MCHAKATO WA UCHAGUZI BARA KUENDELEA- LUBUVA

Jaji Damian Lubuva akiongea na wanahabari (hawapo pichani) leo. MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva hivi punde amesema kufutwa kwa uchaguzi wa Zanzibar hakutasababisha kuahirishwa au kufutwa kwa uchaguzi wa Tanzania Bara na kusisitiza kuwa mchakato wa uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unaendelea kama ulivyopangwa. Jaji Lubuva ameongeza kuwa tayari NEC imepokea taarifa zote za...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog28 Oct
10 years ago
Vijimambo
TFF YAIRUHUSU DRFA KUENDELEA NA MCHAKATO WA UCHAGUZI WA TEFA,KAMA ULIVYOPANGWA KUFANYIKA KESHO.

Baada ya ruhusa hiyo Uongozi wa DRFA umemuandikia barua katibu wa TEFA Kasim Mustapha ili aijulishe kamati ya uchaguzi ya chama hicho kuendelea na mchakato huo kama kawaida.
Awali TFF iliiandikia barua DRFA kushauri kusimamishwa kwa uchaguzi huo,kutokana na...
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
Ligi Tanzania Bara kuendelea
10 years ago
Habarileo08 Oct
Lubuva: Wasimamizi wa uchaguzi fuateni sheria
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amewataka wa wasimamizi wa uchaguzi na makamanda wa Polisi wa mikoa nchini, kufuata sheria ya uchaguzi na kutenda haki na haki hiyo ionekane ikitendeka siku ya uchaguzi mkuu.
11 years ago
GPLLigi Kuu Bara kuendelea leo
10 years ago
GPLLUBUVA: WANANCHI MSIHOFU UCHAGUZI UTAKUWA WA AMANI
10 years ago
BBCSwahili16 Sep
Ligi kuu Tanzania bara kuendelea leo
10 years ago
Mwananchi27 Sep
Lubuva: Uchaguzi huru na haki si jukumu la NEC pekee