Membe: Rais asiyefahamika nje atatupotezea muda
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema hivi sasa nchi haihitaji Rais asiyetambulika nchi za nje kwani atapoteza muda mwingi kujitambulisha badala ya kushughulikia masuala mbalimbali ya wananchi wake.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania08 Jun
Membe: Nikiwa rais wasanii wataenda kujifunza nje
JENNIFER ULLEMBO NA MWALI IBRAHIM
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema kama atachaguliwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, atahakikisha anasimamia haki za wasanii ipasavyo.
Membe alitoa kauli hiyo mkoani Lindi wakati akitangaza nia ya kuwania urais kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu.
“Nitahakikisha naweka mipango imara katika kusimamia kazi za wasanii wote kunufaika na hakimiliki zao,” alisema.
Pia...
10 years ago
Mwananchi15 May
Membe aaga Mambo ya Nje
10 years ago
Michuzi04 Dec
Membe Amuaga Balozi wa Australia Nchini Tanzania aliyemaliza muda wake
10 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AMUAGA RASMI BALOZI WA HISPANIA ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI
10 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AMUAGA RASMI BALOZI WA SAUDI ARABIA ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI
10 years ago
Vijimambo18 Feb
RE: WAZIRI MEMBE AMUAGA RASMI BALOZI WA SAUDI ARABIA ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI
9 years ago
VijimamboWAZIRI MEMBE AAGANA NA WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE
11 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANAYAKAZI WA MAMBO YA NJE