UCHUMBA WA WASTARA WAVUNJIKA
![](http://api.ning.com:80/files/0qR8BrPZ-VZvVeBjfP*Oq9cjzqg8Aqw1O5H3-nIMEFey2eVaWfLyzQz91DjkQHPcugAgF3wbgerocDpcY5Ulf7x2tJVnM9Dv/Wastara.jpg?width=650)
Uchumba wa mastaa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma na Bond Bin Suleiman ambao ulikuwa umepamba moto huku hivi karibuni ikidaiwa wataoana baada ya uchaguzi, umevunjika baada ya Wastara kusalitiwa. Â ...Soma zaidi====>http://bit.ly/1PKsvfy
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies26 Oct
Uchumba wa Jack Wolper Wavunjika
ULE uchumba wa mwigizaji Jacqueiline Wolper na Mkongo ambao ulipamba vyombo vya habari kwa miezi kadhaa iliyopita, hatimaye umevunjika rasmi huku daktari wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Dk. Fadhili Emily akitajwa, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili.
Wolper alivalishwa pete ya uchumba kwa mbwembwe katika hoteli moja moja maarufu jijini Dar ambapo mwanaume huyo raia wa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo aliahidi kumuoa hivi karibuni huku akijiweka karibu na...
11 years ago
Mwananchi30 Dec
Mkutano wa wakulima, wafugaji wavunjika
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Mkutano Mkuu wa ODM wavunjika
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jEeTvJLE1hglWqs9DxzBwo5jlkrqwQXpITOSLFGLXT6fV-hE2C8BfrytTdgNu2EXjZjkTFrvjB096bDw2rdBpIh*4nqa4hx4/nyomi.jpg?width=650)
MKUTANO WA DK SLAA WAVUNJIKA KASULU MJINI
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Risasi zarindima BVR, mkutano ZEC wavunjika
9 years ago
Mzalendo Zanzibar13 Sep
Mkutano wa CUF wavunjika kabla ya muda kufika
Zanzibar. Chama cha Wananchi (CUF) kimedai wafuasi wa CCM walivuruga mkutano wa kampeni za mgombea wao wa urais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad uliofanyika juzi kwenye Viwanja vya Kwa-Binti Amrani, Wilaya ya Mjini Unguja. CUF wanadai […]
The post Mkutano wa CUF wavunjika kabla ya muda kufika appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Habarileo17 Jul
Mkutano wa maji Goba wavunjika, watano mbaroni Kigogo
MKUTANO wa hadhara wa Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla na wakazi wa Goba wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam, ulivunjika jana kutokana na vurugu za wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XS_AGWOg2TU/VFaKSIQeXlI/AAAAAAAGvF8/qy3vHAWfgLo/s72-c/IMG-20141102-WA0010.jpg)
NEWS ALERT: Mdahalo wa kujadili umuhimu wa kuzingatia Mambo ya msingi katika katiba wavunjika kwa tafrani kubwa
Chanzo cha Tafrani hiyo, inaelezwa kuwa ni Baada ya Mh. Warioba katika taarifa yake kueleza kwamba Muungano sio tunu ila ni urithi ulioachwa na Waasisi,ndipo baadhi ya watu waliokuwepo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iPu63cE5yCCTHmqpdMXDANa7kXl6*HvVFe65DI1TXzR5naVH25Lg6cROQUT2FEDlPeJA725B545QYvrk75wZbZxouzKYkBRW/masoga.jpg)
UCHUMBA WA MASOGANGE WATIBULIWA