MDAU ABUU MAIGE AFUNGA NDOA NA ZAINAB AHMED
Bwana Harusi Abuu Almas Maige akiwa amepozi na Mkewe,Bi.Zainab Binti Ahmed Lukuta mara baada ya kufunga ndoa yao huko Kigamboni mwishoni mwa wiki.
Bwana Harusi akiwa na Wazazi wake Mzee Maige na Mkewe.
Bwana Harusi Abuu Almas Maige akiwa amepozi na Mkewe,Bi.Zainab Binti Ahmed Lukuta mara baada ya kufunga ndoa yao huko Kigamboni mwishoni mwa wiki,pichani nyuma wakiwa na Wazazi wao katika picha ya pamoja mara baada ya ndoa kufungwa.PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMDAU WETU SILLAH MBUYA AFUNGA NDOA NA ANCILLA
(Picha na Geofrey Adroph)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
MichuziMDAU MAC NAMARA WA GAZETI LA MWANANCHI AFUNGA NDOA MOROGORO
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Dewji Blog19 Oct
Mdau Sillas Mbuya akimbia kambi ya ukapera, afunga ndoa Ancilla!
10 years ago
Vijimambo
MDAU HAMISI MRISHO AFUNGA NDOA NA BI.REHEMA MILANZI ,SEGEREA JIJI Dar-es-Salaam





10 years ago
Michuzi.jpg)
Mdau Zainab Mwinyijuma alamba nondozz yake
.jpg)
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi.jpg)
mdau Zainab Rajab Mwinyijuma alamba nondozzzz uingereza
.jpg)
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Michuzi
Mdau Zainab Kessy Mtambo alamba nondozz yake katika Chuo Kikuu cha Taylor's University



10 years ago
Michuzi.jpg)
Mdau Abdulaziz Ahmed ajitosa kuwania Ubunge Jimbo la Lindi Mjini
.jpg)
Kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi oktoba mwaka huu,Mwandishi wa habari wa kituo cha televisheni cha Channel ten,Abdulaziz Ahmed leo Ametangaza nia yake ya kugombea ubunge katika jimbo la Lindi mjini katika uchaguzi mkuu ujao kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa,Abdulaziz ambae pia ni Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoani Lindi alisema kuwa amefikia uamuzi huo baada ya kujitathimini na kugundua...
11 years ago
GPL
NASSARI AFUNGA NDOA
Joshua Samwel Nassari (kulia) akiwa na mke wake Anande Nko. Mbunge Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Samwel Nassari amefunga ndoa na Anande Nko kwenye Kanisa la Pentekoste lililopo Kilinga, Arumeru ikifuatiwa na sherehe kubwa iliyofanyika katika Viwanja vya Usa-River Academy jirani na Hoteli ya Ngurdoto. Sherehe hiyo ilianza mishale ya saa 7:00 mchana ambapo watu wote walialikwa wakiwemo ndugu, marafiki, jamaa na wananchi wote...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania