Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mdee amchakaza Magufuli

MWENYEKITI wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), Halima Mdee, amebomoa ngome ya mbunge wa Chato, Dk. John Magufuli kwa kuzoa wanachama zaidi ya 300 wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KASEBA AMCHAKAZA ALIBABA KWA K.O RAUNDI YA 4

Bondia Japhet Kaseba (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Alibaba Ramadhani wakati wa kugombania ubingwa wa Taifa uliofanyika Manzese Dar es Salaam. Kaseba alishinda kwa K.O ya raundi ya nne ya mpambano huo.
Kanda Kabongo akimhudumia bondia Japhet Kaseba.…

 

11 years ago

GPL

MWANAMKE ‘BONDIA’ AMCHAKAZA MWENZAKE!

Na Mwandishi Wetu, Mara
Ooh…Nooo! Mwanamke aliyetajwa kwa jina la Tatu Wambura amefananishwa na bondia baada kumshushia kichapo kikali mwenzake, Catherine Benedicto, mkazi wa Kijiji cha Buhundwe, wilayani Rorya, mkoani hapa kwa kosa la kupitisha ng’ombe kwenye shamba lake. Catherine Benedicto, aliyejeluhiwa na Tatu wambula kwa makonde mazito. Imeelezwa kuwa, tukio hilo lilitokea Jumatano iliyopita majira ya saa...

 

11 years ago

Michuzi

MWAITE JUMA AENDELEZA UBABE CHALINZE,JUMA BIGLEE AMCHAKAZA JACK SIMELA

Bondia Juma Biglee (kulia) akimshambulia kwa makonde mazito Bondia Jack Simela wakati wa mpambano wao wa masumbwi uliofanyika jana katika ukumbi wa Ndelema Inn Chalinze mjini,mkoani Pwani.Biglee alishinda kwa point. Mabondia hao wakitupiana makonde mazito mazito. Bondia Juma Biglee akinyooshwa mkono juu baada ya kumshinda Jack Simela wa Chalinze. Bondia Mwaite Juma (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na  Bondia Godfrey Sadiki 'Pacho Mawe' wakati wa mpambano wao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani