Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


mchemsho mwingine wa refa washuhudiwa wakati Mexico ikiibanjua Cameroon bao 1-0 leo

Mshambuliaji Oribe Peralta wa Mexico amehakikisha kwamba haki inatendeka katika michezo ya awali ya Kombe la dunia alipoiwezesha nchi yake kuifunga Cameroon bao 1-0 jioni huu mjini Natal wakati michuaono hiyo ikiwa katika hatihati ya kashfa ingine ya uamuzi mbovu.  Endapo kama Mexico wasingeshinda ni hakika Refa huyo kutoka Colombia Wilmar Roldan angekuwa katika wakati mgumu baada ya kukataa magoli mawili ya wazi ya timu hiyo kwa madai kuwa ni ya kuotea baada ya mchezaji wa zamani wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Cameroon 0 Mexico 0

Mchuano wa kwanza ukihusisha timu ya Afrika umeanza nchini Brazil. Vijana wa Cameroon dhidi ya Mexico

 

11 years ago

GPL

MEXICO YAIZIMA CAMEROON

Oribe Peralta akiipatia bao Mexico katika dakika ya 61 ya mchezo. Mexico wakishangilia ushindi wao dhidi ya Cameroon.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Cameroon yanyamazishwa na Mexico

Wawakilishi wa Afrika katika kombe la dunia Cameroon wamelazwa bao 1-0 na Mexico .

 

11 years ago

BBC

World Cup: Mexico v Cameroon

Preview followed by live coverage of the World Cup game between Mexico and Cameroon.

 

10 years ago

Vijimambo

Anko kakumbuka jezi wakati refa kamaliza mchezo

Anko kakumbuka jezi wakati refa kamaliza mchezoKwa mujibu wa Mtandao wa Google, Uncle ana miaka 25. Kama unasahau habari za magazeti, basi kwa mujibu wa Google, Uncle alikwenda kufanya majaribio na West Ham mwaka 2009. Na kwa mujibu wa Google, huo ndiyo ulikuwa mwaka ambao Uncle aliibuka kuwa mfungaji bora wa michuano ya Cecafa.
KWA mujibu wa Mtandao wa Google, Mrisho Ngassa, maarufu sana kwa jina la Uncle alizaliwa Aprili 12, 1989. Ina maana kwa mujibu wa Google, Uncle au Anko alizaliwa...

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: ‘Indomitable’ Cameroon proves tame in 1-0 loss against Mexico

The Indomitable Lions now have the dubious honour of being the first African team to EVER be defeated by Mexico in World Cup group stages.

 

11 years ago

GPL

WAKATI MWINGINE TUKUBALI WAPENZI WETU ‘WATUCHUNE’

NI wiki nyingine tofauti kabisa na wiki iliyopita ambapo tunakutana tena kupitia safu hii nikiamini kwamba umzima na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku kama kawaida. Mpenzi msomaji, wapenzi wako wa aina tofauti. Kuna wale ambao mwanamke anafanya kazi mwanaume hana kazi, mwanaume ana kazi na mwanamke hana kazi ama wote wanafanya kazi.
Katika mazingira hayo, fahamu kwamba mpenzi wako ana haki ya kukuchuna kimtindo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani