Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MDAU HAMISI MRISHO AFUNGA NDOA NA BI.REHEMA MILANZI ,SEGEREA JIJI Dar-es-Salaam

Mdau Hamisi Mrisho Mohamedi mzawa wa Kariakoo ambaye pia ana makazi yake kule Segerea Jiji Dar,siku ya Ijumaa 19 Juni 2015 alifunga ndoa na Bi.Rehema Joachim Milanzi mkazi wa Segerea,Dar.mdau Hamisi Mrisho Mohamedi kaachana kabisa na klabu ya Makapera aka Bado nipo nipo Club na fanikiwa kupata mama mwenye nyumba Bi.Rehema Milanzi, harusi hiyo ilifanyika Masid Kubah iliyopo Segerea mwisho,Dar-es-salaam,tunawatakia maisha mema maharusi. 

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

wadau hamisi na rehema wameremeta Segerea Mwisho, Dar es salaam

Hamisi Mrisho Mohamedi mzawa wa Kariakoo ambaye pia ana makazi yake kule Segerea Jijini Dar, siku ya Ijumaa, 19 Juni 2015 alifunga ndoa na Bi. Rehema Joachim Milanzi mkazi wa Segerea, Dar. Mohamedi kuachana kabisa na klabu ya makapera aka Bado nipo nipo Club na kufanikiwa kupata mama mwenye nyumba Bi. Rehema. Harusi ilifanyika Masjid Kubah iliyopo Segerea Mwisho, Dar es Salaam. Tuwatakie maisha mema maharusi. Maharusi wakiwa wamekumbatiana kwa furaha baada ya kumeremeta Maharusi...

 

10 years ago

Vijimambo

HAPPY BIRTHDAY MDAU HAMISI ALLY HAMISI AKA MZAWA WA KARIAKOO

Leo Jumanne 24.March 2015 ni siku ya kuzaliwa mdau Hamisi Ally Hamisi tunamuombea kila la heri,Afya njema na maisha marefu,Kijana Hamisi Ally Hamisi

alizaliwa siku kama ya leo 24 March,mtaa mchikichi/kongo st.18 Kariakoo jijini Dar
akiwa mtoto wa kiume wa alekuwa mchezaji kandanda wa timu za Benfrika,Kongo United "Shetani Wekundu" marehem Bw.Ally Hamisi Ally(RIP) aka De Stefano.


Hongera sana kijana Hamisi Ally Hamisi kwa siku yako ya Kuzaliwa na endeleza kipaji chako cha kandanda


wadau mnaweza...

 

10 years ago

Michuzi

Hepi Besdei ya kuzaliwa mdau Hamisi Ally Hamisi

Leo Jumanne 24.March 2014 ni siku ya kuzaliwa mdau Hamisi Ally Hamisi tunamuombea kila la heri,Afya njema na maisha marefu,Kijana Hamisi Ally Hamisializaliwa siku kama ya leo 24 March, mtaa wa Mchikichi/Kongo st.18 Kariakoo jijini Dar es salaam,akiwa mtoto wa kiume wa aliyekuwa mchezaji kandanda wa timu za Benfrika, Kongo United "Shetani Wekundu" marehem Bw.Ally Hamisi Ally(RIP) aka De Stefano.
Hongera sana kijana Hamisi Ally Hamisi kwa siku yako ya Kuzaliwa na endeleza kipaji chako cha...

 

9 years ago

Michuzi

MDAU WETU SILLAH MBUYA AFUNGA NDOA NA ANCILLA

 Bwana na Bibi harusi wakiingia kanisani kwa ajili ya kufungishwa ndoa katika kanisa la KKKT Sinza jana Jumapili.
(Picha na Geofrey Adroph)   Mchingaji akitoa neno kwa wanandoa hao waliofunga pingu za maisha katika kanisa la KKKT Sinza jijini Dar jana Jumapili. Bwana Harisi Sillah Mbuya akimvalisha pete ya ndoa mke wake Ancilla katika kanisa la KKKT Sinza.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

10 years ago

Michuzi

MDAU ABUU MAIGE AFUNGA NDOA NA ZAINAB AHMED

Bwana Harusi Abuu Almas Maige akiwa amepozi na Mkewe,Bi.Zainab Binti Ahmed Lukuta mara baada ya kufunga ndoa yao huko Kigamboni mwishoni mwa wiki.  Bwana Harusi akiwa na Wazazi wake Mzee Maige na Mkewe. Bwana Harusi Abuu Almas Maige akiwa amepozi na Mkewe,Bi.Zainab Binti Ahmed Lukuta mara baada ya kufunga ndoa yao huko Kigamboni mwishoni mwa wiki,pichani nyuma wakiwa na Wazazi wao katika picha ya pamoja mara baada ya ndoa kufungwa.PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

10 years ago

Michuzi

MDAU MAC NAMARA WA GAZETI LA MWANANCHI AFUNGA NDOA MOROGORO

Waandishi wa Gazeti za Mwananchi Mac Namara Ng'ambi na Bi Ester Mwimbura kufunga pingu za maisha katika kanisa la Anglikana lililopo pande za kihonda Mkoani Morogoro.
            Maharusi Wakikata kike yao.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI




 

9 years ago

Dewji Blog

Mdau Sillas Mbuya akimbia kambi ya ukapera, afunga ndoa Ancilla!

 Bwana na Bibi harusi wakiingia kanisani kwa ajili ya kufungishwa ndoa katika kanisa la KKKT Sinza jana Jumapili.(Picha na Geofrey Adroph)     Mchingaji akitoa neno kwa wanandoa hao waliofunga pingu za maisha katika kanisa la KKKT Sinza jijini Dar jana Jumapili.  Bwana Harisi Sillah Mbuya akimvalisha pete ya ndoa mke wake Ancilla katika kanisa la KKKT Sinza  Bibi harusi akimvalisha pete mme wake Sillah Mbuya uku mchunhaji akishuhudia tukio hili la kihistoria  Mchungaji akitoa baraka kwa...

 

9 years ago

Michuzi

Mdau Yassin Shabani Kweka na Rehema Kasirika wameremeta jijini Arusha

Ndoa ya Bw. Yassin Shabani Kweka wa Maili Sita mjini Moshi mkoani Kilimanjaro na bi Rehema Kisarika wa Mbauda jijini Arusha. Ndoa ilifungwa nyumbani Kwa mama Rehema tarehe 19/12/2015. Bwana harusi akimlisha asali mkewe wakati wa aqdi mwishoni mwa wiki jijini ArushaHati ya ndoaMadada wa Bwana Harusi wakimsubiri wifi yao...Mawifi kutoka kulia ni aumu ,Leila, Minor na Fatuma.Maharusi kwenye pozi ya furaha baada ya kumeremeta

 

10 years ago

Vijimambo

MWENYEKITI WA MTAA ALIYESHINDA SEGEREA JIJINI DAR ES SALAAM AAPISHWA KIAINA

Japhet Kembo (Chadema) akila kiapo cha kuwa mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa Migombani kata ya Segerea wilaya ya Ilala jijini Dar es salaam mbele ya wakili wa kujitegemea Idd Msawanga (mwenye suti nyeusi) leo Jumatatu Januari 19, 2015 nje ya ofisi hizo, jijini Dar es Salaam, tukio hilo ni la aina yake kwani kiutaratibu, mshindi huapishwa katika hafla inayoandaliwa na halmashauri ya wilaya husika. Hata hivyo, kumekuwepo na mizengwe ya kuapishwa kwa Japhet, ambapo viongozi wenzake kutoka kata...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani