Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchakato wa kunyang’anya mashamba, viwanja waanza

Mchakato wa kunyang’anya mashamba na viwanda kutoka kwa wamiliki walioshindwa kutekeleza masharti waliyopewa na Serikali umeanza.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Serikali kunyang’anya vitalu vilivyohodhiwa

SERIKALI imesema itawapatia wachimbaji wadogo wa madini maeneo ambayo yamehodhiwa na baadhi ya matajiri bila kuendelezwa.

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI KUNYANG’ANYA VITALU VYA MADINI VILIVYOHODHIWA.

Mmiliki wa kiwanda cha uongezaji thamani madini ya jasi kilichopo mkoani Singida, Emmanuel Shilla akimuonesha Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (wa kwanza kushoto) moja ya bidhaa za urembo wa ndani ya nyumba unaotengenezwa kutokana na madini ya jasi yanayopatikana mkoani Singida.Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (wa kwanza kushoto) akitazama jinsi madini ya jasi yanavyotumika kutengeneza vitu mbalimbali ikiwemo urembo wa ndani ya nyumba mara...

 

10 years ago

Michuzi

TANGAZO LA VIWANJA NA MASHAMBA KWA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA (DIASPORA)

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaandaa mahitaji ya ardhi kwa ajili ya watanzania waishiao nje ya Tanzania.  Nchini Uingereza, Ubalozi unaratibu zoezi hilo kwa watanzania waishio Uingereza na Ireland. 
Tunaomba maombi hayo yaainishe Mkoa na Wilaya hitajika, aina ya matumizi ya ardhi hiyo kama ni Makazi, Biashara au Kilimo.
Maombi yawasilishwe kwa Viongozi wa Jumuiya za Watanzania katika miji/ maeneo wanayoishi, ambao watayaleta ubalozini kwa hatua zaidi. Au muombaji wanaweza...

 

9 years ago

Mwananchi

Mchakato mahakama ya mafisadi waanza

Utekelezaji wa ahadi za Rais John Magufuli unazidi kushika kasi baada ya kuanza kwa mchakato wa kuanzisha mahakama maalumu ya kuwashughulikia mafisadi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mchakato wa ujenzi ‘flyover’ Tazara waanza

>Tatizo la foleni katika jiji la Dar es Salaam, limeanza kupatiwa dawa baada ya Serikali ya Tanzania na Japan kutiliana saini mkataba wa ujenzi wa barabara za juu (flyover) katika makutano ya Barabara ya Mandela na Nyerere.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa waanza mchakato wa ‘kugawana’ majimbo

Moshi. Baada ya kumalizika kwa Bunge la Katiba, hasira za Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) dhidi ya CCM zimehamia kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2015, safari hii ukiunda kamati maalumu kutafuta namna ya kumsimamisha mgombea mmoja wa urais na kuachiana majimbo.

 

10 years ago

Habarileo

Mchakato wa njia 6 Dar—Chalinze waanza

Mtendaji Mkuu wa Tanroads, Patrick MfugaleWAKALA wa Barabara Tanzania (Tanroads) amekutana na wadau mbalimbali, kujadiliana jinsi ya kuanza kazi ya kutengeneza andiko la kusimamia utekelezaji wa ujenzi wa barabara ya njia sita ya Dar es Salaam- Chalinze.

 

11 years ago

Mwananchi

Mchakato wa kampuni 100 bora waanza

>Mchakato wa kutafuta kampuni 100 bora za kiwango cha kati nchini kwa mwaka huu, umeanza na kampuni mbalimbali zitafanyiwa utafiti kubaini viwango vyao vya ukuaji kibiashara.

 

11 years ago

Mwananchi

Mchakato wa Wajumbe wa Bunge la Katiba waanza

Vyama vya siasa, wafanyakazi, walemavu na makundi mengine ya watu maalumu, leo wanaanza mchakato wa uteuzi wa majina ya watu wanaotaka kuomba nafasi ya kuchaguliwa kuingia kwenye Bunge la Katiba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani