Dr Hamisi Kingwangala amjibu Lowassa
![](http://1.bp.blogspot.com/-pSD6_MD-GF8/VWRz-LKJdsI/AAAAAAADou0/x88hW4zhcuM/s72-c/M2LqY4EQ.jpg)
Nilichokisema jana kutokana na kauli ya Mhe. LOWASSA.
Mimi nilianza kushiriki siasa toka nikiwa mdogo sana. Kuanzia Chipukizi, Greenguard wa UVCCM na baadaye UVCCM. Miaka ya mwanzo ya 90 nilivutiwa sana na mijadala ya mfumo wa vyama vingi ama kimoja. Nakumbuka, binafsi nilivutiwa zaidi na mfumo wa kutanua demokrasia, nakumbuka nilichangia hoja zangu kwenye mkutano wa tume pale Nzega mjini, viwanja vya parking pembeni ya jukwaa. Wengi kwa hakika hawakuunga mkono mfumo wa vyama vingi. Waliamini...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-qUqDOy0OYqg/VRCVz9R50hI/AAAAAAADdhE/aKd1e9w3nEo/s72-c/HAMISI%2BALLY%2BHAMISI%2Baka%2BMzawa%2Bwa%2BKariakoo.jpg)
HAPPY BIRTHDAY MDAU HAMISI ALLY HAMISI AKA MZAWA WA KARIAKOO
![](http://1.bp.blogspot.com/-qUqDOy0OYqg/VRCVz9R50hI/AAAAAAADdhE/aKd1e9w3nEo/s1600/HAMISI%2BALLY%2BHAMISI%2Baka%2BMzawa%2Bwa%2BKariakoo.jpg)
alizaliwa siku kama ya leo 24 March,mtaa mchikichi/kongo st.18 Kariakoo jijini Dar
akiwa mtoto wa kiume wa alekuwa mchezaji kandanda wa timu za Benfrika,Kongo United "Shetani Wekundu" marehem Bw.Ally Hamisi Ally(RIP) aka De Stefano.
Hongera sana kijana Hamisi Ally Hamisi kwa siku yako ya Kuzaliwa na endeleza kipaji chako cha kandanda
wadau mnaweza...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-U1jMnPXHsl4/VRBx6fO3wlI/AAAAAAAHMlc/GPEUMY2_XUc/s72-c/unnamed.jpg)
Hepi Besdei ya kuzaliwa mdau Hamisi Ally Hamisi
![](http://4.bp.blogspot.com/-U1jMnPXHsl4/VRBx6fO3wlI/AAAAAAAHMlc/GPEUMY2_XUc/s1600/unnamed.jpg)
Hongera sana kijana Hamisi Ally Hamisi kwa siku yako ya Kuzaliwa na endeleza kipaji chako cha...
9 years ago
Bongo523 Oct
Video: Hamisi Kamanda — Tulia
10 years ago
Habarileo17 May
Nyalandu amjibu Nassari
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema kauli zilizotolewa bungeni na Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (Chadema)dhidi yake kuwa hafanyi kazi ila kupiga picha wakati wote, ni za kutapatapa na zimejaa ukosefu wa busara na uzushi.
10 years ago
Mtanzania29 Aug
Sitta amjibu Warioba
![Samuel Sitta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Samuel-Sitta.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
NA ESTHER MBUSSI, DODOMA
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amepinga madai ya Bunge hilo kuchukuliwa kama la mazuzu na baadhi ya watu kulishusha hadhi kwa kulifananisha na iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.
Amesema Bunge hilo lina mamlaka zaidi kuliko tume hiyo, ndiyo maana linafanya kazi kwa mujibu wa sheria ya mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2013.
Sitta alisema hayo jana na...
9 years ago
The Star14 Sep
Hamisi albino attacked for his body parts
The Star
The Star
Soft target: Nixon Lugadiru, Enock Jamenya, 56, and Bungoma nominated MCA Martin Wanyonyi on Friday at the Vihiga District Hospital. JOSEPH JAMENYA. September 14, 2015. A person living with albinism in Hamisi, Vihiga county, was attacked last week ...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/5.Askofo-wa-Kanisa-la-Ufufuo-na-UzimaJosephath-Gwajima-akizungumza-kwenye-mkutano-huo-leo-katika-Hoteli-ya-Land-Mack..jpg)
GWAJIMA AMJIBU DOKTA SLAA
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Lissu amjibu JK kuhusu Richmond
10 years ago
Mtanzania18 Mar
Askofu Niwemugizi amjibu Migiro
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
ASKOFU wa Jimbo Katoliki la Rulenge mkoani Kagera, Seveline Niwemugizi amesema, viongozi wa dini wana haki ya kuwaelimisha waumini wao waweze kujua kinachoendelea wanapoona kuna mambo hayaendi sawa katika jamii.
Niwemugizi alisema pia wanayo haki ya kuwaambia waumini wao kuipigia kura ya Hapana, Katiba Inayopendekezwa kwa sababu ni wajibu wao kufanya hivyo.
Akizungumza na MTANZANIA kwa simu jana, askofu Niwemugizi, alisema wao kama viongozi wa jamii...