Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Medali zazidi kumiminika Olimpiki Maalumu

MAMBO yameendelea kuwa mazuri kwa wanariadha wa Tanzania wanaoshiriki michezo ya dunia ya Olimpiki Maalumu Marekani, baada ya kupata medali nyingine.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Olimpiki Maalumu wapata medali

WANARIADHA watatu wa mbio za mita 400 wa timu ya Olimpiki Maalum inayoshiriki mashindano ya dunia yanayofanyika Marekani wamepata medali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Medali zaanza kunyakuliwa Olimpiki Sochi

Wanariadha wa Marekani na Norway wamekuwa wa kwanza kunyakua medali za dhahabu kwa upande wa wanaume na wanawake

 

10 years ago

Habarileo

Olimpiki Maalumu wang’ara

KATIKA kudhihirisha kuwa wanaweza, timu ya Tanzania inayoshiriki Olimpiki Maalumu imeendelea kuvuna medali kwenye mashindano ya dunia yanayofanyika Los Angles, Marekani.

 

10 years ago

GPL

MAFUNZO YA MWEZI MMOJA YA OLIMPIKI MAALUMU TANZANIA KWA WATOTO WENYE ULEMAVU WA AKILI YA FUNGWA RASMI

Walimu waliokuwa wakiendesha mafunzo kwa watoto hao wakiwa katika picha ya pamoja. Kutoka kushoto ni Beatha Qambayot, Zilpa Masunga, Mtendaji Mkuu wa Olimpiki Maalumu Tanzania, Frank Macha na Alphonsia Mwairafu. Walimu hao wakiwa wameshika mipira ya kufundishia. (Imeandaliwa na mtandao wa habari za jamii.com-simu namba 0712-727062)…

 

10 years ago

Michuzi

MAFUNZO YA MWEZI MMOJA YA OLIMPIKI MAALUMU TANZANIA KWA WATOTO WENYE ULEMAVU WA AKILI YA FUNGWA RASMI LEO

Walimu waliokuwa wakiendesha mafunzo kwa watoto hao wakiwa katika picha ya pamoja. Kutoka kushoto ni Beatha Qambayot, Zilpa Masunga, Mtendaji Mkuu wa Olimpiki Maalumu Tanzania, Frank Macha na Alphonsia Mwairafu.Walimu hao wakiwa wameshika mipira ya kufundishia.Watoto wenye ulemavu wa akili wakiwa katika picha na  wazazi, pamoja na walimu wao baada ya kumaliza mafunzo  ya mwezi mmoja ya Olimpiki Maalumu Tanzania  yaliyofikia tamati wilayani Temeke Dar es Salaam leo.

BOFYA HAPA KWA PICHA...

 

11 years ago

Habarileo

Misaada yazidi kumiminika Magole

Mkuu wa mkoa wa Morogoro, Joel BenderaOFISI ya Waziri Mkuu Kitengo cha Maafa imetoa tani 105 za mahindi na vifaa vingine kwa ajili ya watu walioathiriwa na mafuriko katika Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi TZ:Matokeo yazidi kumiminika

Wakati matokeo yanazidi kumiminika mwandishi wetu Tulanana Bohela ametembelea mitaa ya Dar es es salaam na kutuletea taarifa ifuatayo.

 

5 years ago

Mwananchi

Wakenya waanza kumiminika Tanzania

 Joto la uchaguzi wa nchini Kenya limezidi kupamba moto kufuatia

 

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA MAALUMU KUTOKA POLISI KANDA MAALUMU YA DAR ES SALAAM JUU YA WAHALIFU WALIOTIWA NGUVUNI


Watuhumiwa wanne wamekamatwa jijini Dar es Salaam katika makutano ya barabara ya Bibi Titi na Ohio karibu na Hotel ya Serena baada ya kumpora raia wa kigeni wakiwa na gari dogo rangi ya kijivu yenye nambari za usajili T787 DBU Toyota Cienta.
Hivi karibuni kumeibuka wimbi la wahalifu kuwapora pesa na vitu vya thamani kama mikufu, bangili, hereni pia pete na vitu mbalimbali vya thamani raia wa kigeni na akina mama ambao hupenda kutembea na pochi. Wahalifu hawa hutumia gari dogo ambalo mara kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani