Zanzibar Heroes yafa kiume, leo hatua ya makundi kukamilika, ratiba hii hapa
Kikosi cha timu ya Zanzibar Heroes.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes imetolewa kiume katika mashindano ya Cecafa Senior Challenge yanayofanyika nchini Ethiopia baada ya kuipa kipigo cha goli 3 kwa 1 timu ya Kenya.
Zanzibar Heroes ambayo michezo yake ya awali ilipoteza dhidi ya Burundi na Uganda jana na yenyewe imepata ushindi wake wa kwanza wa kukamilisha hatua ya makundi licha ya kuwa imeshatolewa katika mashindano hayo.
Magoli ya Zanzibar Heroes katika...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Hatua ya Makundi UEFA yakamilika, hii ndiyo listi ya timu zilizofuzu hatua ya 16 bora
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA imekamilika usiku wa jumatano kwa kupatikana timu nyingine 8 ambazo zitaungana na timu 8 zilizofuzu jumanne kuingia katika hatua ya 16 bora.
Timu ambazo zimefuzu kuingia hatua ya 16 bora ni;
GROUP A;
Real Madrid
Paris Saint-German
GROUP B;
Wolfsburg
PSV Eindhoven
GROUP C;
Atletico Madrid
Benfica
GROUP D;
Manchester City
Juventus
GROUP E;
Barcelona
Roma
GROUP F;
Bayern Munich
Arsenal
GROUP G;
Chelsea
Dynamo Kyiv
GROUP H;
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FnxXz7ZXyCs/U7HOcmD6gHI/AAAAAAAFt2w/KQ-_yASbng4/s72-c/2390726_full-lnd.jpg)
NIGERIA YAFA KIUME MBELE YA UFARANSA
![](http://1.bp.blogspot.com/-FnxXz7ZXyCs/U7HOcmD6gHI/AAAAAAAFt2w/KQ-_yASbng4/s1600/2390726_full-lnd.jpg)
9 years ago
Bongo514 Dec
Droo ya makundi Euro 2016 hii hapa
![euro20161](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/euro20161-300x194.png)
Droo ya makundi ya mashindano ya kombe la Ulaya 2016 yatakayofanyika nchini Ufaransa imetoka ambapo wenyeji wako Kundi A pamoja na Uswisi, Albania na Romania.
Uingereza iko Kundi B na ndugu zake Wales, pamoja na Urusi na Slovakia.
Mashindano ya Kombe la Ulaya yanatarajiwa kufanyika kuanzia Juni 10, 2016 hadi Julai 10, 2016.
MAKUNDI YA EURO 2016 UFARANSA
KUNDI A
1 France
2 Romania
3 Albania
4 Switzerland
KUNDI B
1 England
2 Russia
3 Wales
4 Slovakia
KUNDI C
1 Germany
2 Ukraine
3 Poland
4...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-uqJRPPEvAfc/VTozKTnGF2I/AAAAAAABMcc/boL5D_Mo7VI/s72-c/11157356_998153500229860_1655272158424215244_o.jpg)
11 years ago
Michuzi22 May
MEMORIAL WEEKEND EXRAVAGANZA RATIBA KAMILI HII HAPA THREE NIGHTS, TWO DAYS TO PARTY
Dj Luke The Mix Master III from Luke Joe on Vimeo.
JUMAMOSI May 24, 2014 Mechi ya Mpira DMV a New York kuanzia saa 10 jioni mpaka saa 1 usiku Mechi itachezewa Walker Mills Park Address 8001 Walker Mills Rd, Capitol Heights, MD 20743 na baadae usiku wa International White Party Dress all...
10 years ago
Michuzi06 Feb
DRFA yataja makundi ya timu zitakazoshiriki kucheza hatua ya 18 bora (hatua ya pili) ya ligi ya mkoa wa Dar es salaam
Ligi hiyo ya mkoa...
9 years ago
Dewji Blog02 Jan
Ratiba ya mapinduzi Cup 2016 hii hapa, vigogo vya soka Azam Fc, Yanga watia timu Visiwani!!
Uwanja wa Amaan Zanzibar ambao utakuwa moja ya viwanja vitakavyotimua vumbi katika Michuano ya Mapinduzi Cup 2016 yanayotarajia kuanza jioni ya leo na kesho..