Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mdee amkaribisha Warioba CHADEMA

MWENYEKITI wa Baraza la Wanawake la CHADEMA (BAWACHA), Halima Mdee, amewakaribisha katika chama hicho, wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba chini ya Jaji mstaafu Joseph Warioba, akisema wanawathamini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mdee: Tunawakaribisha Warioba, Butiku Chadema

Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), Halima Mdee amesema chama chake kitawapokea kama wafalme wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba endapo watafukuzwa CCM kutokana na misimamo yao ya kutetea maoni na mapendekezo ya wananchi katika Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbowe amkaribisha Sumaye CHADEMA

MWENYEKITI wa taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amemkaribisha Waziri Mkuu mstaafu Fredrick Sumaye kujiunga na chama chake ili kuendeleza mapambano dhidi ya vitendo vya rushwa....

 

10 years ago

TheCitizen

Chadema’s Mdee arrested

Outspoken leader of the main opposition Chadema women’s wing Halima Mdee and supporters were yesterday arrested and later released after the police quelled demonstration to oppose the Proposed Constitution endorsed in parliament last week.

 

10 years ago

TheCitizen

Chadema’s Mdee finally bailed out

Chadema women’s wing chairperson Halima Mdee and her nine co-accused have been finally released after managing to comply with bail conditions imposed by the Kisutu Resident Magistrates’ Court where they are charged with illegal assembly.

 

10 years ago

Dewji Blog

Halima Mdee aibuka kidedea wanawake CHADEMA

Untitled

Mbunge wa Kawe Halima Mdee CHADEMA.

Na Mwandishi wetu

Mbunge wa Kawe Halima Mdee CHADEMA amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la wanawake wa Chama hicho (BAVICHA) unaoendelea katika ukumbi wa Mlimani City.

Akizungumza baada ya uchaguzi huo, Mdee aliwaasa wanawake kwa wanawake kuwa wamoja badala ya kupigana vijembe wao kwa wao ili maendeleo ya mwanamke yaweze kupatina na na kuondokana na mfumo dume

“Nimezoea kuona watu wanaotukashifu ni wa upande wa pili kutokana na mfumo dume uliojengeka...

 

10 years ago

Mtanzania

Sura mpya Chadema, Mdee juu, Abwao nje

SURA MPYA CHADEMA

SURA MPYA CHADEMA

NA ELIZABETH HOMBO

KATIKA hali ambayo haikutarajiwa na wengi, Uchaguzi Mkuu wa ndani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), umeonekana kuwa wenye mchuano mkali huku majina ya wanasiasa wenye ushawishi katika chama hicho waliojitokeza kuwania nafasi za uongozi yakishindwa kutamba.

Mwenendo huo unaochukua mwelekeo wa kuwepo mapinduzi ya kiuongozi ndani ya jumuiya za chama hicho, ulijitokeza jana wakati wa uchaguzi wa viongozi wapya wa Baraza la Wanawake wa chama...

 

10 years ago

TheCitizen

Lawmaker Mdee elected as Chadema women wing chair

>Outspoken MP Halima Mdee was yesterday elected chairperson of the main opposition Chadema women’s wing, flooring five other contesters in a landslide victory.

 

10 years ago

Vijimambo

GWAJIMA, FLORA MBASHA WAIBUKIA MKUTANO WA CHADEMA KAWE, NI ULE WA KUZINDUA KITABU CHA MBUNGE HALIMA MDEE

Msanii wa nyimbo za Injili Flora Mbasha, (mwenye nguo nyeusi), akiongoza mashambulizi jukwani
MCHUNGAJI wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, na mwibaji nguli wa muziki wa Injili Flora Mbasha, leo hii alasiri Mei 24, wameibukia kwenye mkutano wa hadhara wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA.
Wakati Gwajima alihutubia, Mbasha alitumbuiza kwenye mkutano huo uliokuwa wa kuzindua kitabu cha Mbunge wa jimbo la Kawe (CHADEMA), Flora Mbasha chenye kichwa cha habari "Utekelezaji wa...

 

9 years ago

Michuzi

JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA KWENYE KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KAWE

 Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba (katikati), akimnadi Mgombea  Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kippi Warioba, katika mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu, uliofanyika katika Kata ya Makongo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam Jumapili Sept. 20.15. Kushoto ni Mgombea Udiwani wa Kata hiyo, Charles William Iteba.
Mgombea  Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kippi Warioba, akipongezwa na wanaCCM katika mkutano wa kampeni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani