Mchango wa Diplomasia katika kufikia Dira ya Taifa 2025 wajadiliwa
Mkutano wa Mabalozi wa Tanzania ulioanza Mei 25-27, 2015 katika hoteli ya Ramada, Dar es Salaam. Lengo kuu la mkutano huo ni kujadili utekelezaji wa Sera ya Mambo ya Nje na mchango wa Wizara kufikia Dira ya Taifa 2025. Mkutano huu ni wa nne kufanyika tangu ule wa kwanza uolifanyika mwaka 1999 katika hoteli ya Whitesands, Dar es Salaam.
Kauli mbiu ya mkutano ni Diplomasia ya Tanzania Kuelekea Dira ya Taifa 2025. Ujumbe huo umechaguliwa kwa kuzingatia mchango wa Wizara ya Mambo ya Nje na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA WAFANYA MKUTANO MKUBWA JIJINI DAR ES SALAAM KUJAILI MCHANGO WA DIPLOMASIA KATIKA KUFIKIA DIRA YA TAIFA 2025
11 years ago
MichuziTanzania kufikia kipato cha kati ifikapo mwaka 2025
Tanzania inatarajiwa kuondoka kwenye kundi la nchi masikini na kuhamia kwenye kundi la nchi zenye kipato cha kati ifikapo mwaka 2025. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo alipokuwa akifungua kongamano linaloendelea huko Berlin nchini Ujerumani kama njia mojawapo ya kuadhimisha jubilee ya miaka 50 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Kongamano hilo linakutanisha wadau mbalimbali ikiwa ni pamoja na mabalozi, wataalamu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZlQQsKP1iv0/XtIvcFaemnI/AAAAAAALsEM/Mz_KiY2_UGMwuj6FuRjTrh9fWmYL0nk8QCLcBGAsYHQ/s72-c/1-33-768x649.jpg)
RAIS MAGUFULI AWAKABIDHI MARAIS WASTAAFU TAUSI 25 KILA MMOJA NA MAMA MARIA NYERERE KWA KUTAMBUA MCHANGO WAO KATIKA TAIFA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZlQQsKP1iv0/XtIvcFaemnI/AAAAAAALsEM/Mz_KiY2_UGMwuj6FuRjTrh9fWmYL0nk8QCLcBGAsYHQ/s640/1-33-768x649.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/1.-4-962x1024.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi Hati ya Makabidhiano ya zawadi ya Ndege aina ya Tausi 25 kwa Mama Maria Nyerere mjane wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere kwa ajili ya kuwafuga katika Makazi yake, hafla hiyo fupi ilifanyika katika viwanja vya Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-24-1024x858.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Mchango wa kijana ni mkubwa kwa taifa hili!
NINA kila sababu ya kumshukuru Mungu kwa kunivusha na kuuona mwaka mwingine. Nachukua fursa hii kuwashukuru wote walionitumia ujumbe baada ya kusoma makala ya wiki iliyopita. Tumejipanga vipi kuhakikisha mwaka...
9 years ago
Mwananchi14 Oct
MCHANGO WA MAWAZO: Tujadili matatizo ya Taifa letu, siyo wagombea
9 years ago
MichuziOFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YASEMA MFUMUKO WA BEI UMESHUKA KUFIKIA ASILIMIA 6.1
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.OFISI ya Taifa ya Takwimu (NBS) imesema mfumuko wa bei...
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Ofisi ya Taifa ya Takwimu yasema mfumuko wa bei umeshuka kufikia asilimia 6.1
![1](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/10/110.jpg)
Taarifa ikichuliwa na wanahabari.
Mwanahabari Hilda kutoka gazeti la Daily News akichukua taarifa hiyo kwa umakini zaidi.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Na Dotto...
9 years ago
Mwananchi23 Sep
MCHANGO WA MAWAZO : Si Magufuli wala CCM, ni masilahi mapana ya Taifa letu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-434XYrGvgP0/XlKVIhIpOWI/AAAAAAALe6E/R-H7LD5s4IQ8DXDIR9NnUUTziU2kjC_qwCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_0794AA-1024x683.jpg)
SEKTA YA MADINI KUCHANGIA ASILIMIA 10 YA PATO LA TAIFA IFIKAPO 2025-WAZIRI MKUU KAASIM MAJALIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-434XYrGvgP0/XlKVIhIpOWI/AAAAAAALe6E/R-H7LD5s4IQ8DXDIR9NnUUTziU2kjC_qwCLcBGAsYHQ/s640/PMO_0794AA-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/PMO_0802AA-1024x684.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionesha cheti baada ya kuzindua utoaji wa cheti cha uhalisia kwa Madini ya Bati kwenye ukumbi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Februari 23, 2020. Kulia ni Spika wa Bunge Job Ndugai, wa pili kushoto ni...