Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAPPY BIRTHDAY MDAU HAMISI ALLY HAMISI AKA MZAWA WA KARIAKOO

Leo Jumanne 24.March 2015 ni siku ya kuzaliwa mdau Hamisi Ally Hamisi tunamuombea kila la heri,Afya njema na maisha marefu,Kijana Hamisi Ally Hamisi

alizaliwa siku kama ya leo 24 March,mtaa mchikichi/kongo st.18 Kariakoo jijini Dar
akiwa mtoto wa kiume wa alekuwa mchezaji kandanda wa timu za Benfrika,Kongo United "Shetani Wekundu" marehem Bw.Ally Hamisi Ally(RIP) aka De Stefano.


Hongera sana kijana Hamisi Ally Hamisi kwa siku yako ya Kuzaliwa na endeleza kipaji chako cha kandanda


wadau mnaweza...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Hepi Besdei ya kuzaliwa mdau Hamisi Ally Hamisi

Leo Jumanne 24.March 2014 ni siku ya kuzaliwa mdau Hamisi Ally Hamisi tunamuombea kila la heri,Afya njema na maisha marefu,Kijana Hamisi Ally Hamisializaliwa siku kama ya leo 24 March, mtaa wa Mchikichi/Kongo st.18 Kariakoo jijini Dar es salaam,akiwa mtoto wa kiume wa aliyekuwa mchezaji kandanda wa timu za Benfrika, Kongo United "Shetani Wekundu" marehem Bw.Ally Hamisi Ally(RIP) aka De Stefano.
Hongera sana kijana Hamisi Ally Hamisi kwa siku yako ya Kuzaliwa na endeleza kipaji chako cha...

 

10 years ago

Vijimambo

MDAU HAMISI MRISHO AFUNGA NDOA NA BI.REHEMA MILANZI ,SEGEREA JIJI Dar-es-Salaam

Mdau Hamisi Mrisho Mohamedi mzawa wa Kariakoo ambaye pia ana makazi yake kule Segerea Jiji Dar,siku ya Ijumaa 19 Juni 2015 alifunga ndoa na Bi.Rehema Joachim Milanzi mkazi wa Segerea,Dar.mdau Hamisi Mrisho Mohamedi kaachana kabisa na klabu ya Makapera aka Bado nipo nipo Club na fanikiwa kupata mama mwenye nyumba Bi.Rehema Milanzi, harusi hiyo ilifanyika Masid Kubah iliyopo Segerea mwisho,Dar-es-salaam,tunawatakia maisha mema maharusi. 

 

9 years ago

Vijimambo

HAPPY BIRTHDAY PATRICK NYEMBERA AKA PATOO

Happy Birthday to the most down to earth ,humbled and above all People's person Mr Patrick Raymond Nyembera from EATV Sports. Vijimambo Team wishing you a day filled with happiness and Year Filled with Joy. Stay Blessed Man. 




 

10 years ago

Vijimambo

HAPPY BIRTHDAY EDWARD TAJI AKA THE CEO.

HAPPY BIRTHDAY EDWARD TAJI WE WISH YOU A VERY HAPPY BIRTHDAY ENJOY YOUR DAY TO THE FULLEST .

 

10 years ago

Vijimambo

HAPPY BIRTHDAY MDAU ANDREW CHALE

Usiku wa Oktoba 21 ni siku yangu muhimu sana kwani, ndiyo niliyozaliwa. Hii ilikuwa ni majira ya saa 3 usiku katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ni mwaka 1985.Leo nina furaha isiyo kifani kwa kuweza kusherehekea siku yangu hii ya kuzaliwa… hakika Mungu ni mkuu nawashukuru nyote kwa kushirikiana nami bega kwa bega katika kipindi chote cha maisha yangu nawatakia kila lakheri pia.Najivunia kua mtanzania ila ndani ya miaka hii yote nakumbuka mengi na nimepitia mengi ikiwemo milima na mabonde...

 

9 years ago

Dewji Blog

Happy Birthday mdau Abdullah Zulu Lyana

11168864_10153123228352663_6395227145370489807_n

Leo ni siku ya kuzaliwa kwa mdau mkubwa wa Modewji blog Wakili wa kujitegemea na Mwenyekiti wa CCM Tawi la Sea View Upanga, ABDULLAH ZULU LYANA, (Pichani) anatimiza miaka kadhaa tangu kuzaliwa.

Modewjiblog: Inakutakia maisha marefu, afya njema, baraka tele na Mungu akuongezee hekima maradufu na akuongoze na yaliyo mema kwenye shughuli zako za kila siku.

 

 

9 years ago

Bongo5

Video: Hamisi Kamanda — Tulia

Video mpya kutoka kwa msanii Hamisi Kamanda wimbo unaitwa “Tulia”. Audio imetaalishwa katika studio za Harshbase Recods zilizopo jijini Mwanza na video imetayalishwa na Director Kenny Ukiyz. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Vijimambo

Dr Hamisi Kingwangala amjibu Lowassa


Nilichokisema jana kutokana na kauli ya Mhe. LOWASSA.
Mimi nilianza kushiriki siasa toka nikiwa mdogo sana. Kuanzia Chipukizi, Greenguard wa UVCCM na baadaye UVCCM. Miaka ya mwanzo ya 90 nilivutiwa sana na mijadala ya mfumo wa vyama vingi ama kimoja. Nakumbuka, binafsi nilivutiwa zaidi na mfumo wa kutanua demokrasia, nakumbuka nilichangia hoja zangu kwenye mkutano wa tume pale Nzega mjini, viwanja vya parking pembeni ya jukwaa. Wengi kwa hakika hawakuunga mkono mfumo wa vyama vingi. Waliamini...

 

9 years ago

The Star

Hamisi albino attacked for his body parts


The Star
Hamisi albino attacked for his body parts
The Star
Soft target: Nixon Lugadiru, Enock Jamenya, 56, and Bungoma nominated MCA Martin Wanyonyi on Friday at the Vihiga District Hospital. JOSEPH JAMENYA. September 14, 2015. A person living with albinism in Hamisi, Vihiga county, was attacked last week ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani