Serikali kunyang’anya vitalu vilivyohodhiwa
SERIKALI imesema itawapatia wachimbaji wadogo wa madini maeneo ambayo yamehodhiwa na baadhi ya matajiri bila kuendelezwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziSERIKALI KUNYANG’ANYA VITALU VYA MADINI VILIVYOHODHIWA.
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Mchakato wa kunyang’anya mashamba, viwanja waanza
11 years ago
Mwananchi30 May
Serikali yatishia kuwanyang’anya leseni wachimbaji madini
5 years ago
MichuziSERIKALI KUMNYANG’ANYA SHAMBA MUWEKEZAJI WA KATANI TANGA
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amesema Serikali imekusudia kumnyanga’anya shamba la mkonge la Kwashemshi Sisal Estate lililopo kata ya Kwashemshi wilaya ya Korogwe Mkoa wa Tanga kwa kusababisha migogoro kwa wakazi wa eneo hilo na kukiuka masharti ya uendelezaji.
Waziri Lukuvi ameyasema hayo wakati akizungumza na wakazi wa eneo hilo pamoja na wamiliki wa shamba hilo la Kwashemshi Sisal Estate mara baada ya kukagua miundombinu ya shamba hilo ambayo imeonekana...
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Zabuni za vitalu kufungwa Mei-Waziri
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Mwekezaji vitalu vya uwindaji apigwa ‘stop’
BARAZA la Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, mkoani Tabora, limewakataa mwekezaji, Shen na wenzake Wembele Hunting Safaris wanaofanya kazi za uwindaji katika pori la misitu ya hifadhi iliyoko...
10 years ago
Habarileo29 Jan
Vitalu vya uwindaji wa kitalii mwisho 2018
MAMLAKA ya wanyamapori nchini inatarajia kusitisha umiliki wa vitalu vya uwindaji wa kitalii nchini, ifikapo mwaka 2018, jambo litakalosaidia mamlaka hiyo kumiliki mapori yote ya akiba na kuwa na uwezo wa kubadilisha sera ya matumizi ya mapori hayo.
11 years ago
Habarileo25 May
Watanzania wahimizwa kuomba vitalu vya mifugo
SERIKALI imewataka Watanzania kuwa mashujaa wa kuomba vitalu vya uwekezaji katika mashamba ya mifugo vinapotangazwa badala ya kuwaachia watu kutoka nje. Aidha, Wizara ya Fedha imesema itatoa Sh bilioni 10.5 kati ya takribani Sh bilioni 20 zilizosalia ambazo zilitengwa katika bajeti ya mwaka wa fedha 2013/14 ya Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, ili kukamilisha baadhi ya miradi ya maendeleo.
10 years ago
Habarileo11 Apr
Wachimbaji wadogo Singida watengewa vitalu 10,800
WIZARA ya Nishati na Madini imetenga zaidi ya vitalu 10,800 kwa ajili ya wachimbaji madini wadogo mkoani Singida.