Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NIGERIA YAFA KIUME MBELE YA UFARANSA

Ufaransa wamefanikiwa kuingia robo fainali ya michuano ya Kombe la Dunia kwa ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Nigeria katika mtanange mgumu mno katika uwanja wa Taifa wa, kufuatia bao safi la kichwa la Paul Pgba na bao la kujifungwa wenyewe la Joseph Yobo.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Zanzibar Heroes yafa kiume, leo hatua ya makundi kukamilika, ratiba hii hapa

345173_heroa

Kikosi cha timu ya Zanzibar Heroes.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes imetolewa kiume katika mashindano ya Cecafa Senior Challenge yanayofanyika nchini Ethiopia baada ya kuipa kipigo cha goli 3 kwa 1 timu ya Kenya.

Zanzibar Heroes ambayo michezo yake ya awali ilipoteza dhidi ya Burundi na Uganda jana na yenyewe imepata ushindi wake wa kwanza wa kukamilisha hatua ya makundi licha ya kuwa imeshatolewa katika mashindano hayo.

Magoli ya Zanzibar Heroes katika...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ufaransa kuchuana na Nigeria

Ufaransa itachuana na Nigeria katika mkondo wa pili wa kombe la dunia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Usalama wa Nigeria kuangaziwa Ufaransa

Rais wa Ufaransa Franswa Hollande anaanda mkutano hii leo mjini Paris kuangazia hali ya usalama nchini Nigeria.

 

5 years ago

BBCSwahili

Barabara za Nigeria : 'Mwanangu wa kiume alikufa kwa ajali ya gari- na sasa ninaongoza magari barabarani'

Mwanamke wa Kinigeria Monica Dongban-Mensem anafanya kampeni ya usalama wa barabarani baada ya mtoto wake wa kiume kufa katika ajali ya barabarani ambapo gari lililomgonga lilitoweka.

 

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Nigeria, Ufaransa, Uswisi zafuzu 16 Bora

Timu za taifa za Nigeria, Ufaransa na Uswisi zimetinga hatua ya 16 bora ya Fainali za Kombe la Dunia 2014 baada ya kushinda katika mechi zao za mwisho za hatua ya makundi jana.

 

9 years ago

Bongo5

Trey Songz athibitisha mbele ya mashabiki wa Nigeria juu ya collabo aliyofanya na Davido

trey n dav

Kwenye orodha ya nyimbo za album mpya ya Davido “B.A.D.D.E.S.T” ambayo ilikuwa itoke mwishoni mwa mwaka huu kabla ya kusogezwa hadi mwakani 2016, kuna wimbo ambao staa huyo wa Nigeria amemshirikisha muimbaji wa R&B kutoka Marekani, Trey Songz.

trey n dav

Licha ya kuwa aliwahi kuthibitisha kupitia Twitter, Trey Songz ambaye Ijumaa iliyopita (Dec.18) alitumbuiza Lagos, Nigeria kwenye tamasha kubwa la kila mwaka Rhythm Unplugged, mitandao ya Nigeria imeripoti kuwa Trey alithibitisha kwa mara nyingine...

 

10 years ago

Mtanzania

Yanga yaua, Simba yafa

1.*Stand United yazidi kupeta, Coastal Union yazinduka

NA WAANDISHI WETU

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga, jana waliendeleza ubabe katika ligi hiyo baada ya kuifanyia mauaji Toto Africans kwa kuifunga mabao 4-1 huku mahasimu wao, Simba wakilala kwa kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons.

Ushindi wa jana kwa Yanga ambao wamecheza mara moja ugenini dhidi ya Mtibwa Sugar na kushinda mabao 2-0 Uwanja wa Jamhuri, Morogoro, ni wa sita kwa vinara hao katika Uwanja wa Taifa,...

 

11 years ago

Mwananchi

Barca yashinda, Man City yafa

Hispania. Barcelona imeanza vizuri msimu mpya wa Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Apoel Nicosia, katika mchezo uliochezwa juzi usiku kwenye Uwanja wa Nou Camp.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani