MEMBE AUTINGISHA MKOA WA MANYARA, APATA WADHAMINI LUNDO

Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Ole Porokwa akitambulisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kulia) kwa umati wa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wa Mkoa wa Manyara, waliofika katika Ofisi ya CCM ya Mkoa huo wilayani Babati Juni 18.2015, kwa ajili ya kumdhamini iliaweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 1,200.
Waziri wa Mambo ya Nje na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
WAZIRI BERNARD MEMBE AUTINGISHA MKOA WA MANYARA APATA WAEDHAMINI KIBAO


10 years ago
Michuzi
WAZIRI BERNARD MEMBE APATA WADHAMINI MKOA WA MBEYA


10 years ago
Vijimambo
WAZIRI BERNARD MEMBE APATA WADHAMINI GEITA


10 years ago
Michuzi
WAZIRI MEMBE APATA WADHAMINI KIGOMA AWATAKA Watanzania wasikubali kutishwa
10 years ago
Vijimambo
WAZIRI BERNARD MEMBE APATA MAPOKEZI MAKUBWA BUKOBA AZOA WADHAMINI


10 years ago
Michuzi
WAZIRI BERNARD MEMBE APATA MAPOKEZI MAKUBWA BUKOBA, AZOA WADHAMINI LUKUKI


10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Waziri Membe apata wadhamini zaidi ya 800 katika mikoa ya Lindi na Mtwara
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kulia) akizungumza na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Mkoa wa Lindi, waliofika kwenye Ofisi ya CCM mkoani humo Juni 08.2015, kwa ajili ya kutia saini fomu za kumdhamini ili ateuliwe kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 300.(Picha zote na John Badi).
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa...
10 years ago
Vijimambo
WAZIRI BERNARD MEMBE APATA MAPOKEZI MAKUBWA MOSHI MJINI AZOA WADHAMINI WAKUTOSHA


10 years ago
GPL
MEMBE AVUNA MAELFU YA WADHAMINI MKOA WA RUVUMA