MEMORIAL WEEKEND EXRAVAGANZA RATIBA KAMILI HII HAPA THREE NIGHTS, TWO DAYS TO PARTY
IJUMAA May 23, 2014 kuanzia saa 3 usiku mpaka saa 9 alfajirii ni Oldskul Night kama wewe ni kijana wa zamani sio usiku wa kukosa Pata Oldskul hapo chini ujikumbushekumbushe mambo yatakavyokuwa Kingilio $10
Dj Luke The Mix Master III from Luke Joe on Vimeo.
JUMAMOSI May 24, 2014 Mechi ya Mpira DMV a New York kuanzia saa 10 jioni mpaka saa 1 usiku Mechi itachezewa Walker Mills Park Address 8001 Walker Mills Rd, Capitol Heights, MD 20743 na baadae usiku wa International White Party Dress all...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog28 Nov
Ratiba ya Ligi mbalimbali Barani Ulaya weekend hii!
Mitanange itakayopigwa leo huko Ulaya katika ligi kuu za Soka..
Michezo ya EPL.
Ungana na mchambuzi mahiri na mwanamichezo wa mtandao huu, Rabi Hume ambaye atakuwa akikupatia matokeo na habari kemkem za michezo ya soka kutoka sehemu mbaalimbali Duniani.
Kama una taarifa za michezo ikiwemo mpira wa miguu na habari zingine waweza kuwasiliana naye kupitia email za mtandao hapo juu ama kupitia simu yake: 07692441355 au email:rabbif.hume@gmail.com
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Burudani inahamia Zanzibar, Kombe la Mapinduzi 2016 Yanga, Azam FC na Simba ndani, ratiba kamili ipo hapa …
Ni kawaida kila mwaka kufanyika kwa mashindano ya Kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar, kwa mwaka 2016 michuano hiyo inafanyika kama kawaida. Kombe la Mapinduzi kwa sasa Bingwa mtetezi wa Kombe hilo ni klabu ya Simba. Jumapili ya January 3 2016. Hii ndio ratiba kamili mtu wangu ya michuano ya Kombe la Mapinduzi. CHANZO CHA HII […]
The post Burudani inahamia Zanzibar, Kombe la Mapinduzi 2016 Yanga, Azam FC na Simba ndani, ratiba kamili ipo hapa … appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Vijimambo06 Oct
WHITE PARTY EXRAVAGANZA NOVEMBER 7, 2015
![](http://www.cbelmira.com/wp-content/uploads/2015/03/white_party_regatta_logo.jpg)
11 years ago
Dewji Blog02 Aug
10 years ago
Michuzi18 Feb
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Droo ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA yafanyika, listi kamili hii hapa
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Droo ya hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA Champions League), imefanyika katika makao makuu ya Chama cha soka Ulaya Nyon, Switzerland na mtandao wako bora wa habari, Dewjiblog.com umekuandalia listi kamili ya michezo ambayo imepangwa katika droo hiyo;
Gent – Wolfsburg
AS Roma – Real Madrid
Paris Saint-German – Chelsea
Arsenal – Barcelona
Juventus – Bayern Munich
PSV – Atletico Madrid
Benfica – Zenit
Dynamo Kyiv – Manchester City
Baada ya kufanyika kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-uqJRPPEvAfc/VTozKTnGF2I/AAAAAAABMcc/boL5D_Mo7VI/s72-c/11157356_998153500229860_1655272158424215244_o.jpg)
9 years ago
Dewji Blog28 Nov
Zanzibar Heroes yafa kiume, leo hatua ya makundi kukamilika, ratiba hii hapa
Kikosi cha timu ya Zanzibar Heroes.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes imetolewa kiume katika mashindano ya Cecafa Senior Challenge yanayofanyika nchini Ethiopia baada ya kuipa kipigo cha goli 3 kwa 1 timu ya Kenya.
Zanzibar Heroes ambayo michezo yake ya awali ilipoteza dhidi ya Burundi na Uganda jana na yenyewe imepata ushindi wake wa kwanza wa kukamilisha hatua ya makundi licha ya kuwa imeshatolewa katika mashindano hayo.
Magoli ya Zanzibar Heroes katika...