MDAU WETU SILLAH MBUYA AFUNGA NDOA NA ANCILLA
Bwana na Bibi harusi wakiingia kanisani kwa ajili ya kufungishwa ndoa katika kanisa la KKKT Sinza jana Jumapili.
(Picha na Geofrey Adroph) Mchingaji akitoa neno kwa wanandoa hao waliofunga pingu za maisha katika kanisa la KKKT Sinza jijini Dar jana Jumapili.
Bwana Harisi Sillah Mbuya akimvalisha pete ya ndoa mke wake Ancilla katika kanisa la KKKT Sinza.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog19 Oct
Mdau Sillas Mbuya akimbia kambi ya ukapera, afunga ndoa Ancilla!
10 years ago
MichuziMDAU ABUU MAIGE AFUNGA NDOA NA ZAINAB AHMED
10 years ago
MichuziMDAU MAC NAMARA WA GAZETI LA MWANANCHI AFUNGA NDOA MOROGORO
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-G4WaFRHOdMo/VYVgWfypkMI/AAAAAAADsVM/WSe5mgNUQ4I/s72-c/Bw.Hamisi%2BMrisho%2BMohamed%2Bakiwa%2Bna%2Bmai%2Bwife%2Bwake%2BBi.Rehema%2BMilanzi.jpg)
MDAU HAMISI MRISHO AFUNGA NDOA NA BI.REHEMA MILANZI ,SEGEREA JIJI Dar-es-Salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-G4WaFRHOdMo/VYVgWfypkMI/AAAAAAADsVM/WSe5mgNUQ4I/s640/Bw.Hamisi%2BMrisho%2BMohamed%2Bakiwa%2Bna%2Bmai%2Bwife%2Bwake%2BBi.Rehema%2BMilanzi.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-V_M_YEQ9AUk/VYVgW3yw_SI/AAAAAAADsVc/hW26iddtJqs/s640/ujanja%2Bkuwai%2Bbiashara%2Basubuhi%2Bjioni%2Bhesabu%2B%2BBw.Hamisi%2BMrisho%2BMohamedi%2Bkautaka%2Bkukawiza%2Bmambo%2Bkapata%2Bmai%2Bwife%2Bwake.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mrDPnmJxvbc/VYVgWJ071jI/AAAAAAADsVI/MRq3hzwRFgc/s640/Bw.Hamisi%2BMrisho%2Bna%2BMkewe%2BBi%2BRehema%2BMilanzi%2528katika%2529%2Bwakiagana%2Bna%2Bklabu%2Bya%2Bmakapara.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JK34X-q26SY/VYVgWfhPVUI/AAAAAAADsVQ/ruK0tLyIiRE/s640/Maharusi%2BBw.Hamisi%2BMrisho%2BMohamed%2Bna%2BBi%2BRehema%2BMilanzi%2B%2528katikati%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CBoe3G9DpK4/VYVgW0w8bXI/AAAAAAADsVU/NgzfHU6dLQo/s640/Maharusi%2BBw.Hamisi%2BMrisho%2BMohamedi%2Bna%2BBi.Rehema%2BMilanzi%2Bwakionyesha%2Bhati%2Bmiliki%2Bza%2Bndoa%2Byao.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a5b4X5Lcvi1wp8RDvDZg-3B5d8cu*v5KgvEw8JExj50NuRGX3VyRnBvT*AyF7TRAVTqO7XV6QxB3mBn85sN0jgqr-mbqBgit/Nasari2.jpg?width=534)
NASSARI AFUNGA NDOA
Joshua Samwel Nassari (kulia) akiwa na mke wake Anande Nko. Mbunge Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Samwel Nassari amefunga ndoa na Anande Nko kwenye Kanisa la Pentekoste lililopo Kilinga, Arumeru ikifuatiwa na sherehe kubwa iliyofanyika katika Viwanja vya Usa-River Academy jirani na Hoteli ya Ngurdoto. Sherehe hiyo ilianza mishale ya saa 7:00 mchana ambapo watu wote walialikwa wakiwemo ndugu, marafiki, jamaa na wananchi wote...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WRH9ovbTZmBjiN6lZQ2DO3-STCmCaNVfb1dWveORsO4CwzpaG86JwYV4XMTbx59yvXgPQmR9aubfZEWtn2wpp9okOb-a7q7Z/IMG20140531WA0036.jpg?width=650)
MWAIKIMBA AFUNGA NDOA KIMYAKIMYA
Mshambuliaji wa Azam FC, Gaudence Mwaikimba akiwa na mke wake Rukia (Mary) Ally Seif. Na Khadija Mngwai MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Gaudence Mwaikimba, ameamua kuachana na ukapera baada ya hivi karibuni kufunga pingu za maisha na mzazi mwenziye, anayejulikana kwa jina la mama Genevieve. Gaudence Mwaikimba akiwa na mke wake Rukia (Mary) Ally Seif baada ya kufunga… ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OyRBKp4pk3RAyhtLNPWahzVBr21pDUC0b1Wh98RChauKq-0xPFjC*DDvCh8VkptspbgnfYCrSaQXC3baGKe0Qua*Dt1rjl1H/kiria.jpg?width=650)
MTALAKA WA KIRIA AFUNGA NDOA
Na Hamida Hassan
MTALAKA wa mtangazaji Joyce Kiria, Nelson Nkongo ‘DJ Nelly’ amefunga ndoa na mwanamke mwingine aliyefahamika kwa jina la Elinda ‘Aika’. Joyce Kiria. Mapema wiki hii, picha za wanandoa hao zilizagaa kwenye simu za mastaa mbalimbali huku wengi wao wakimpongeza Nelly kwa kuchukua uamuzi huo wa kuvuta jiko lingine baada ya kumwagana na Joyce mwaka 2011. “Tunampongeza Nelly kwa kuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xkVCMRT4uG-nIQLmsjQ-2hWgCeSz-QwJX70NMd7k*Nq1fg9qNJfdHsf4MilUXcy5CHbyeZLZr0V0wXsiF9mphHn65uAtPTi2/BACKAMANI.jpg?width=650)
BI HARUSI AFUNGA NDOA, ATOROKA
SHANI RAMADHANI AIBU ya mwaka! Mwanadada aliyefahamika kwa jina la Tatu Ally (26), mkazi wa Kongowe, Mbagala, Dar amejikuta akiifedhehesha familia yake kufuatia kutoroka kwa mumewe siku moja tu baada ta kufunga ndoa, Amani lina picha kamili. Mwanadada Tatu Ally anayedaiwa kutoroka baada ya kufunga ndoa. Kwa mujibu wa chanzo, ndoa hiyo ilifungwa Aprili 4, mwaka huu Mbagala jijini Dar kisha bi harusi huyo kwenda kwa mumewe...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pM3ABSV3WVWfuPLmPpO769G1nApWatyd00ZK-S0TKiUCNrxuaH-MW616jkNAlRjIVbfH5QdqwLH8Sl2hYePEis*OAUdAaFur/pfunk.jpg?width=650)
P FUNK AFUNGA NDOA YA SIRI
Stori: Gladness Mallya
BAADA ya kuishi maisha ya kisela kwa muda mrefu, hatimaye mtayarishaji nguli wa muziki Bongo, Paul Mathyasse ‘P Funk’ ameoa kwa siri. Mtayarishaji nguli wa muziki Bongo, Paul Mathyasse ‘P Funk’ wakati wa harusi yake. Taarifa kutoka kwa chanzo makini kilichoshuhudia tukio hilo, lilichukua nafasi jijini Arusha mwishoni mwa wiki iliyopita kwa usiri mkubwa. Imeelezwa kuwa, P Funk...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania