MDAU HAMISI MRISHO AFUNGA NDOA NA BI.REHEMA MILANZI ,SEGEREA JIJI Dar-es-Salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-G4WaFRHOdMo/VYVgWfypkMI/AAAAAAADsVM/WSe5mgNUQ4I/s72-c/Bw.Hamisi%2BMrisho%2BMohamed%2Bakiwa%2Bna%2Bmai%2Bwife%2Bwake%2BBi.Rehema%2BMilanzi.jpg)
Mdau Hamisi Mrisho Mohamedi mzawa wa Kariakoo ambaye pia ana makazi yake kule Segerea Jiji Dar,siku ya Ijumaa 19 Juni 2015 alifunga ndoa na Bi.Rehema Joachim Milanzi mkazi wa Segerea,Dar.mdau Hamisi Mrisho Mohamedi kaachana kabisa na klabu ya Makapera aka Bado nipo nipo Club na fanikiwa kupata mama mwenye nyumba Bi.Rehema Milanzi, harusi hiyo ilifanyika Masid Kubah iliyopo Segerea mwisho,Dar-es-salaam,tunawatakia maisha mema maharusi.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u9lGmvNFCps/VYW8omER8jI/AAAAAAAHh3Y/xFnAWRQ2y7M/s72-c/Bw.Hamisi%2BMrisho%2BMohamed%2Bakiwa%2Bna%2Bmai%2Bwife%2Bwake%2BBi.Rehema%2BMilanzi.jpg)
wadau hamisi na rehema wameremeta Segerea Mwisho, Dar es salaam
Hamisi Mrisho Mohamedi mzawa wa Kariakoo ambaye pia ana makazi yake kule Segerea Jijini Dar, siku ya Ijumaa, 19 Juni 2015 alifunga ndoa na Bi. Rehema Joachim Milanzi mkazi wa Segerea, Dar. Mohamedi kuachana kabisa na klabu ya makapera aka Bado nipo nipo Club na kufanikiwa kupata mama mwenye nyumba Bi. Rehema. Harusi ilifanyika Masjid Kubah iliyopo Segerea Mwisho, Dar es Salaam. Tuwatakie maisha mema maharusi.
Maharusi wakiwa wamekumbatiana kwa furaha baada ya kumeremeta
Maharusi...
![](http://1.bp.blogspot.com/-u9lGmvNFCps/VYW8omER8jI/AAAAAAAHh3Y/xFnAWRQ2y7M/s1600/Bw.Hamisi%2BMrisho%2BMohamed%2Bakiwa%2Bna%2Bmai%2Bwife%2Bwake%2BBi.Rehema%2BMilanzi.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NG7lgSHT4pM/VYW8qSvz-1I/AAAAAAAHh3k/EeGJJyF3-JE/s1600/Bw.Hamisi%2BMrisho%2Bna%2BMkewe%2BBi%2BRehema%2BMilanzi%2528katika%2529%2Bwakiagana%2Bna%2Bklabu%2Bya%2Bmakapara.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-qUqDOy0OYqg/VRCVz9R50hI/AAAAAAADdhE/aKd1e9w3nEo/s72-c/HAMISI%2BALLY%2BHAMISI%2Baka%2BMzawa%2Bwa%2BKariakoo.jpg)
HAPPY BIRTHDAY MDAU HAMISI ALLY HAMISI AKA MZAWA WA KARIAKOO
![](http://1.bp.blogspot.com/-qUqDOy0OYqg/VRCVz9R50hI/AAAAAAADdhE/aKd1e9w3nEo/s1600/HAMISI%2BALLY%2BHAMISI%2Baka%2BMzawa%2Bwa%2BKariakoo.jpg)
alizaliwa siku kama ya leo 24 March,mtaa mchikichi/kongo st.18 Kariakoo jijini Dar
akiwa mtoto wa kiume wa alekuwa mchezaji kandanda wa timu za Benfrika,Kongo United "Shetani Wekundu" marehem Bw.Ally Hamisi Ally(RIP) aka De Stefano.
Hongera sana kijana Hamisi Ally Hamisi kwa siku yako ya Kuzaliwa na endeleza kipaji chako cha kandanda
wadau mnaweza...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-U1jMnPXHsl4/VRBx6fO3wlI/AAAAAAAHMlc/GPEUMY2_XUc/s72-c/unnamed.jpg)
Hepi Besdei ya kuzaliwa mdau Hamisi Ally Hamisi
![](http://4.bp.blogspot.com/-U1jMnPXHsl4/VRBx6fO3wlI/AAAAAAAHMlc/GPEUMY2_XUc/s1600/unnamed.jpg)
Hongera sana kijana Hamisi Ally Hamisi kwa siku yako ya Kuzaliwa na endeleza kipaji chako cha...
9 years ago
MichuziMDAU WETU SILLAH MBUYA AFUNGA NDOA NA ANCILLA
(Picha na Geofrey Adroph)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
MichuziMDAU ABUU MAIGE AFUNGA NDOA NA ZAINAB AHMED
10 years ago
MichuziMDAU MAC NAMARA WA GAZETI LA MWANANCHI AFUNGA NDOA MOROGORO
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
9 years ago
Dewji Blog19 Oct
Mdau Sillas Mbuya akimbia kambi ya ukapera, afunga ndoa Ancilla!
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2d7DtdQAjpo/Vnb4GKR4AQI/AAAAAAAINjU/NuMyFND8ak4/s72-c/15c3dfdc-121d-4d83-a948-8785cbb6c02e.jpg)
Mdau Yassin Shabani Kweka na Rehema Kasirika wameremeta jijini Arusha
Ndoa ya Bw. Yassin Shabani Kweka wa Maili Sita mjini Moshi mkoani Kilimanjaro na bi Rehema Kisarika wa Mbauda jijini Arusha. Ndoa ilifungwa nyumbani Kwa mama Rehema tarehe 19/12/2015.
Bwana harusi akimlisha asali mkewe wakati wa aqdi mwishoni mwa wiki jijini Arusha
Hati ya ndoa
Madada wa Bwana Harusi wakimsubiri wifi yao...
Mawifi kutoka kulia ni aumu ,Leila, Minor na Fatuma.
Maharusi kwenye pozi ya furaha baada ya kumeremeta
![](http://3.bp.blogspot.com/-2d7DtdQAjpo/Vnb4GKR4AQI/AAAAAAAINjU/NuMyFND8ak4/s640/15c3dfdc-121d-4d83-a948-8785cbb6c02e.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Zh23C86r2CU/Vnb4GdK8w7I/AAAAAAAINjY/i13bsClTv8E/s640/bf26cf1d-8df3-4178-8d9f-323e44f14b1b.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gFvIXqxs3Go/Vnb4GcmsG4I/AAAAAAAINjc/RBOdzVOdtkc/s640/c2d35c64-2237-4b16-8a54-10b8af08b608.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-v0FbQ6CoXvk/Vnb4GkBLvZI/AAAAAAAINjk/0zaSke4AcKY/s640/d8729d3b-d004-45d2-8c39-5167789bca60.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wp8HCKj8FZE/Vnb4G_GyzsI/AAAAAAAINjs/n2rLQsmN69M/s640/e6be0262-0df7-42d6-8a03-4afe83cb1d0f.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-1HaA1BszoXI/VL0ipWuNWXI/AAAAAAAAPMM/ARmGnrHZ0TI/s72-c/kiapo%2Bmwenyekiti.jpg)
MWENYEKITI WA MTAA ALIYESHINDA SEGEREA JIJINI DAR ES SALAAM AAPISHWA KIAINA
![](http://3.bp.blogspot.com/-1HaA1BszoXI/VL0ipWuNWXI/AAAAAAAAPMM/ARmGnrHZ0TI/s640/kiapo%2Bmwenyekiti.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania