Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GLOBAL TV KULONGA NA JACK WOLPER LEO

Global TV ambayo ni programu maalum inayoletwa kwenu na Mtandao wa Global Publishers and General Enterprises LTD kwa lengo la kutoa habari, mahojiano na mastaa na matukio mbalimbali yanayotokea katika jamii yetu, leo italonga na staa wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper. Katika mahojiano na Wolper maswali mbalimbali yakiwemo yaliyotumwa na wasomaji wetu yataulizwa kwa staa huyo wa Bongo… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Uchumba wa Jack Wolper Wavunjika

ULE uchumba wa mwigizaji Jacqueiline Wolper na Mkongo ambao ulipamba vyombo vya habari kwa miezi kadhaa iliyopita, hatimaye umevunjika rasmi huku daktari wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Dk. Fadhili Emily akitajwa, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili.

Wolper alivalishwa pete ya uchumba kwa mbwembwe katika hoteli moja moja maarufu jijini Dar ambapo mwanaume huyo raia wa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo aliahidi kumuoa hivi karibuni huku akijiweka karibu na...

 

11 years ago

GPL

JACK WOLPER ATIBUA UCHUMBA WA NAY!

Na MUSA MATEJA Mwanamuziki Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amefungukia madai ya kutoka na msanii wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper na kudai kuwa wao ni washikaji tu ila ukaribu wao umesababisha mtifuano kati yake na mchumba wake, Siwema.
Mwanamuziki Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’  Akizungumza na Ijumaa katika mahojiano maalum Nay alisema, watu wamekuwa wakieneza kuwa yeye na Wolper...

 

11 years ago

GPL

JACK WOLPER: SIJAWAHI KULIA KUACHWA

Na Mwandishi Wetu
STAA wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper amefunguka kuwa tangu aanze kujihusisha na masuala ya mapenzi hajawahi kulia. Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Akizungumza na mwanahabari wetu, Wolper ambaye ana muonekano wa ‘kigumu’, alisema siku zote anaamini katika kupambana hivyo hawezi kumlilia mwanaume hata iweje. “Sijawahi kulia pale nilipoachwa wala kuachana na mwanaume,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mashabiki wa Skylight Band kusheherekea Birthday ya Mr. Jack’s huku wa wakikaribishwa na SHOT za Jack Daniel’s leo

IMG-20140911-WA0023

Mpango mzima unahisika kwa usiku wa leo pale Thai Village.

DSC_0159

Vijana watanashati wa Skylight Band wakimsindikiza Sam Mapenzi (wa pili kuhsoto) kutoa burudani ya Live Music kwa mashabiki wa bendi hiyo Ijumaa iliyopita kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar es Salaam, huku usiku wa leo wataungana na mashabiki wake kusheherekea Birthday Mr. Jack’s huku mlangoni wakipata SHOT za Jack Daniel’s kusindikiza usiku huo.

DSC_0036

Divas wa Skylight Band wakiwapa raha mashabiki wa Skylight Band Ijumaa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Jack Wolper na Baba Haji Hapatoshi Ndani ya ‘Kauva’

Wanakutana mastaa wawili wa Bongo Movies, kwenye filamu ya KAUVA na kufanya makubwa ni hatari unajua wasanii hao ni nani nani? Basi si wengine ni Jack Wolper na kipenzi cha wengi mzee wa Malavudavi Haji Adam aka Baba Haji stringi wa Kihindi

Filamu  ya Kauva inatarajia kuleta mapinduzi katika tasnia ya filamu kutokana na Teknolojia iliyotumika katika utengenezaji uigizaji na wasanii walioshiriki katika filamu hiyo kuigiza wameonyesha ushindani mkubwa sana anasema msemaji wa Splash Steve...

 

10 years ago

GPL

MASHABIKI WA SKYLIGHT BAND KUSHEHEREKEA BIRTHDAY YA MR. JACK’S HUKU WA WAKIKARIBISHWA NA SHOT ZA JACK DANIEL’S LEO‏

Vijana watanashati wa Skylight Band wakimsindikiza Sam Mapenzi (wa pili kuhsoto) kutoa burudani ya Live Music kwa mashabiki wa bendi hiyo Ijumaa iliyopita kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar es Salaam, huku usiku wa leo wataungana na mashabiki wake kusheherekea Birthday Mr. Jack's huku mlangoni wakipata SHOT za Jack Daniel's kusindikiza usiku huo. Divas wa Skylight Band… ...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mwigizaji Jack Wolper Ashutumiwa Kumsahau Aliyemtoa Kisanii Katika Tasnia ya Filamu Bongo

Ubuyu Mpya Kutoka Instagram kwenye page ya mrekebishatabia kuhusu Mrembo Mwigizaji Wolper Kumsahau aliyemwingiza katika Tasnia ya Filamu:

'HISTORIA: Je unajua aliyemtoa kisanii Jackline Wolper mpaka kupata umaarufu nchini ni nani? Ni mdada mkali wa wa siku nyingi kwenye masuala ya sana Lucy Komba ambaye hivi sasa anaishi na familia yake nchini Denmark.

Alikutana nae kwenye ofisi moja bongo akamuomba namba ya simu walipoachana baada ya kama dk 10 akamuandikia msg anaomba amsaidie kwenye sanaa...

 

11 years ago

GPL

JACQUELINE WOLPER ATEMBELEA GLOBAL

Staa mkubwa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper akiwa katika pozi. Jacqueline Wolper Massawe (kushoto) akiwa na Afisa Masoko wa Global Publishers, Benjamin Mwanambu (kulia).…

 

10 years ago

Dewji Blog

Wema Sepetu amwaga mijihela usiku maalum wa birthday ya Mr. Jack’s a.k.a Jack Daniel’s uliopambwa na Skylight Band

DSC_0002

Doreen Mangula wa Mark Techno Limited ambao ni wauzaji na wasambazaji mvinyo na vinywaji vikali kikiwemo kinywaji cha Jack Daniel’s akitoa maelezo ya kinywaji cha Jack Daniel’s kwa mashabiki wa Skylight Band waliokuwa wakikaribishwa na SHOT za Mr. Jack’s kwenye usiku maalum wa kusheherekea siku ya kuzaliwa kwa Mr. Jack’s a.k.a Jack Daniel’s.

DSC_0014

Doreen Mangula wa Mark Techno Limited ambao ni wauzaji na wasambazaji kinywaji cha Jack Daniel’s akizungumza na mashabiki wa Skylight Band kuhusina na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani