Uchumba wa Jack Wolper Wavunjika
ULE uchumba wa mwigizaji Jacqueiline Wolper na Mkongo ambao ulipamba vyombo vya habari kwa miezi kadhaa iliyopita, hatimaye umevunjika rasmi huku daktari wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Dk. Fadhili Emily akitajwa, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili.
Wolper alivalishwa pete ya uchumba kwa mbwembwe katika hoteli moja moja maarufu jijini Dar ambapo mwanaume huyo raia wa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo aliahidi kumuoa hivi karibuni huku akijiweka karibu na...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BY6VWIVrp20vMRZJOnT92TuJsZ44Ffho-qrhcI7RVyYiekNGhk7T1ZIPdpn5Ygf7x1Xk09KeAXxeN6vy-zWxvLrtMvSxqtCA/wolper.jpg)
JACK WOLPER ATIBUA UCHUMBA WA NAY!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0qR8BrPZ-VZvVeBjfP*Oq9cjzqg8Aqw1O5H3-nIMEFey2eVaWfLyzQz91DjkQHPcugAgF3wbgerocDpcY5Ulf7x2tJVnM9Dv/Wastara.jpg?width=650)
UCHUMBA WA WASTARA WAVUNJIKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/BY6VWIVrp23fp0mC8Di3mPRWlOnlnv6UJ9Wd6DecEXHczXUmYKWGplyv3SEPnJ8syYs3lnVl*Zboa*mJA6fGNK8ugXbzJ9am/wolperfull.jpg?width=650)
WOLPER ATIBUA UCHUMBA WA NAY
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/WOLPER-11.jpg)
PETE YA UCHUMBA YAMLIZA WOLPER
10 years ago
Bongo Movies10 Jan
Wolper Atibua Uchumba wa Nay wa Mitego!!!
UBUYU! Mwigizaji Jacqueline Wolper ameibua tafrani la aina yake kwa mbongo fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ baada ya kumtumia meseji iliyomtia shaka mpenzi wa staa huyo, Siwema.
Tukio hilo lilitokea juzikati nyumbani kwa Nay wa Mitego, Kimara- Korogwe jijini Dar ambapo ilisemekana Wolper alituma SMS iliyokuwa ikiuliza muafaka wa jambo fulani ndipo Siwema akaja juu na kuanza kumcharukia bebi wake huyo.
Alipoulizwa Nay wa Mitego kuhusiana na ugomvi huo, alifunguka:
“Wolper ni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wri1xbSz2-4stm**bpOoofszJYLOhVeh5dBL*FM1RDSFaSkXHmmCunjftKiofZ9zGwonVMwD*JyzFCtIqOwGx9C7hGC19lGc/GPLONLINE.jpg)
GLOBAL TV KULONGA NA JACK WOLPER LEO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfjRNOfnOVKAY1SrrY6eeiZQDneTR52rwiyrfM7E0LLVuVllLF8lWg5fgejMuWpeqWvJsfpnTNRD0NuTsLu1egDU/wolper.jpg?width=650)
JACK WOLPER: SIJAWAHI KULIA KUACHWA
10 years ago
Bongo Movies25 May
Jack Wolper na Baba Haji Hapatoshi Ndani ya ‘Kauva’
Filamu ya Kauva inatarajia kuleta mapinduzi katika tasnia ya filamu kutokana na Teknolojia iliyotumika katika utengenezaji uigizaji na wasanii walioshiriki katika filamu hiyo kuigiza wameonyesha ushindani mkubwa sana anasema msemaji wa Splash Steve...
10 years ago
Bongo Movies05 Apr
Mwigizaji Jack Wolper Ashutumiwa Kumsahau Aliyemtoa Kisanii Katika Tasnia ya Filamu Bongo
Ubuyu Mpya Kutoka Instagram kwenye page ya mrekebishatabia kuhusu Mrembo Mwigizaji Wolper Kumsahau aliyemwingiza katika Tasnia ya Filamu:
'HISTORIA: Je unajua aliyemtoa kisanii Jackline Wolper mpaka kupata umaarufu nchini ni nani? Ni mdada mkali wa wa siku nyingi kwenye masuala ya sana Lucy Komba ambaye hivi sasa anaishi na familia yake nchini Denmark.
Alikutana nae kwenye ofisi moja bongo akamuomba namba ya simu walipoachana baada ya kama dk 10 akamuandikia msg anaomba amsaidie kwenye sanaa...