Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


McIlroy avunja uchumba na Wozniacki.

Mchezaji gofu Rory McIlroy amevunja uchumba na mchezaji tenis Caroline Wozniacki.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Rick Ross avunja uchumba na Lira Galore baada ya ugomvi mkubwa kutokea

rick-ross-lira-galore

Mapenzi kati ya rapper Rick Ross na mchumba wake Lira Galore yamefikia ukingoni baada ya kutokea ugomvi mkubwa kati yao, ikiwa ni takribani miezi miwili toka watangaze kuwa wachumba, TMZ imeripoti.

rick-ross-lira-galore

Bado haijafahamika sababu kubwa ya ugomvi huo uliosababisha Rozay na mchumba wake kuvunja uchumba, lakini inasemekana kuwa Galore ameondoa vitu vyake kutoka kwenye nyumba ya rapper huyo.

Lira

Rozay alimvisha pete ya uchumba Galore yenye thamani ya $350,000 mwezi September baada ya kudate naye kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wozniacki afika nusu fainali US Open

Mcheza Tennis,Caroline Wozniacki ameingia nusu fainali ya US Open kwa kumshinda Sara Errani

 

10 years ago

BBCSwahili

McIlroy, Lee Westwood waibuka kidedea.

Mchezaji namba moja wa gofu Rory McIlroy na Billy Horschel wameibuka kidedea katika michuano ya Wgc.

 

11 years ago

TheCitizen

114th US Open a test of patience for McIlroy, Scott

Northern Irishman McIlroy will join fellow US Open winners Graeme McDowell and Webb Simpson in the first and second rounds.

 

9 years ago

GPL

UCHUMBA WA WASTARA WAVUNJIKA

Uchumba wa mastaa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma na Bond Bin Suleiman ambao ulikuwa umepamba moto huku hivi karibuni ikidaiwa wataoana baada ya uchaguzi, umevunjika baada ya Wastara kusalitiwa.  ...Soma zaidi====>http://bit.ly/1PKsvfy

 

10 years ago

GPL

UCHUMBA WA MASOGANGE WATIBULIWA

Stori: Mwandishi Wetu SIKU chache baada ya kupata uraia wa Afrika Kusini, uchumba wa Video Queen, Agnes Gerald ‘Masogange’ na mpenzi wake, Louis Dolnard umetibuliwa. Video Queen, Agnes Gerald ‘Masogange’ Hali hiyo ilijiri kutokana na madai kuwa kuna wanaume wamepeleka maneno ya kimbeya kwa mpenzi wake huyo yakiashiria kuwa mrembo huyo hajatulia. Hata hivyo, Agnes amefunguka kuwa kamwe hawezi kuachana...

 

10 years ago

GPL

LULU APELEKEWA BARUA YA UCHUMBA

Stori: waandishi wetu
STAA ndani ya Tasnia ya Filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, amepelekewa barua ya uchumba kutoka kwa mfanyabiashara mmoja jijini Dar na kumfanya mama mzazi wa Lulu, Lucresia Karugila abaki ameshangaa.Tukio hilo lilitendeka Januari 8, mwaka huu, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam ambako ndiko yaliko makazi ya Lulu na mama yake huyo. Mshenga anayefahamika kwa jina moja la Isaya akipeleka posa...

 

10 years ago

GPL

WOLPER ATIBUA UCHUMBA WA NAY

Mwigizaji wa filamu Bongo Jacqueline Wolper. Stori: Musa mateja
KIMENUKA! Mwigizaji Jacqueline Wolper ameibua tafrani la aina yake kwa Mbongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ baada ya kumtumia meseji iliyomtia shaka mpenzi wa staa huyo, Siwema. Tukio hilo lilitokea juzikati nyumbani kwa Nay wa Mitego, Kimara- Korogwe jijini Dar  ambapo ilisemekana Wolper alituma SMS iliyokuwa ikiuliza muafaka wa jambo...

 

9 years ago

GPL

PETE YA UCHUMBA YAMLIZA WOLPER

Staa wa filamu Bongo, Jacqueline Walper ‘Wolper’ na mchumba wake. Stori: Mwandishi wetu STAA wa filamu Bongo, Jacqueline Walper ‘Wolper’ amejikuta akitoa machozi ya furaha baada ya kuvalishwa pete ya uchumba na kijana anayedaiwa kuwa ni raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). ....Wakifurahia kwa pamoja. Wolper ameitundika picha yake katika mtandao wa kijamii wa Instagram, akiwa na kijana huyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani