyi – hakuna collabo hiyo. Wimbo huo unaitwa ‘Marry Me’ ni wa Iyanya ambao kipindi muimbaji huyo wa Nigeria amekuja kwenye Fiesta mwaka juzi, alimpa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani