Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MDAU MAC NAMARA WA GAZETI LA MWANANCHI AFUNGA NDOA MOROGORO

Waandishi wa Gazeti za Mwananchi Mac Namara Ng'ambi na Bi Ester Mwimbura kufunga pingu za maisha katika kanisa la Anglikana lililopo pande za kihonda Mkoani Morogoro.
            Maharusi Wakikata kike yao.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI




Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MAC NAMARA WA GAZETI LA MWANANCHI AFUNGA NDOA MORO

Waandishi wa Gazeti za Mwananchi Mac Namara Ng'ambi na Bi Ester Mwimbura kufunga pingu za maisha katika kanisa la Anglikana lililopo pande za kihonda Mkoani Morogorokwa picha zaidi bofya soma zaidiPaparazi wa Mtandao wa Global Publisher Dustan Shekidele akiwa kazini kwenye haursi hiyo.Wakikata kike yao ya harusiBi,Harusi akipeleka zawadi kwa wakwe zake kwa staili ya kupiga magotiKipengele kilichokuwa kikisubiriwa na wengi'Menyu'Waandishi wa habari wakiongozwa na Ramadhani Libenanga'Kutty...

 

10 years ago

Michuzi

MDAU ABUU MAIGE AFUNGA NDOA NA ZAINAB AHMED

Bwana Harusi Abuu Almas Maige akiwa amepozi na Mkewe,Bi.Zainab Binti Ahmed Lukuta mara baada ya kufunga ndoa yao huko Kigamboni mwishoni mwa wiki.  Bwana Harusi akiwa na Wazazi wake Mzee Maige na Mkewe. Bwana Harusi Abuu Almas Maige akiwa amepozi na Mkewe,Bi.Zainab Binti Ahmed Lukuta mara baada ya kufunga ndoa yao huko Kigamboni mwishoni mwa wiki,pichani nyuma wakiwa na Wazazi wao katika picha ya pamoja mara baada ya ndoa kufungwa.PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

9 years ago

Michuzi

MDAU WETU SILLAH MBUYA AFUNGA NDOA NA ANCILLA

 Bwana na Bibi harusi wakiingia kanisani kwa ajili ya kufungishwa ndoa katika kanisa la KKKT Sinza jana Jumapili.
(Picha na Geofrey Adroph)   Mchingaji akitoa neno kwa wanandoa hao waliofunga pingu za maisha katika kanisa la KKKT Sinza jijini Dar jana Jumapili. Bwana Harisi Sillah Mbuya akimvalisha pete ya ndoa mke wake Ancilla katika kanisa la KKKT Sinza.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mdau Sillas Mbuya akimbia kambi ya ukapera, afunga ndoa Ancilla!

 Bwana na Bibi harusi wakiingia kanisani kwa ajili ya kufungishwa ndoa katika kanisa la KKKT Sinza jana Jumapili.(Picha na Geofrey Adroph)     Mchingaji akitoa neno kwa wanandoa hao waliofunga pingu za maisha katika kanisa la KKKT Sinza jijini Dar jana Jumapili.  Bwana Harisi Sillah Mbuya akimvalisha pete ya ndoa mke wake Ancilla katika kanisa la KKKT Sinza  Bibi harusi akimvalisha pete mme wake Sillah Mbuya uku mchunhaji akishuhudia tukio hili la kihistoria  Mchungaji akitoa baraka kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

MDAU HAMISI MRISHO AFUNGA NDOA NA BI.REHEMA MILANZI ,SEGEREA JIJI Dar-es-Salaam

Mdau Hamisi Mrisho Mohamedi mzawa wa Kariakoo ambaye pia ana makazi yake kule Segerea Jiji Dar,siku ya Ijumaa 19 Juni 2015 alifunga ndoa na Bi.Rehema Joachim Milanzi mkazi wa Segerea,Dar.mdau Hamisi Mrisho Mohamedi kaachana kabisa na klabu ya Makapera aka Bado nipo nipo Club na fanikiwa kupata mama mwenye nyumba Bi.Rehema Milanzi, harusi hiyo ilifanyika Masid Kubah iliyopo Segerea mwisho,Dar-es-salaam,tunawatakia maisha mema maharusi. 

 

9 years ago

Mwananchi

EU, DC wasifia gazeti la Mwananchi

Waangalizi wa Uchaguzi wa Umoja wa Ulaya wamelitaja gazeti la Mwananchi kuwa ni miongoni mwa vyombo vya habari, vinavyoripoti habari za uchaguzi kwa kina na usahihi bila upendeleo.

 

10 years ago

Michuzi

IKULU YAKANUSHA TAARIFA YA GAZETI LA MWANANCHI LA JULAI 27, 2015


THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz               Fax: 255-22-2113425

PRESIDENT’S OFFICE,      STATE HOUSE,               1 BARACK OBAMA ROAD,   11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.  TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Gazeti la Mwananchi la leo, Jumatatu, Julai 27, 2015, kwenye ukurasa wake wa 26 limechapisha habari yenye kichwa cha habari, “Marais watano...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani