Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WIZKID AWAKUBALI DIAMOND, KIBA

Wizkid. Mkali wa muziki toka Naija anayetamba kwa kibao chake cha Ojuelegba, Wizkid ameonesha kuwakubali wanamuziki kutoka Tanzania ambao ni Diamond Platnumz na Ali Kiba jambo lililoonesha jinsi muziki wa Bongo Fleva ulivyofika mbali. Diamond Platnumz. Wizkid alisema hayo katika shoo iliyofanyika katika Viwanja vya Leaders jijini Dar wikiendi iliyopita ambapo mbali na kuwakubali wasanii hao alionesha mapenzi yake ya dhati kwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Collabo ya Wizkid na Diamond haiepukiki

12132711_482048025296498_1976295501_nDiamond Platnumz amefanya collabo na kila msanii mkubwa wa Nigeria. Ameshafanya ngoma au kushiriki kwenye ngoma na P-Square, Davido, D’Banj, Tiwa Savage, Iyanya, Waje, Kcee, Bracket, Flavour na wengine lakini ni msanii mmoja tu mkubwa hajakutana naye kwenye wimbo wowote – Wizkid. Wawili hao walikutana mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye show ya Leaders Club jijini […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Wizkid, Diamond, Christian Bella na Fid Q waangusha show ya nguvu

WizkidMuimbaji mahiri kutoka nchini Nigeria, Wizkid akisindikizwa na wasanii wakubwa wa Tanzania, Diamond, Christian Bella pamoja na Fid Q jana katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam walizikonga nyoyo za mashabiki wa muziki. Wizkid akiwa karibu na mashabiki wake Wasanii hao waliopanda kwenye jukwaa hilo katika mida mida tofauti, kila mmoja alitaka kuonyesha […]

 

10 years ago

Bongo5

Diamond ampiga mweleka Wizkid kwenye tuzo za ‘Uganda Entertainment Awards’

Diamond Platnumz ameibuka mshindi wa kipengele cha ‘Best African Act Of The Year’ Katika tuzo za Uganda Eentertainment Awards 2015 (UEA), zilizotolewa Ijumaa ya Septemba 5 jijini Kampala, Uganda. Platnumz amewashinda mastaa wa Nigeria akiwemo Wizkid, Patoranking pamoja na Tiwa Savage ambao alikuwa akishindana nao kwenye kipengele hicho. Kupitia mitandao ya kijamii Diamond amewashukuru mashabiki […]

 

10 years ago

Mwananchi

Ni mpambano wa Ali Kiba V Diamond

Kitendawili cha muda mrefu cha ‘nani mbabe kati ya Ali Kiba na Diamond’ huenda kikapata moja ya majawabu yake leo usiku, wakati wa tamasha la Tuzo za Muziki za Kilimanjaro (KTMA) zitakazofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City.

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, KIBA UCHAWI MTUPU!

Na Waandishi Wetu
HALI inazidi kuwa mbaya kwa mastaa wawili wa muziki wa Bongo Fleva wanaogombea unyota kimuziki, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Ali Saleh Kiba, safari hii yameibuka mapya kwa kila msanii kuogopa kumshika mkono mwenzake kutokana na imani za kishirikina. Mashabiki wa Mbongofleva Ali kiba waliionyesha kumkubali zaidi kuliko, 'Daimond… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Kiba, Diamond mtonyo uko hapa

Wanadai hawajagombana, lakini kama utawasikiliza kwa makini wanapozungumzia tetesi kwamba wana tofauti, utagundua kitu kati yao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ali Kiba: ‘Kolabo’ na Diamond haitatokea

NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ali Kiba, amesema haitakuja kutokea kufanya ‘kolabo’ na msanii wa muziki huo, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinum’ katika maisha yake. Kauli hiyo ya Ali...

 

10 years ago

GPL

ALI KIBA ATANGAZA VITA NA DIAMOND!

Brighton Masalu VITA! Saa chache tu baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar akitokea nchini Marekani kwa shughuli za kimuziki, staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ametangaza kile kinachotafsirika kuwa ni vita dhidi ya hasimu wake kwenye anga la muziki huo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ijumaa Wikienda lina ‘full’ stori. Staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani