Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mdau wa Maendeleo atoa vifaa kujikinga na corona Kondoa

Mmiliki wa mabasi ya Machame William Lucas ametoa sabuni na vitakasa mikono kwa ajili ya kuwasaidia watu waliokatika hatari zaidi ya kuambukizwa virusi vya Corona katika Wilaya ya Kondoa na Chemba.

Hafla ya kukabidhi vifaa hivyo ilifanyika katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Mhe. Sezaria Makota na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali, wawakilishi wa vituo vya kulelea watoto yatima na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi hivi karibuni.

Akipokea vifaa hivyo Mkuu wa Wilaya ya Kondoa ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WANAHABARI SHINYANGA WAPATIWA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA



Na Damian Masyenene - Shinyanga Press Club
Klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Shinyanga(SPC) imegawa vifaa vya kujikinga na maambukizi ya virusi vya homa kali ya mapafu Corona kwa waandishi wa habari,ili kuwawezesha kutekeleza majukumu yao katika mazingira salama na kuepuka maambukizi.
Vifaa walivyopewa wanachama ni barakoa (masks), vitakasa mikono (sanitizers), medical gloves na sabuni za maji ‘Hand soaps’ ambapo zoezi la ugawaji vifaa hivyo limesimamiwa na Viongozi wa SPC wakiongozwa na...

 

5 years ago

Michuzi

UVCCM HANANG' WAKABIDHI VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA


JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilayani Hanang' Mkoani Manyara, kupitia kampeni yao ya mikono safi Hanang' salama wameikabidhi Serikali vifaa vya kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona vya thamani ya sh. 531,000. 
Makamu Mwenyekiti wa kampeni ya mikono safi Hanang'  Emmanuel Gamasa akizungumza jana alisema lengo la UVCCM wilayani humo  kukabidhi msaada huo wa vifaaa hivyo ni kuiunga mkono serikali katika mapambano ya kujikinga na maambukizi ya virusi...

 

5 years ago

Michuzi

BARAZA LA VIJANA ZANZIBAR LATOA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA


Na Khadija Khamis –Maelezo Zanzibar
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Zanzibar Khamis Rashid Kheir amewataka vijana kuunga mkono serikali kwa kufuata maelekezo yanayotolewa na wataalamu wa afya katika kukabiliana na maradhi ya mripuko ya Corona

Hayo aliyasema wakati alipokuwa akigawa vifaa mbali mbali vya kujikinga na maradhi Corona huko Baraza la Vijana Mwanakwerekwe.

Aliwataka vijana kuwa makini katika kupambana na maradhi hayo kwani hivi sasa yamekwisha sambaa duniani kote

‘Nyinyi ndio taifa la...

 

5 years ago

Michuzi

DC NDEJEMBI APOKEA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA WILAYANI KONGWA


Charles James, Michuzi TV

KATIKA kuendeleza mapambano dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Corona Mkuu wa Wilaya ya Kongwa, Deo Ndejembi amepokea vifaa vya kujikinga na ugonjwa huo kutoka Taasisi ya Glaring Future Foundation (GFF).

Vifaa hivyo ambavyo ni Ndoo za kunawia na sabuni zake vimekabidhiwa kwa DC Ndejembi na Mkurugenzi wa taasisi hiyo, Aisha Msantu.

Akizungumza baada ya kukabidhiwa vifaa hivyo, DC Ndejembi ameipongeza taasisi ya GFF kwa moyo wao wa uzalendo wa kuiunga mkono serikali dhidi...

 

5 years ago

Michuzi

Bashungwa:Serikali kulinda Viwanda vinavyozalisha vifaa tiba ya kujikinga na Corona

Uzalishaji wa Barakoa ukiendelea katika kiwanda Cha Pristine Manufacturing Company Limited. Waziri wa Viwanda na Biashara Innocent Bashungwa akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Kiwanda Cha Pristine Manufacturing Company Limited Kilichopo Vingunguti jijini Dar es Salaam Alnoor Lakha wakati waziri huo alipotembea kiwanda hicho. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Akida Khea akizungumza namna wanavyozalisha Vifaa Tiba vya  Barakoa na kuwazimeweza kukidhi vigezo...

 

5 years ago

Michuzi

JUMUIYA YA MABOHORA TANZANIA WAMKABIDHI RC MAKONDA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA.

Jumuiya ya Dawoodi Bohora Tanzania leo imekabidhi vifaa mbalimbali vya kujikinga na corona vyenye thamani ya Shilingi Milioni 27 kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda kwa lengo la kuwakinga wananchi wa Mkoa huo.

Akipokea Vifaa hivyo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Dr. Rashid Mfaume amesema miongoni mwa vitu vilivyotolewa ni pamoja na Vifaa vya kuzuia maambukizi, vifaa vya kinga binafsi, vyakula vya kujenga mwili, sabuni, dawa za kunawa mikono na...

 

5 years ago

Michuzi

HUHESO FOUNDATION YATOA MSAADA WA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KAHAMA


Shirika la Huheso Foundation lenye makao yake Malunga Wilayani Kahama mkoani Shinyanga limetoa msaada wa vifaa vya kujikinga na Maambukizi ya virusi vya Corona vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni nne katika halmashauri ya Mji wa Kahama.
Akikabidhi vifaa hivyo leo Jumatatu Juni 1,2020 kwa Mkuu wa wilaya ya Kahama Anamringi Macha, Mkurugenzi wa shirika la Huheso Foundation na Huheso Fm Radio Bw. Juma Mwesigwa amesema vifaa hivyo ni kwa ajili ya kuunga mkono juhudi zinazofanywa na...

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI WILAYANI MWANGA WATAKIWA KUVITUNZA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA

Charles James, Michuzi TV

WANANCHI wametakiwa kuvitunza na kuvithamini vifaa vya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa Corona vinavyotolewa na wadau mbalimbali nchini katika kusaidia kujikinga na ugonjwa huo.

Kauli hiyo imetolewa wilayani Mwanga Mkoani Kilimanjaro na Mkurugenzi wa Taasisi ya Dk Msuya, Dk Ombeni Msuya wakati akikabidhi mashine za kisasa za kunawia mikono kwenye Misikiti na Zahanati wilayani humo.

Taasisi hiyo ya Dk Msuya imekua ikiiunga mkono serikali katika sekta mbalimbali...

 

5 years ago

Michuzi

TAASISI YA GFF YAKABIDHI VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA WILAYA YA MPWAPWA

Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, Jabir Shekimweri akipokea msaada wa Vikinga Uso (Face shields) kutoka kwa Taasisi ya GFF ambayo imefika ofisini kwake kutoa msaada wa vifaa vya kujikinga na Corona. Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, Jabir Shekimweri akiwa katika kikao cha pamoja na wadau wa maendeleo Taasisi ya GFF ambayo imefika ofisini kwake kukabidhi msaada wao wa vifaa vya kujikinga na Corona.Mkurugenzi wa Taasisi ya GFF, Aisha Msantu akizungumza wakati wa kukabidhi vifaa vya kujikinga na Corona kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani