Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Droo ya makundi Euro 2016 hii hapa

euro20161

Droo ya makundi ya mashindano ya kombe la Ulaya 2016 yatakayofanyika nchini Ufaransa imetoka ambapo wenyeji wako Kundi A pamoja na Uswisi, Albania na Romania.

euro20161

Uingereza iko Kundi B na ndugu zake Wales, pamoja na Urusi na Slovakia.

Mashindano ya Kombe la Ulaya yanatarajiwa kufanyika kuanzia Juni 10, 2016 hadi Julai 10, 2016.

MAKUNDI YA EURO 2016 UFARANSA

KUNDI A
1 France
2 Romania
3 Albania
4 Switzerland

KUNDI B
1 England
2 Russia
3 Wales
4 Slovakia

KUNDI C
1 Germany
2 Ukraine
3 Poland
4...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Droo ya makundi ya Euro 2016 yafanyika, hii ndiyo listi kamili ya makundi hayo

uefa euro 2016

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Chama cha Soka cha Ulaya kimefanya droo ya makundi ya mashindano ya Euro 2016 ambayo yanashirikisha nchi 24 kutoka Ulaya na yanatarajiwa kufanyika nchini Ufaransa kuanzia mwezi Juni mwakani. Modewjiblog imekuandalia listi kamili ya hatua hiyo ya makundi;

GROUP A;

Ufaransa

Romania

Albania

Switzerland

GROUP B;

Uingereza

Urusi

Wales

Slovakia

GROUP C;

Ujerumani

Ukraine

Poland

Northern Ireland

GROUP D;

Hispania

Jamhuri ya Czech

Uturuki

Croatia

GROUP E;

Belgium

Italia

Jamhuri...

 

9 years ago

Dewji Blog

Je! Unataka kushinda safari ya Paris, kushuhudia michuano ya Eufa Euro 2016? soma hapa!

1966143_w2

Michuano mikubwa kabisa ya soka itakayoikutanisha miamba ya timu za Taifa za Bara la Ulaya itakayomenyana kuwania kombe la Uefa Euro2016, michezo itakayopigwa nchini Ufaransa katika majiji kadhaa ya nchi hiyo  kwa muda wa mwezi mmoja.

Katika hatua hiyo, wewe  na yule unayo nafasi ya kushinda safari ya kwenda katika jiji la Paris kushuhudia ufunguzi wa michuano hiyo ya Uefa Euro 2016, ambapo utapata nafasi ya kulipiwa kila kitu pamoja na kushuhudia shoo kali ya mwanamuziki nguli ambaye...

 

9 years ago

Dewji Blog

Droo ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA yafanyika, listi kamili hii hapa

IMG_20151214_145227

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Droo ya hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA Champions League), imefanyika katika makao makuu ya Chama cha soka Ulaya Nyon, Switzerland na mtandao wako bora wa habari, Dewjiblog.com umekuandalia listi kamili ya michezo ambayo imepangwa katika droo hiyo;

Gent – Wolfsburg

AS Roma – Real Madrid

Paris Saint-German – Chelsea

Arsenal – Barcelona

Juventus – Bayern Munich

PSV – Atletico Madrid

Benfica – Zenit

Dynamo Kyiv – Manchester City

Baada ya kufanyika kwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Zanzibar Heroes yafa kiume, leo hatua ya makundi kukamilika, ratiba hii hapa

345173_heroa

Kikosi cha timu ya Zanzibar Heroes.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes imetolewa kiume katika mashindano ya Cecafa Senior Challenge yanayofanyika nchini Ethiopia baada ya kuipa kipigo cha goli 3 kwa 1 timu ya Kenya.

Zanzibar Heroes ambayo michezo yake ya awali ilipoteza dhidi ya Burundi na Uganda jana na yenyewe imepata ushindi wake wa kwanza wa kukamilisha hatua ya makundi licha ya kuwa imeshatolewa katika mashindano hayo.

Magoli ya Zanzibar Heroes katika...

 

5 years ago

Africanjam.Com

HIGHLIGHTS: PORTUGAL 1 - 0 FRANCE | EURO 2016 FINAL | Eder Goal, Highlights | 10.07.2016 |




Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into service. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening...

 

9 years ago

Dewji Blog

Ratiba ya mapinduzi Cup 2016 hii hapa, vigogo vya soka Azam Fc, Yanga watia timu Visiwani!!

IMG_6010

Uwanja wa Amaan Zanzibar ambao utakuwa moja ya viwanja vitakavyotimua vumbi katika Michuano ya Mapinduzi Cup 2016 yanayotarajia kuanza jioni ya leo na kesho..

Ratiba-ya-mapinduzi-cup-bongosoka

 

5 years ago

Africanjam.Com

VIDEO: BEST GOALS EURO 2016 |



Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into service. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening...

 

9 years ago

BBCSwahili

Hungary waingia fainali Euro 2016

Timu ya taifa ya Hungary imefuzu kutinga hatua ya fainali za Mataifa ya Ulaya, Euro 2016, baada ya kuifunga Norway 2-1.

 

9 years ago

BBCSwahili

Sweden, Ukraine zafuzu Euro 2016

Timu za taifa za Sweden na Ukraine zimekua timu za mwisho kuzufu kwa michuano ya ulaya mwaka 2016 nchini Ufaransa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani