Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ufaransa kuchuana na Nigeria

Ufaransa itachuana na Nigeria katika mkondo wa pili wa kombe la dunia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Ufaransa kuchuana na England Jumanne

Kocha wa Uingereza Roy Hodgson amekubali kwa moyo mkunjufu na wa huruma mechi kati ya England na Ufaransa itakayochezwa juma lijalo katika uwanja wa Wembley.

 

11 years ago

BBCSwahili

Usalama wa Nigeria kuangaziwa Ufaransa

Rais wa Ufaransa Franswa Hollande anaanda mkutano hii leo mjini Paris kuangazia hali ya usalama nchini Nigeria.

 

11 years ago

Michuzi

NIGERIA YAFA KIUME MBELE YA UFARANSA

Ufaransa wamefanikiwa kuingia robo fainali ya michuano ya Kombe la Dunia kwa ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Nigeria katika mtanange mgumu mno katika uwanja wa Taifa wa, kufuatia bao safi la kichwa la Paul Pgba na bao la kujifungwa wenyewe la Joseph Yobo.

 

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Nigeria, Ufaransa, Uswisi zafuzu 16 Bora

Timu za taifa za Nigeria, Ufaransa na Uswisi zimetinga hatua ya 16 bora ya Fainali za Kombe la Dunia 2014 baada ya kushinda katika mechi zao za mwisho za hatua ya makundi jana.

 

11 years ago

BBCSwahili

Chile kuchuana na Uhispania

Mabingwa watetezi Uhispania wanatafuta ushindi dhidi ya Chile baada ya kushindwa na Uholanzi katika kombe la dunia Brazil.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanariadha nyota kuchuana

>Wanariadha maarufu Tanzania, Mary Naali, Jacqueline Sakilu, Sarah Ramadhani, Andrew Sambu na Dickson Marwa ni miongoni mwa wakimbiaji watakaochuana kusaka ubingwa wa mbio za Kilimanjaro Marathon.

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal kuchuana na Liverpool

Arsenal itamkagua mshambuliaji Danny Welbeck ambaye ana jeraha la goti. Steven Gerrard na Martin Skrtel wanahudumia marufuku

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea kuchuana na Tottenham fainali

Tottenham ilitoka nyuma na kuishinda kilabu ya ligi ya daraja la kwanza Sheffield United na kuweka tarehe na Chelsea

 

10 years ago

BBCSwahili

S. Leone na Ivory Coast Kuchuana

Mataifa ya Sierra Leone na Ivory Coast yatawania kufuzu katika mechi za dimba la Afrika watakapokutana usiku wa ijumaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani