JACK WOLPER: SIJAWAHI KULIA KUACHWA
![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfjRNOfnOVKAY1SrrY6eeiZQDneTR52rwiyrfM7E0LLVuVllLF8lWg5fgejMuWpeqWvJsfpnTNRD0NuTsLu1egDU/wolper.jpg?width=650)
Na Mwandishi Wetu STAA wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper amefunguka kuwa tangu aanze kujihusisha na masuala ya mapenzi hajawahi kulia. Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Akizungumza na mwanahabari wetu, Wolper ambaye ana muonekano wa ‘kigumu’, alisema siku zote anaamini katika kupambana hivyo hawezi kumlilia mwanaume hata iweje. “Sijawahi kulia pale nilipoachwa wala kuachana na mwanaume,...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies26 Oct
Uchumba wa Jack Wolper Wavunjika
ULE uchumba wa mwigizaji Jacqueiline Wolper na Mkongo ambao ulipamba vyombo vya habari kwa miezi kadhaa iliyopita, hatimaye umevunjika rasmi huku daktari wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Dk. Fadhili Emily akitajwa, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili.
Wolper alivalishwa pete ya uchumba kwa mbwembwe katika hoteli moja moja maarufu jijini Dar ambapo mwanaume huyo raia wa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo aliahidi kumuoa hivi karibuni huku akijiweka karibu na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wri1xbSz2-4stm**bpOoofszJYLOhVeh5dBL*FM1RDSFaSkXHmmCunjftKiofZ9zGwonVMwD*JyzFCtIqOwGx9C7hGC19lGc/GPLONLINE.jpg)
GLOBAL TV KULONGA NA JACK WOLPER LEO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BY6VWIVrp20vMRZJOnT92TuJsZ44Ffho-qrhcI7RVyYiekNGhk7T1ZIPdpn5Ygf7x1Xk09KeAXxeN6vy-zWxvLrtMvSxqtCA/wolper.jpg)
JACK WOLPER ATIBUA UCHUMBA WA NAY!
10 years ago
Bongo Movies25 May
Jack Wolper na Baba Haji Hapatoshi Ndani ya ‘Kauva’
Filamu ya Kauva inatarajia kuleta mapinduzi katika tasnia ya filamu kutokana na Teknolojia iliyotumika katika utengenezaji uigizaji na wasanii walioshiriki katika filamu hiyo kuigiza wameonyesha ushindani mkubwa sana anasema msemaji wa Splash Steve...
10 years ago
Bongo Movies05 Apr
Mwigizaji Jack Wolper Ashutumiwa Kumsahau Aliyemtoa Kisanii Katika Tasnia ya Filamu Bongo
Ubuyu Mpya Kutoka Instagram kwenye page ya mrekebishatabia kuhusu Mrembo Mwigizaji Wolper Kumsahau aliyemwingiza katika Tasnia ya Filamu:
'HISTORIA: Je unajua aliyemtoa kisanii Jackline Wolper mpaka kupata umaarufu nchini ni nani? Ni mdada mkali wa wa siku nyingi kwenye masuala ya sana Lucy Komba ambaye hivi sasa anaishi na familia yake nchini Denmark.
Alikutana nae kwenye ofisi moja bongo akamuomba namba ya simu walipoachana baada ya kama dk 10 akamuandikia msg anaomba amsaidie kwenye sanaa...
10 years ago
Dewji Blog12 Sep
Mashabiki wa Skylight Band kusheherekea Birthday ya Mr. Jack’s huku wa wakikaribishwa na SHOT za Jack Daniel’s leo
Mpango mzima unahisika kwa usiku wa leo pale Thai Village.
Vijana watanashati wa Skylight Band wakimsindikiza Sam Mapenzi (wa pili kuhsoto) kutoa burudani ya Live Music kwa mashabiki wa bendi hiyo Ijumaa iliyopita kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar es Salaam, huku usiku wa leo wataungana na mashabiki wake kusheherekea Birthday Mr. Jack’s huku mlangoni wakipata SHOT za Jack Daniel’s kusindikiza usiku huo.
Divas wa Skylight Band wakiwapa raha mashabiki wa Skylight Band Ijumaa...
10 years ago
Dewji Blog15 Sep
Wema Sepetu amwaga mijihela usiku maalum wa birthday ya Mr. Jack’s a.k.a Jack Daniel’s uliopambwa na Skylight Band
Doreen Mangula wa Mark Techno Limited ambao ni wauzaji na wasambazaji mvinyo na vinywaji vikali kikiwemo kinywaji cha Jack Daniel’s akitoa maelezo ya kinywaji cha Jack Daniel’s kwa mashabiki wa Skylight Band waliokuwa wakikaribishwa na SHOT za Mr. Jack’s kwenye usiku maalum wa kusheherekea siku ya kuzaliwa kwa Mr. Jack’s a.k.a Jack Daniel’s.
Doreen Mangula wa Mark Techno Limited ambao ni wauzaji na wasambazaji kinywaji cha Jack Daniel’s akizungumza na mashabiki wa Skylight Band kuhusina na...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_01591.jpg)
MASHABIKI WA SKYLIGHT BAND KUSHEHEREKEA BIRTHDAY YA MR. JACK’S HUKU WA WAKIKARIBISHWA NA SHOT ZA JACK DANIEL’S LEO
11 years ago
Habarileo30 Jul
Ajinyonga baada ya kuachwa na mkewe
MKAZI wa Kijiji cha Vikonge, Kata ya Mpandandogo wilayani Mpanda, Joseph Lukato (52) amejinyonga kwa kujitundika mtini akitumia mtandio wa mkewe baada ya kughadhabika na kuachwa naye.