Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mdee, Mwaifunga waishika Geita

MWENYEKITI wa Taifa wa Baraza la Wanawake, (CHADEMA), Halima Mdee, amesema kuwa endapo Serikali itatekeleza agizo la kuwakata mshahara watumishi wa umma wakiwemo walimu, manesi na polisi kwa ajili ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Walimu nchini waishika ‘pabaya’ Serikali

>Baraza la Walimu Tanzania(CWT), limesema ifikapo mwishoni wa Februari, mwaka huu, Serikali haijakamilisha madai yao yakiwamo malimbikizo ya mshahara Sh40 bilioni watatangaza mgogoro na Serikali.

 

5 years ago

CCM Blog

NDUGU ZAKE FLOYD WAISHIKA MIGUU UN, WAIOMBA IWASAIDIE WAMAREKANI WEUS

Philonise FloydPhilonise FloydNduge zake George Floyd, Mmarekani mweusi aliyeuawa kikatili na polisi mzungu huko Marekani, wameuomba Umoja wa Mataifa kuwasaidia watu weusi wa Marekani na kusikiliza kilio chao.Philonise Floyd ambaye ni ndugu yake George Floyd jana alihutubia kikao cha Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kilichofanyika Geneva huko Uswisi kujadili ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi ya Marekani dhidi ya raia weusi, akitoa wito wa kuundwa tume huru ya kufanya uchunguzi kuhusu...

 

5 years ago

Michuzi

GEITA GOLD MINING LTD YATOA MILIONI 100/- KUSAIDIA UJENZI CHUO KIKUU HURIA-GEITA

KATIKA kukuza sekta ya elimu ya juu nchini, Kampuni ya Geita Gold Mining Ltd. (GGML) kupitia sera yake ya uwajibikaji kwa jamii imetoa kiasi cha Sh milioni 100 kusaidia ujenzi wa Kituo cha Chuo Kikuu Huria(Open University) cha mkoani wa Geita.

Awamu ya kwanza ya mradi huo inajumuisha ujenzi wa jengo la utawala linalojumuisha chumba mikutano cha viongozi, maktaba, chumba cha maabara ya kompyuta na ofisi nyingine tano.

Pia kiasi hicho cha pesa kilichotolewa na GGML ni kwa ajili ya ununuzi wa...

 

5 years ago

Michuzi

KANALI MSTAAFU NDUGU NGEMELA LUBINGA AFANYA ZIARA WILAYA YA CHATO NA MBOGWE GEITA MKOANI GEITA.




Mlezi wa Mkoa wa Geita Ndugu. Ngemela Lubinga ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (Siasa na Uhusiano wa Kimataifa) amefanya ziara wilayani Chato na Mbogwe Mkoani Geita. 
Wilayani Chato Ndugu Lubinga amekagua na kujionea upanuzi wa Hospital ya Wilaya ya Chato pamoja na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa majengo matano ambao umekamilika kwa asilimia 97%. 
Aidha amekagua pia maendeleo ya ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mlimani ambao umejengwa kwa nguvu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani