Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mdundiko na Network za Tanzania zatajwa kuwania tuzo za AMVCAs

Filamu za Tanzania, Mdundiko iliyoongozwa na Timoth Conrad na kuchezwa na Biggie pamoja na Network iliyoongozwa na John Kalaghe na kuchezwa na Monalisa, zimetajwa kuwania tuzo za Africa Magic Viewers Choice Awards 2015, AMVCAs. Majina ya tuzo hizo yalitangazwa jana. Filamu hizo zitashindana kwenye kipengele cha Best Indigenous Language – Swahili. Tuzo zitatolewa March 7, […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Filamu ya MDUNDIKO na NETWORK, zachaguliwa kushiriki tuzo za Africa Magic Viewers’ Choice Awards 2015 (AMVCAs)

Baada ya filamu yangu ya DOGO MASAI kushinda tuzo marekani sasa ni hii ya MDUNDIKO pamoja na NETWORK ya Kalage. Mashindano haya yanajumuisha filamu mbalimbali toka bara la Afrika. Filamu hizi zote mbili zipo katika category ya Best Indigenous Language – Swahili zikishindanishwa na filamu za Veve ya Sarika Hemi Lakhani  (KENYA), Mama Duka ya Njoki Muhoho na Almasi ya Fredrick Odhiambo. 

 

11 years ago

Tanzania Daima

Filamu zitakazochuana Tuzo ya Filamu Tanzania zatajwa

WAANDAAJI wa shindano la Tuzo za Filamu Tanzania lililopewa jina la Action & Cut Viewers Choice Award 2013 wamezitaja filamu zitakazopigiwa kura na watazamaji kupitia kipindi cha Action & Cut...

 

10 years ago

Bongo Movies

Timoth na Kallage Watua Lagos Kwenye Tuzo za Africa Magic Viewers Choice Awards (AMVCAs)

Tasnia ya filamu  hapa Bongo inawakilishwa na Timoth Conrad  ambae ni muongozaji na mtengenezaji wa filamu pamoja na John Kallage ambae pia ni muongozaji wa filamu kwenye tuzo za Africa Magic Viewers Choice Awards (AMVCAs)  ambazo zinafanyika leo mjini Lagos nchni Nigeria.

Timoth na Kallage wamechaguliwa kuwania tuzo hizo katika kipengele cha  Best Local Language SWAHILI ambapo filamu mbili za kibongo, Network ya John Kallage  na Mdundiko  ya Timoth zimeingia kwenye kipengele...

 

9 years ago

Bongo5

Muongozaji wa filamu wa Tanzania atajwa kuwania tuzo za Marekani

Muongozaji wa filamu wa Tanzania, Timoth Conrad ametajwa kuwania tuzo za Marekani, California Online Viewers Choice Awards. Pia filamu yake Dogo Masai imechaguliwa kuwania tuzo hizo zitakazofanyika jijini Los Angeles. “Nimechaguliwa kuwania tuzo ya BEST DIRECTOR na pia filamu ya Dogo Masai inawania BEST FEATURE FILM,” ameandika kwenye Facebook. “Ninaomba sapoti yenu katika kunipigia. Unaweza […]

 

10 years ago

Habarileo

965 kuwania tuzo za EJAT

KAZI 965 zimepelekwa kushindania tuzo 21 za shindano la sita la Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) huku kazi 42 zikitoka Kampuni ya Tanzania Standard Newspapers Limited (TSN).

 

11 years ago

Habarileo

Waandishi 101 kuwania Tuzo za Umahiri

WAANDISHI wa habari 101 wameteuliwa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania (EJAT 2013) zinazotolewa na Baraza la Habari Tanzania (MCT) ambapo kilele chake kitakuwa Machi 14, mwaka huu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Samatta kuwania tuzo ya mchezaji bora wa CAF

Samatta anayechezea TP Mazembe ametajwa miongoni mwa wachezaji 24 watakaowania tuzo ya mchezaji bora Afrika anayechezea soka barani.

 

9 years ago

Bongo5

Lollypop atajwa kuwania tuzo za Xtreem za Kenya

Lolly

Muimbaji, mtunzi wa nyimbo na mtayarishaji wa muziki, Goodluck Gozbert maarufu kama Lollypop ametajwa kuwania tuzo za muziki wa injili za nchini Kenya, Xtreem Awards.

27

Xtreem ni tuzo kubwa nchini Kenya baada ya Groove Awards na zimeendeshwa kwa miaka miwili sasa.

Pamoja na kupata jina kwa uandishi wa nyimbo kama Basi Nenda ya Mo Music na Siachana Nawe na Nivumilie za Barakah Da Prince, Lollypop hufanya muziki wa injili kwa kutumia jina lake halisi Goodluck Gozbert.

Gozbert ametajwa kwenye...

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND ATAJWA KUWANIA TUZO NYINGINE NIGERIA

Diamond Platnumz ametajwa kuwania tuzo nyingine za kimataifa zinazofahamika kama ‘THE HEADIES 2014’, ambazo ni tuzo kubwa nchini Nigeria. Nasib Abdul ametajwa kuwania kipengele cha Msanii Bora wa Afrika (Best African Arstist) ambacho kinawaniwa na wasanii wa nje ya Nigeria. Katika kipengele hicho anashindana na Mafikizolo, Sarkodie na R2Bees.CREDIT:THECHOICE

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani