Mdee amchakaza Magufuli
MWENYEKITI wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), Halima Mdee, amebomoa ngome ya mbunge wa Chato, Dk. John Magufuli kwa kuzoa wanachama zaidi ya 300 wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLKASEBA AMCHAKAZA ALIBABA KWA K.O RAUNDI YA 4
Bondia Japhet Kaseba (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Alibaba Ramadhani wakati wa kugombania ubingwa wa Taifa uliofanyika Manzese Dar es Salaam. Kaseba alishinda kwa K.O ya raundi ya nne ya mpambano huo.
Kanda Kabongo akimhudumia bondia Japhet Kaseba.…
11 years ago
GPL
MWANAMKE ‘BONDIA’ AMCHAKAZA MWENZAKE!
Na Mwandishi Wetu, Mara
Ooh…Nooo! Mwanamke aliyetajwa kwa jina la Tatu Wambura amefananishwa na bondia baada kumshushia kichapo kikali mwenzake, Catherine Benedicto, mkazi wa Kijiji cha Buhundwe, wilayani Rorya, mkoani hapa kwa kosa la kupitisha ng’ombe kwenye shamba lake. Catherine Benedicto, aliyejeluhiwa na Tatu wambula kwa makonde mazito. Imeelezwa kuwa, tukio hilo lilitokea Jumatano iliyopita majira ya saa...
11 years ago
Michuzi23 Apr
MWAITE JUMA AENDELEZA UBABE CHALINZE,JUMA BIGLEE AMCHAKAZA JACK SIMELA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania