JUMUIYA YA MABOHORA TANZANIA WAMKABIDHI RC MAKONDA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ety9xQR6hj4/XqbuW8Yf2WI/AAAAAAALoXc/8RDEBz1okb8vB00Jtd1SaR86TFynrqtlACLcBGAsYHQ/s72-c/09319a91-63c1-4091-87d4-f8c7cc43e144.jpg)
Jumuiya ya Dawoodi Bohora Tanzania leo imekabidhi vifaa mbalimbali vya kujikinga na corona vyenye thamani ya Shilingi Milioni 27 kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda kwa lengo la kuwakinga wananchi wa Mkoa huo.
Akipokea Vifaa hivyo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Dr. Rashid Mfaume amesema miongoni mwa vitu vilivyotolewa ni pamoja na Vifaa vya kuzuia maambukizi, vifaa vya kinga binafsi, vyakula vya kujenga mwili, sabuni, dawa za kunawa mikono na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-i1HJabJCOBg/XmK4A_hA8CI/AAAAAAALhpg/zeP9944HQP8oeH4cX3OBC-EE_mJVPZoOgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv65d957328bd1lddj_800C450.jpg)
Vifaa vya tiba vya kujikinga na Corona vya magendo vyanaswa Morocco vikipelekwa Ulaya
![](https://1.bp.blogspot.com/-i1HJabJCOBg/XmK4A_hA8CI/AAAAAAALhpg/zeP9944HQP8oeH4cX3OBC-EE_mJVPZoOgCLcBGAsYHQ/s640/4bv65d957328bd1lddj_800C450.jpg)
Gazeti la al Quds al Arabi linalochapishwa London limeripoti kuwa, raia mmoja wa Uingereza amekamatwa katika uwanja wa ndege wa Agadir huko kusini magharibi mwa Morocco akijaribu kutorosha maski elfu 16 na kuzipelekea Manchester kwa njia za magendo.
Vilevile maafisa wa forodha wa Morocco wamenasa shehena nyingine iliyokuwa na vifaa vya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Sl9BkzjOc3c/XrldHdvcN-I/AAAAAAAAH34/EeGs2DSMNb8KmZz7_Y8PqK0vQsuplWBIwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200428_124231.jpg)
UVCCM WILAYA YA IRINGA WAENDELEA KUTOA EILIMU NA VIFAA VYA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Sl9BkzjOc3c/XrldHdvcN-I/AAAAAAAAH34/EeGs2DSMNb8KmZz7_Y8PqK0vQsuplWBIwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200428_124231.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-iLuorMEDQJY/XrldHXht2LI/AAAAAAAAH38/9tG-wsWwLEku15dl-54AxhuWsWx-m52GgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200428_124111_1.jpg)
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi(UVCCM) Wilaya ya Iringa vijijini umeeleza kuwa zoezi la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ie32M8C9n90/Xs5urEFiwaI/AAAAAAALrvc/hrAG3mLWDjsaIFPE8t1HJc9ZctIspanFACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-27%2Bat%2B4.25.25%2BPM.jpeg)
MKURUGENZI CCBRT AKABIDHI VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KWA HOSPITALI, VITUO VYA AFYA 22
![](https://1.bp.blogspot.com/-ie32M8C9n90/Xs5urEFiwaI/AAAAAAALrvc/hrAG3mLWDjsaIFPE8t1HJc9ZctIspanFACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-27%2Bat%2B4.25.25%2BPM.jpeg)
Lengo la CCBRT ni kuunga mkono juhudi za Serikali na wadau wengine hapa nchini katika kuwakinga wahudumu wa afya na janga la Corona.
“Tumekusudia vifaa hivi vitumike katika vitengo vya afya ya uzazi katika hospitali hizo ili kuwakinga wahudumu wa afya...
5 years ago
MichuziWANAHABARI SHINYANGA WAPATIWA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA
Klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Shinyanga(SPC) imegawa vifaa vya kujikinga na maambukizi ya virusi vya homa kali ya mapafu Corona kwa waandishi wa habari,ili kuwawezesha kutekeleza majukumu yao katika mazingira salama na kuepuka maambukizi.
Vifaa walivyopewa wanachama ni barakoa (masks), vitakasa mikono (sanitizers), medical gloves na sabuni za maji ‘Hand soaps’ ambapo zoezi la ugawaji vifaa hivyo limesimamiwa na Viongozi wa SPC wakiongozwa na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SEceDJZ9m1c/Xr4ymqY4lCI/AAAAAAALqTg/bkP-Ewg3n-sNNlnWzTe-AIFYM4vc77m7ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200513-WA0078.jpg)
UVCCM HANANG' WAKABIDHI VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilayani Hanang' Mkoani Manyara, kupitia kampeni yao ya mikono safi Hanang' salama wameikabidhi Serikali vifaa vya kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona vya thamani ya sh. 531,000.
Makamu Mwenyekiti wa kampeni ya mikono safi Hanang' Emmanuel Gamasa akizungumza jana alisema lengo la UVCCM wilayani humo kukabidhi msaada huo wa vifaaa hivyo ni kuiunga mkono serikali katika mapambano ya kujikinga na maambukizi ya virusi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gNozG5ON0v0/XoH8felyNuI/AAAAAAALllo/J389K4ylRNYwaU_IujzAzWOBT2AEd1pHACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BARAZA LA VIJANA ZANZIBAR LATOA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA
Na Khadija Khamis –Maelezo Zanzibar
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Zanzibar Khamis Rashid Kheir amewataka vijana kuunga mkono serikali kwa kufuata maelekezo yanayotolewa na wataalamu wa afya katika kukabiliana na maradhi ya mripuko ya Corona
Hayo aliyasema wakati alipokuwa akigawa vifaa mbali mbali vya kujikinga na maradhi Corona huko Baraza la Vijana Mwanakwerekwe.
Aliwataka vijana kuwa makini katika kupambana na maradhi hayo kwani hivi sasa yamekwisha sambaa duniani kote
‘Nyinyi ndio taifa la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Lt1VO7H_vh0/Xr18u9b6LfI/AAAAAAALqQI/XVZzWq9QHDc5WGUHbiiAYKP1tP0xd-r4ACLcBGAsYHQ/s72-c/1215be02-f0c6-4e64-b659-0a6642cf4873.jpg)
DC NDEJEMBI APOKEA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA WILAYANI KONGWA
Charles James, Michuzi TV
KATIKA kuendeleza mapambano dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Corona Mkuu wa Wilaya ya Kongwa, Deo Ndejembi amepokea vifaa vya kujikinga na ugonjwa huo kutoka Taasisi ya Glaring Future Foundation (GFF).
Vifaa hivyo ambavyo ni Ndoo za kunawia na sabuni zake vimekabidhiwa kwa DC Ndejembi na Mkurugenzi wa taasisi hiyo, Aisha Msantu.
Akizungumza baada ya kukabidhiwa vifaa hivyo, DC Ndejembi ameipongeza taasisi ya GFF kwa moyo wao wa uzalendo wa kuiunga mkono serikali dhidi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bqDpJjyfiiA/Xrw_VHxR1zI/AAAAAAALqJI/meLqIGw4iPk6Y6H7ILLZeHJ3ZDVl-jDlQCLcBGAsYHQ/s72-c/02f65491-5fc6-4f2d-90b9-e70195bb0dbc.jpg)
WANANCHI WILAYANI MWANGA WATAKIWA KUVITUNZA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA
WANANCHI wametakiwa kuvitunza na kuvithamini vifaa vya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa Corona vinavyotolewa na wadau mbalimbali nchini katika kusaidia kujikinga na ugonjwa huo.
Kauli hiyo imetolewa wilayani Mwanga Mkoani Kilimanjaro na Mkurugenzi wa Taasisi ya Dk Msuya, Dk Ombeni Msuya wakati akikabidhi mashine za kisasa za kunawia mikono kwenye Misikiti na Zahanati wilayani humo.
Taasisi hiyo ya Dk Msuya imekua ikiiunga mkono serikali katika sekta mbalimbali...
5 years ago
Michuzi![](https://4.bp.blogspot.com/-GVCjpZVforM/XtUQpeNXfPI/AAAAAAAA47E/euswCQYz7Bk27j_rTf4sLJdJNirDKIxxACNcBGAsYHQ/s72-c/9.jpeg)
HUHESO FOUNDATION YATOA MSAADA WA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KAHAMA
![](https://4.bp.blogspot.com/-GVCjpZVforM/XtUQpeNXfPI/AAAAAAAA47E/euswCQYz7Bk27j_rTf4sLJdJNirDKIxxACNcBGAsYHQ/s640/9.jpeg)
Shirika la Huheso Foundation lenye makao yake Malunga Wilayani Kahama mkoani Shinyanga limetoa msaada wa vifaa vya kujikinga na Maambukizi ya virusi vya Corona vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni nne katika halmashauri ya Mji wa Kahama.
Akikabidhi vifaa hivyo leo Jumatatu Juni 1,2020 kwa Mkuu wa wilaya ya Kahama Anamringi Macha, Mkurugenzi wa shirika la Huheso Foundation na Huheso Fm Radio Bw. Juma Mwesigwa amesema vifaa hivyo ni kwa ajili ya kuunga mkono juhudi zinazofanywa na...